Kwanini wanawake wa Kinzanzibari wa miaka hii mishungi imezidi!?Kunani

Kwanini wanawake wa Kinzanzibari wa miaka hii mishungi imezidi!?Kunani

chabuso

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
6,380
Reaction score
5,884
iran.jpeg

Hawa ni wanawake wasomi wakiwakilisaha Zanzibar miaka ya 60,umejionea vipi wamevaa,nini kimetokea kwa wanawake wa kizanzibari kuanza kujivalisha mishungi,!!? ukimwanglia Makamo wa raisi Mh Suluhu na mawaziri wengine wa kike kutoka Zanzibar mavazi wanayovaa yanashangaza,...mdau nipe ufafanuzi
 
Wawili kati yao inaonekana ni wahindi. Mkuu pengine hao hawakuwa waislamu regardless wametokea Zanzibar.
 
Mimi nafikiri kuongelea uhuru wa mtu wa kuvaa (bila kuadhiri sheria za Nchi) au Imani ya mtu ni kama vile tumeishiwa mada za kujadili

Labda kwa kifupi tu:
Kwa wanaoamini Biblia: Mama yake Yesu na wale mama wengine walioshiriki mambo mbali mbali nyakati za Yesu karibia wote walikuwa wamefunika vichwa

Kwa waisilamu hivyo hivyo wanawake walio shiriki kwa namna mbalimbali wakati wa mtume Issa na Mohamad wote walionekana kuwa wamefunika vichwa
Kwa msingi huo, ningefikiri ambao hawajafunika vichwa ndio ingekuwa ajabu na sio vinginevyo!!!!
 
Wawili kati yao inaonekana ni wahindi. Mkuu pengine hao hawakuwa waislamu regardless wametokea Zanzibar.
😀 Mkuu hamna mzanzibari muhindi hapo,soma majina ya hao akina dada
 
Mimi nafikiri kuongelea uhuru wa mtu wa kuvaa (bila kuadhiri sheria za Nchi) au Imani ya mtu ni kama vile tumeishiwa mada za kujadili

Labda kwa kifupi tu:
Kwa wanaoamini Biblia: Mama yake Yesu na wale mama wengine walioshiriki mambo mbali mbali nyakati za Yesu karibia wote walikuwa wamefunika vichwa

Kwa waisilamu hivyo hivyo wanawake walio shiriki kwa namna mbalimbali wakati wa mtume Issa na Mohamad wote walionekana kuwa wamefunika vichwa
Kwa msingi huo, ningefikiri ambao hawajafunika vichwa ndio ingekuwa ajabu na sio vinginevyo!!!!
Kwanini wanawake wa kizanzibari wa kizazi hichi,uvaaji wa kufunika vichwa umezidi?mpaka miaka ya 80 ulikuwa huoni uvaji kama huo hasa kwa vijana,waliokuwa wakivaa mashugi ni wazee tu,nini kimetokea
 
Wenzio wanafukuzia thawabu za munyaazi mungu hawawezi kukuelewa zaidi sana utaonekana ni mtu mwenye chokochoko za kidini. Tuwaache waishi kwa mujibu wa imani na matarajio yao
Kwa wakati wa miaka ya 60 kulikuwa na wazanzibari wasiozidi laki tatu(300,000) pale zanzibar na wote walikuwa waislam lakini uvaaji wao sio kama hawa wa sasa hivi,wanawake walikuwa na uhuru wa kuvaa wanachokitaka, kunani
 
Kiufupi mkuu,mie naziona hizi dini dini zetu kama tanzi fulani hivi inayohusiana na utumwa wa fikra.(nisamehe bure lakini).napenda/natamani kuwa huru zaidi.
Na ndio maana nikaweka huu uzi mkuu,neno kubwa unalolisikia kutoka kwa watawala siku hizi ni "Maadili" ya mtanzania,mimi nakuwa najiuliza hili neno "Maadili" maana yake ni kumyima uhuru mtoto wa Kitanzania kujiamulia cha kuvaa,..

mboa wazee wetu walikuwa wanavaa wanachotaka, je walikuwa hawana maadili,sisi tumekuwa na maadili kuliko waliotuzaa au walio tangulia kabla yetu,kunani?
 
Na ndio maana nikaweka huu uzi mkuu,neno kubwa unalolisikia kutoka kwa watawala siku hizi ni "Maadili" ya mtanzania,mimi nakuwa najiuliza hili neno "Maadili" maana yake ni kumyima uhuru mtoto wa Kitanzania kujiamulia cha kuvaa,..

mboa wazee wetu walikuwa wanavaa wanachotaka, je walikuwa hawana maadili,sisi tumekuwa na maadili kuliko waliotuzaa au walio tangulia kabla yetu,kunani?
Sasa mkuu hapo umepangua gia angani.
Tukizungumzia maadili kama msamiati ni neno pana sana,litahusu tunavyokula,kuvaa,kuinteract,kuzikana,kuabudu,kuelimishana nk. Maadili ya mtanzania yanahusu kuheshimiana na kujaliana,kutimiza wajibu wetu kiuchumi na kijamii pia. Hayo yote tumeruhusu yaathiriwe na vitu vingine kutoka nje,ambavyo tumeshashindwa kuvichenjua. Hatujui tupokee nini na tukatae nini. Jamii ya leo kiufupi haina miiko. Kila jambo ni hewallah. Siyo tu katika mavazi bali hata elimu yetu,tiba zetu,mazingira yetu....ni confusion tupu.
 
Wenzio wanafukuzia thawabu za munyaazi mungu hawawezi kukuelewa zaidi sana utaonekana ni mtu mwenye chokochoko za kidini. Tuwaache waishi kwa mujibu wa imani na matarajio yao
WAVAAJI WA HIZO NGUO SASA HIVI WENGI WANA UKIMWI WANA MIPELE NA MIDONDA KIBAO VICHWANI MWILINI MIGUUNI NA MIKONONI KUFICHA NDIO WANAVAA HIVYO,CUSTOMER BEWARE.WAKO HATA WAKRISTO KIBAO WANAVAA HIVYO KUFICHA MIDONDA NA MIPELE
 
kwani uwaoni wanavyopendeza na wakivalia shungi,hyo ndo asili ya mzanzibari pili wapata thawabu kwa mwenyezi mungu.muone mama Samia anavyopendeza.
 
Back
Top Bottom