Mudhamil
Senior Member
- Nov 12, 2017
- 159
- 89
Ikiwa saiv tu idadi ya Wazanzibar sijui ata kama imefika M2 je kwa wakat huo unawazungumzia idadi nusu ya Wazanzibar wapi?😱😱 unazungumza nini,!!??Nusu ya wazanzibari wa wakati huo walikuwa hawawapele watoto wao skuli,bali watoto wanapelekwa chuoni(Madrass,)mtoto wa wakati huo akifika umri wa miaka kumi ameshaweza kukariri musahafu mzima...