Kwanini wanawake wa Kinzanzibari wa miaka hii mishungi imezidi!?Kunani

Kwanini wanawake wa Kinzanzibari wa miaka hii mishungi imezidi!?Kunani

hahahaa nikizungumzia zamani nazungumzia kabla ya Mapinduzi,hiyo picha ni miaka ya 60 ni kabla ya Mapinduzi,baada ya Zanzibar kujiunga na Tangayika,Zanzibar imeshuka kila kitu katika hadhi ya Dunia,imeshula ki Elimu,Kiuchumi,kidemokrasia nk..

Karume alichokifanya baada ya Mapinduzi aliwafukuza msheikh wakubwa wakubwa walikuwa tishio kwake,wengine walikimbilia Kenya,wengine Oman,nk...

Kadhi mkuu wa Kenya Sheikh Farsi alikuwa mzanzibari,watu waliotafisi Kuran kutoka kiarabu kwenda kiswahili ni wazanzibari...

Hivi sasa hapa Zanzibar kuna Sheikh yeyyote mwenye uwezo wa kutafsiri Kuran!!?Zanzibar sasa inatoa Masheikh kama akina sheikh Nyundo..😀

Masheikh wa sasa wanaona kuwalazimisha wanawake wavae mashungi ndio dini,mwanamke anavaa mashungi lakini ufuska anaoufanya utashangaa,Zanzibar unyanyasaji wa jinsia umezidi,ubakaji umezidi,..
nk
Ivi unajua kuwa hao mashekhe ambao wew unaawadharau izo sheria hawajaziweka wao wanafuata mungozo wa kur an na sunna za Mtume Muhaammad (S.A.W)? Nimeshakwambia ni vigumu kutenganisha kichwa cha mwanamke wa kizanzibar na ushungi
 
Kama mwanamke anavaa kwa mamuzi yake hiyo sawa,kwa hali ninayoina Zanzibar jamii inawalazimisha,..
Jamii gani inawalazimisha ikiwa mtoto anapofika umri wa miaka 5 tu anapelekwa madrasa kujifunza dini yake?
 
chabuso Tuwekee picha ya Rais wa TLS mkabala na hao wa miaka ya 60....
Raisi wa TLS hata akipita markiti hawezi kuzomewa na wauza bidhaa sokoni,matawi yake makubwa..huwezi kumfananisha yeye na mwanamke wakawaida wa kizanzibari
 
Ivi unajua kuwa hao mashekhe ambao wew unaawadharau izo sheria hawajaziweka wao wanafuata mungozo wa kur an na sunna za Mtume Muhaammad (S.A.W)? Nimeshakwambia ni vigumu kutenganisha kichwa cha mwanamke wa kizanzibar na ushungi
Unataka kunambia Msheikh wa zamani walikuwa hawaijui Kuran,mbona wanawake walikuwa wanavaa wavyojisikia..
 
Haujafafanua bali unaleta mipasho
Hili ni swala la kiimani, linagusa imani za watu, ni swala la kuchangia kwa tahadhari, tunajaribu kuchangia kwa kujenga na sio kubomoa. Ikiwa huelewi wewe mmoja siwezi kuwachukiza au kuwakwaza maelfu.
 
Hili ni swala la kiimani, linagusa imani za watu, ni swala la kuchangia kwa tahadhari, tunajaribu kuchangia kwa kujenga na sio kubomoa. Ikiwa huelewi wewe mmoja siwezi kuwachukiza au kuwakwaza maelfu.
Basi kama huwezi kufafanua swala lako masuala ya mipasho kajiunge na Hadija Kopa...
 
usis
WAVAAJI WA HIZO NGUO SASA HIVI WENGI WANA UKIMWI WANA MIPELE NA MIDONDA KIBAO VICHWANI MWILINI MIGUUNI NA MIKONONI KUFICHA NDIO WANAVAA HIVYO,CUSTOMER BEWARE.WAKO HATA WAKRISTO KIBAO WANAVAA HIVYO KUFICHA MIDONDA NA MIPELE

usizungumzie maswala ya ukimwi, kwa kuwa tatizo hili ni janga la dunia nzima, nadhani hakuna familia ambayo haijaguswa na janga hili la Ukimwi, nakushauri elekeza mawazo yako kwenda iliyo hapo juu.
 
Unataka kunambia Msheikh wa zamani walikuwa hawaijui Kuran,mbona wanawake walikuwa wanavaa wavyojisikia..
Hahahaha sas Masheke unaowazungumzia wew ni kabla ya mapinduzi unadhani Wazazi wa kipindi hicho walikuwa na Muwamko wakuwapeleka watoto wao madrasa wakiwa na umri mdogo ni sawa na Muwamko wa sasa?
 
Hahahaha sas Masheke unaowazungumzia wew ni kabla ya mapinduzi unadhani Wazazi wa kipindi hicho walikuwa na Muwamko wakuwapeleka watoto wao madrasa wakiwa na umri mdogo ni sawa na Muwamko wa sasa?
😱😱 unazungumza nini,!!??Nusu ya wazanzibari wa wakati huo walikuwa hawawapele watoto wao skuli,bali watoto wanapelekwa chuoni(Madrass,)mtoto wa wakati huo akifika umri wa miaka kumi ameshaweza kukariri musahafu mzima...
 
Ni moja wapo kati ya tendo jema ambalo limesababisha kuficha kichwa chako.. Hapo thawabu ndo zinapopatikana kwa mwanamke.
kwahiyo mwanamke akawa mzinzi,mshirikina,mwizi nk haya si kitu walau huyo mtu awe anafunga kichwa anapata thawabu?
religion is opium of the people.
 
Back
Top Bottom