Kwanini wanawake wa Kinzanzibari wa miaka hii mishungi imezidi!?Kunani

Kwanini wanawake wa Kinzanzibari wa miaka hii mishungi imezidi!?Kunani

Kwa wakati wa miaka ya 60 kulikuwa na wazanzibari wasiozidi laki tatu(300,000) pale zanzibar na wote walikuwa waislam lakini uvaaji wao sio kama hawa wa sasa hivi,wanawake walikuwa na uhuru wa kuvaa wanachokitaka, kunani
sasa tatizo ni nini kwako ?
 
Maamzi tu mbona Mrembo Fatma karume rais wa wale wasomi havai na ni mwislamu safi.Aliyesoma hafungwi na sheria sana maana ukweli wa dini anaujua nje ndani.
 
walikuwa visu hao madada wa enzi hizo!
 
Misingi gani inayofaa wakati Tanzania serikali haina dini,mpaka miaka ya 80 wanafunzi walikuwa hawalazimishwi kuvaa mashungi Zanzibar,Sasa unataka kusema hao masultani walikuwa haana maadili ba raia wao,..

Ninavyojua mimi na historia ya Zanzibar inavyosema,Masheikh wengi wa kimataifa,wa Oman,wa Kenya na nchi yengine,watu walikuwa wanatoka nchi mbali mbali kuja kusoma Dini ya kiislam Zanzibar...

Sasa kimetokea nini?waafrika baada ya kupata uhuru na kujitawala mmetupeleka kwenye mashungi!!
Kwan uhuru unamaanisha nini kwa upande wako? Au ushungi unakuadhiri nini?
 
Kwan uhuru unamaanisha nini kwa upande wako? Au ushungi unakuadhiri nini?
Uhuru ni kufanya mambo bila ya kulazimishwa,hamna ubaya wowote kama mashungi yanavaliwa kwa ridhaa ya mtu,bila ya msukumo wa serikali au kikundi fulani
 
sasa tatizo ni nini kwako ?
Tatizo usiwalazimishe watu hasa wanawake kuvaa mashungi,waacheni wawe huru wavae wanachotaka,manatumia mwevuli wa dini kuwadhibiti watu..
 
Uhuru ni kufanya mambo bila ya kulazimishwa,hamna ubaya wowote kama mashungi yanavaliwa kwa ridhaa ya mtu,bila ya msukumo wa serikali au kikundi fulani
kule hakuna kulazimishwa kama ilivyo bara. Hakuna kulazimishwa wanawake kuvaa sketi kwenye ofisi za umma lakini wanavaa.
 
Wanawake wa Kizanzibar hawatavaa Mawigi yanayonuka Kama anayovaa mke wako. Watavaa Shungi na Hijabu kama maarisho ya dini na Ustaarabu wao anavyotaka. Manywele ya Bandia atavaa Mama yako . wazanzibari watavaa shungi hata Kama wewe na Makafiri wenzio mtachukia
wanawake wa Zanzibar wana nywele nzuri tu kwani wengi wa wazanzibari ni watu waliochanganya na watu wa middle east au Asia,hawana haja ya kuvaa mawigi,hiyo picha hapo juu inaonyesha hamna mwanamke alievaa wigi,Kwani huo ustaarabu wa dini umeanza leo hapo Zanzibar!?..

Zamani Zanzibar ilikuwa inatoa masheikh wakubwa wakubwa,massheikh waliojulikana katika dunia yote ya kiislam,hivi sasa mnatoa sheikh gani,kuna sheikh yoyote anaejulikana kimataifa??..mnajichanganya,hamjui mnachokifanya,dhawabu haipatikani kwa kulazimisha mtu..
 
wanawake wa Zanzibar wana nywele nzri tu kwani wengi wa wazanzibari ni watu waliochanganya na watu wa middle east au Asia,hawana haja ya kuvaa mawigi,hiyo picha hapo juu inaonyesha hamna mwanamke alievaa wigi,Kwani huo ustaarabu wa dini umeanza leo hapo Zanzibar!?..

Zamani Zanzibar ilikuwa inatoa masheikh wakubwa wakubwa,massheikh waliojulikana katika dunia yote ya kiislam,hivi sasa mnatoa sheikh gani,kuna sheikh yoyote anaejulikana kimataifa??..mnajichanganya,hamjui mnachokifanya,dhawabu haipatikani kwa kulazimisha mtu..
Jiulizee Zamani iyo inayotoa mashekhe wakubwa wakubwa ilikua ni kabla ya Mungano wa Tanganyika na Zanzibar au baada ya Mungano? Na kwani ni nani alielazimishwa kuvaa ayo mashungi? Kuna walioshikiwa mitutu ili wavae mashungi?
 
Jiulizee Zamani iyo inayotoa mashekhe wakubwa wakubwa ilikua ni kabla ya Mungano wa Tanganyika na Zanzibar au baada ya Mungano?
hahahaa nikizungumzia zamani nazungumzia kabla ya Mapinduzi,hiyo picha ni miaka ya 60 ni kabla ya Mapinduzi,baada ya Zanzibar kujiunga na Tangayika,Zanzibar imeshuka kila kitu katika hadhi ya Dunia,imeshula ki Elimu,Kiuchumi,kidemokrasia nk..

Karume alichokifanya baada ya Mapinduzi aliwafukuza msheikh wakubwa wakubwa walikuwa tishio kwake,wengine walikimbilia Kenya,wengine Oman,nk...

Kadhi mkuu wa Kenya Sheikh Farsi alikuwa mzanzibari,watu waliotafisi Kuran kutoka kiarabu kwenda kiswahili ni wazanzibari...

Hivi sasa hapa Zanzibar kuna Sheikh yeyyote mwenye uwezo wa kutafsiri Kuran!!?Zanzibar sasa inatoa Masheikh kama akina sheikh Nyundo..😀

Masheikh wa sasa wanaona kuwalazimisha wanawake wavae mashungi ndio dini,mwanamke anavaa mashungi lakini ufuska anaoufanya utashangaa,Zanzibar unyanyasaji wa jinsia umezidi,ubakaji umezidi,..
nk
 
Back
Top Bottom