Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Huo ni uamuzi binafsi shekhe usisingizie watu.Waislam wanakula nguruwe. Kwa sababu wanafata marafiki wa kikiristo. Muislam anaejitambua hali nguruwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni uamuzi binafsi shekhe usisingizie watu.Waislam wanakula nguruwe. Kwa sababu wanafata marafiki wa kikiristo. Muislam anaejitambua hali nguruwe
Dini ya uislamu imewafanya miislam kuwa minafiki. Liangalie hilo lidada lililovaa hijab si bora tu asingevaa. Anamuaibisha hadi mume wake eti kibamia. Na wote tu wanaovaa hizo hijab ndo zao ni dini yao inawafanya kuwa minafiki uislamu ni unafiki na tamaduni za kiarabu.Wakiristo wa jf wanaleta picha za wakiristo wenzao wa kiarabu ili kupotisha. Na hata kama waislam basi watakuwa wanaishi ktk nchi za kikiristo na wanafata mila za kikiristo. Nchi za kiislam hawa bakora mpaka wanakojoa damu, hawathubutu kuvaa hivyo
Wamejaa unafiki tu.Sio mavazi tu hata masuala mengine kama utiifu, usafi, mapishi n.k kama umewahi kudate na list ndefu ya mabinti ya kikrosto na kiislamu utagundua kuna tofauti kubwa sana.
Kama kuna mafundisho ambayo mabinti wa kiislamu wanapewa ingekua poa na mabinti wa kikristo wapewe pia
Hata afande Rama hali nguruwe ni Muislam safi kabisaWaislam wanakula nguruwe. Kwa sababu wanafata marafiki wa kikiristo. Muislam anaejitambua hali nguruwe
Nimekutag kwenye video huko mbona kimya?Wakiristo wa jf wanaleta picha za wakiristo wenzao wa kiarabu ili kupotisha. Na hata kama waislam basi watakuwa wanaishi ktk nchi za kikiristo na wanafata mila za kikiristo. Nchi za kiislam hawa bakora mpaka wanakojoa damu, hawathubutu kuvaa hivyo
Kwa hiyo hata kipilipili ukiona unatamani..Rebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.
"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."
Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)
Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
Nimekutag kwenye video huko mbona kimya?
Wizi:Nimekutag kwenye video huko mbona kimya?
"Na mwizi mwanamume na mwizi mwanamke, ikateni mikono yao, kuwa ni malipo kwa yale waliyoyachuma..." (Qur'an 5:38)
NB: Adhabu hii inatekelezwa kwa masharti magumu, ikiwa kuna ushahidi wa wazi, kama mashahidi wanne waaminifu."Na wale wanawake wazinifu na wanaume wazinifu, mpigeni kila mmoja katika wao viboko mia moja..." (Qur'an 24:2)
Wizi:Hata afande Rama hali nguruwe ni Muislam safi kabisa
"Na mwizi mwanamume na mwizi mwanamke, ikateni mikono yao, kuwa ni malipo kwa yale waliyoyachuma..." (Qur'an 5:38)
NB: Adhabu hii inatekelezwa kwa masharti magumu, ikiwa kuna ushahidi wa wazi, kama mashahidi wanne waaminifu."Na wale wanawake wazinifu na wanaume wazinifu, mpigeni kila mmoja katika wao viboko mia moja..." (Qur'an 24:2)
Sasa limudi lenu je. Na je bi Ayesha mke halali wa mudi aliyekuwa anapigwa miti hadharani na marafiki wa mudi?B
Wizi:
Uzini:
NB: Adhabu hii inatekelezwa kwa masharti magumu, ikiwa kuna ushahidi wa wazi, kama mashahidi wanne waaminifu.
Hakuna aliye huru kwenye jamii za dunia hii, ni mipaka tu ndo tunatofautiana. Mfano hapo nyumbani kwako/kwenu inawezekana mna uhuru wa kufunika kichwa au kukiacha wazi, vipi kuhusu uhuru wa kubaki na nguo ya ndani tu saa ya kula, upo? Kama haupo maana yake hampo huru kwa kiwango hicho ila kuna familia mama kubaki na nguo ya ndani akiwa na familia yake haizuiliwi."Wameamrishwa", maana yake hawapo huru.
Hisia zako kama za ng'ombe tuu, maana mnyama hata àone mnyama mwenzie uchi ni sawa tuu.Mwanamke akitembea kavaa chupi inakuathiri vipi?
Atheism wapi Katambuga wa Arabuni huyo ukimchanja damu yake ni Medina mtupu au nasema uongoMkuu si uende tu ukasilimu, mbona unajificha sana kweny atheism?
Uongo uongoRebeka na Kitambaa (Mwanzo 24:64-65)
Rebeka, alipoenda kukutana na Isaka, alichukua kitambaa na kujifunika uso:
"Rebeka akainua macho yake, alipomwona Isaka, akashuka juu ya ngamia. Akamwuliza mtumishi, 'Mtu huyu aendaye kondeni kutulaki ni nani?' Mtumishi akasema, 'Huyu ni bwana wangu.' Basi akachukua shela yake na kujifunika."
Hii inaonyesha desturi ya kujifunika kama ishara ya heshima.
"Kila mwanamke aombaye au anayeutoa unabii bila kufunika kichwa chake anamdharau kichwa chake; ni sawa na kuwa na kichwa kilichonyolewa."
Kujisitiri kwa Wanawake (Surah An-Nur 24:31)
Qur'an inawaelekeza wanawake waumini kujisitiri sehemu zao za mwili na kutoonyesha urembo wao kwa wasio wa mahram:
"Na waambie wanawake waumini wainamishe macho yao (wajizuie na yasiyo ya halali) na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika; na wapashe shungi zao juu ya vifua vyao..."
Aya hii inaweka msingi wa hijab kwa wanawake kwa kuhimiza kujisitiri kwa namna ya heshima, ikiwa ni pamoja na kufunika kichwa na mwili.
why am I not surprisedAtheism wapi Katambuga wa Arabuni huyo ukimchanja damu yake ni Medina mtupu au nasema uongo
min -me?
😁😁