Kwanini Wanawake wa Kikristo hawajifunika Vichwa vyao? Au sio dalili ya heshima kwao?

Kwanini Wanawake wa Kikristo hawajifunika Vichwa vyao? Au sio dalili ya heshima kwao?

Wakiristo wa jf wanaleta picha za wakiristo wenzao wa kiarabu ili kupotisha. Na hata kama waislam basi watakuwa wanaishi ktk nchi za kikiristo na wanafata mila za kikiristo. Nchi za kiislam hawa bakora mpaka wanakojoa damu, hawathubutu kuvaa hivyo
Dini ya uislamu imewafanya miislam kuwa minafiki. Liangalie hilo lidada lililovaa hijab si bora tu asingevaa. Anamuaibisha hadi mume wake eti kibamia. Na wote tu wanaovaa hizo hijab ndo zao ni dini yao inawafanya kuwa minafiki uislamu ni unafiki na tamaduni za kiarabu.

Kuna mdada muislamu mke wa mtu na mgongaga tena bure tu hadi rinda na kamwe hadharani bila hijab lakini nguruwe hali na ni swala tano nabaki kushangaa.

Msikize dakika ya 11:35-55 anasema I cant go out without the hijab. Uislam bana

Video ni ya Malasyia 98% waislam

NAJIVUNIA MIMI SIYO MWISLAMU.


hydroxo Extrovert Covax Chaliifrancisco makwega7 Natafuta Ajira

Nyau de adriz
 
Wakiristo wa jf wanaleta picha za wakiristo wenzao wa kiarabu ili kupotisha. Na hata kama waislam basi watakuwa wanaishi ktk nchi za kikiristo na wanafata mila za kikiristo. Nchi za kiislam hawa bakora mpaka wanakojoa damu, hawathubutu kuvaa hivyo
Nimekutag kwenye video huko mbona kimya?
 
Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.

"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."


Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)

Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Kwa hiyo hata kipilipili ukiona unatamani..
 
B
Nimekutag kwenye video huko mbona kimya?
Nimekutag kwenye video huko mbona kimya?
Wizi:

"Na mwizi mwanamume na mwizi mwanamke, ikateni mikono yao, kuwa ni malipo kwa yale waliyoyachuma..." (Qur'an 5:38)



Uzini:

"Na wale wanawake wazinifu na wanaume wazinifu, mpigeni kila mmoja katika wao viboko mia moja..." (Qur'an 24:2)
NB: Adhabu hii inatekelezwa kwa masharti magumu, ikiwa kuna ushahidi wa wazi, kama mashahidi wanne waaminifu.
 
Hata afande Rama hali nguruwe ni Muislam safi kabisa
Wizi:

"Na mwizi mwanamume na mwizi mwanamke, ikateni mikono yao, kuwa ni malipo kwa yale waliyoyachuma..." (Qur'an 5:38)



Uzini:

"Na wale wanawake wazinifu na wanaume wazinifu, mpigeni kila mmoja katika wao viboko mia moja..." (Qur'an 24:2)
NB: Adhabu hii inatekelezwa kwa masharti magumu, ikiwa kuna ushahidi wa wazi, kama mashahidi wanne waaminifu.
 
"Wameamrishwa", maana yake hawapo huru.
Hakuna aliye huru kwenye jamii za dunia hii, ni mipaka tu ndo tunatofautiana. Mfano hapo nyumbani kwako/kwenu inawezekana mna uhuru wa kufunika kichwa au kukiacha wazi, vipi kuhusu uhuru wa kubaki na nguo ya ndani tu saa ya kula, upo? Kama haupo maana yake hampo huru kwa kiwango hicho ila kuna familia mama kubaki na nguo ya ndani akiwa na familia yake haizuiliwi.
 
Mwanamke akitembea kavaa chupi inakuathiri vipi?
Hisia zako kama za ng'ombe tuu, maana mnyama hata àone mnyama mwenzie uchi ni sawa tuu.
Ulishamwona mzazi wako kavaa chupi labda màma yako ulijisikiaje?
 
Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.

"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."


Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)

Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Uongo uongo
 
Back
Top Bottom