Kwanini wanawake wa Kinzanzibari wa miaka hii mishungi imezidi!?Kunani

Kwanini wanawake wa Kinzanzibari wa miaka hii mishungi imezidi!?Kunani

Acha tu, sasa wenye dini walivyomafiarauni ni hatari...
Wanadai anayeiga anakuwa mnazi zaidi kuliko mwenyewe..
 
kwani uwaoni wanavyopendeza na wakivalia shungi,hyo ndo asili ya mzanzibari pili wapata thawabu kwa mwenyezi mungu.muone mama Samia anavyopendeza.
Mkuu, kama wanawake wa Kinzanzibari wa miaka ya 60 walikuwa wakiiwakilisha Zanzibar katika mikutano ya kimataifa wamevaa hivyo walivyo vaa katika hiyo picha,sasa utasemaje kuwa asili ya Zanzibar ni kuvaa kama anavyovaa Samia Suluhu!??
 
WAVAAJI WA HIZO NGUO SASA HIVI WENGI WANA UKIMWI WANA MIPELE NA MIDONDA KIBAO VICHWANI MWILINI MIGUUNI NA MIKONONI KUFICHA NDIO WANAVAA HIVYO,CUSTOMER BEWARE.WAKO HATA WAKRISTO KIBAO WANAVAA HIVYO KUFICHA MIDONDA NA MIPELE
Hata watoto wa shule nao wanavaa mashungi kule Zanzibar,lazima kuna msukumo kutoka sehemu fulani,au watu wamechannyikiwa kiaina,..
 
Kuna kuvaa mashungi kwa kufuata misingi ya kidini na kunakuvaa shungi kama tamaduni. 60s uhuru 64 nchi ikaweka misingi inyoona inafaa kwa manufaa yao. Haidhiri maisha ya wengine
 
Kuna kuvaa mashungi kwa kufuata misingi ya kidini na kunakuvaa shungi kama tamaduni. 60s uhuru 64 nchi ikaweka misingi inyoona inafaa kwa manufaa yao. Haidhiri maisha ya wengine
Misingi gani inayofaa wakati Tanzania serikali haina dini,mpaka miaka ya 80 wanafunzi walikuwa hawalazimishwi kuvaa mashungi Zanzibar,Sasa unataka kusema hao masultani walikuwa haana maadili ba raia wao,..

Ninavyojua mimi na historia ya Zanzibar inavyosema,Masheikh wengi wa kimataifa,wa Oman,wa Kenya na nchi yengine,watu walikuwa wanatoka nchi mbali mbali kuja kusoma Dini ya kiislam Zanzibar...

Sasa kimetokea nini?waafrika baada ya kupata uhuru na kujitawala mmetupeleka kwenye mashungi!!
 
Sasa kama mashungi tu wanayovaa wazanzibar yanakutoa mapovu ivooo je ukifika ule wakat wa Mfungo mtukufu wa Ramadhan Serekali ya Zanzibar kama kawaida yake ikatoa onyo kuwa ni marufuku kwa mtu yoyote kula hadharan wakat wa swaum si utatokwa na mapovu mpaka uharishe wew?
 
Sasa kama mashungi tu wanayovaa wazanzibar yanakutoa mapovu ivooo je ukifika ule wakat wa Mfungo mtukufu wa Ramadhan Serekali ya Zanzibar kama kawaida yake ikatoa onyo kuwa ni marufuku kwa mtu yoyote kula hadharan wakat wa swaum si utatokwa na mapovu mpaka uharishe wew?
Halafu wanadusaga hatari[emoji16][emoji3][emoji3][emoji16]hizi dini hizi huwa nazichekiiii halafu nasema hiiiiii!
 
Sasa kama mashungi tu wanayovaa wazanzibar yanakutoa mapovu ivooo je ukifika ule wakat wa Mfungo mtukufu wa Ramadhan Serekali ya Zanzibar kama kawaida yake ikatoa onyo kuwa ni marufuku kwa mtu yoyote kula hadharan wakat wa swaum si utatokwa na mapovu mpaka uharishe wew?
Hiyo ya kutokula nje mwezi wa Ramadhani ni asili ya Zanzibar ni mila za wazanzibari tangu enzi za kale,wale wasiofunga wanakatazwa kula hadharani ili wasiwaudhi wale waliofunga kwangu mimi naona hiyo ni "fair enough",lazima watu waheshimu imani za watu wengine..
 
View attachment 770633
Hawa ni wanawake wasomi wakiwakilisaha Zanzibar miaka ya 60,umejionea vipi wamevaa,nini kimetokea kwa wanawake wa kizanzibari kuanza kujivalisha mishungi,!!? ukimwanglia Makamo wa raisi Mh Suluhu na mawaziri wengine wa kike kutoka Zanzibar mavazi wanayovaa yanashangaza,...mdau nipe ufafanuzi
Kwani we unavaaje mkuu?
 
Thawabu haipatikani kirahisi hivyo....wengine wachafu wanaficha uchafu vichwani mwao
Uislam unaamini kwamba jambo lolote aliloliamrisha Mwenyeezi Mungu ukalifanya hata kwa uchache wa kama punje ya mchanga basi utalipwa ujira wake kulingana na ukubwa uliyo ufanya na dhambi vile vile utalipwa kulingana na ukubwa wake uliyoufanya.
Haimaanishi eti kwa sababu huwa unazini basi usivae hijabu au usifanye jema lolote.kama unazini utaandikiwa dhambi za zinaa na kama unavaa hijabu basi utaandikiwa thawabu za hijabu.
uislamu unaamini ya kwamba kesho akhera kutakuwa na mizani ambayo kila mwanadamu atapita ktk hiyo mizani kupima mema yake na mabaya yake.
Kwa hiyo haimaanishi kwamba eti kwa kuwa umebobea kwenye dhambi fulani basi usifanye jambo la thawabu lingine au jema lako halitokubalika kwa Mwenyeezi Mungu.
 
Hiyo ya kutokula nje mwezi wa Ramadhani ni asili ya Zanzibar ni mila za wazanzibari tangu enzi za kale,wale wasiofunga wanakatazwa kula hadharani ili wasiwaudhi wale waliofunga kwangu mimi naona hiyo ni "fair enough",lazima watu waheshimu imani za watu wengine..
Sasa hujui kama ata iyo kujitanda ushungi ni moja ya sheria ktk iman ya mtu?
 
Sasa hujui kama ata iyo kujitanda ushungi ni moja ya sheria ktk iman ya mtu?
Hata hapo zama za kale pale Zanzibar,hakukuwa na kulazimishana kuvaa mashungi anaetaka anavaa asietaka havai,leo hii mpaka watoto wa shule sare zao ni kuvaa mashungi,mawaziri mashungi,wafanyakazi mashungi,kunani Zanzibar,ukiwauliza wazanzibar wanakwambia hizi ndio itikadi za wazanzibari,mbona hizo itikadi hazikuwepo hapo zamani,nani kazileta hivi sasa na kwa faida ya nani??!
 
Hata hapo zama za kale pale Zanzibar,hakukuwa na kulazimishana kuvaa mashungi anaetaka anavaa asietaka havai,leo hii mpaka watoto wa shule sare zao ni kuvaa mashungi,mawaziri mashungi,wafanyakazi mashungi,kunani Zanzibar,ukiwauliza wazanzibar wanakwambia hizi ndio itikadi za wazanzibari,mbona hizo itikadi hazikuwepo hapo zamani,nani kazileta hivi sasa na kwa faida ya nani??!
Elewa kwamba ayo mashungi hawajanza kuvaa ukubwani ayo mashungi huanza kuvaaa toka udogoni wakiwa na miaka 4 ama wanapoanzishwa madrasa na uko madra hufunzwa sheria mbali mbali tu za kislam miongoni mwa sheria ni iyo kujitanda kichwan kwani kwa sheria ya kislam kwa mwanamke unapoonekana unywele wake mmoja tu ni dhambi so ni vigumu mwanamke wa kislam kumtenganisha kichwa chake na ushungi
 
Wewe ulitaka wavae Mawigi yanayonuka kama Mke wako ? Hawawezi minywele ya Bandia inayonuka watavaa shungi kwa mujibu wa Ustaarabu wao Kaka hata Kama wewe na Makafiri wenzio Mtachukia
 
View attachment 770633
Hawa ni wanawake wasomi wakiwakilisaha Zanzibar miaka ya 60,umejionea vipi wamevaa,nini kimetokea kwa wanawake wa kizanzibari kuanza kujivalisha mishungi,!!? ukimwanglia Makamo wa raisi Mh Suluhu na mawaziri wengine wa kike kutoka Zanzibar mavazi wanayovaa yanashangaza,...mdau nipe ufafanuzi
Wanawake wa Kizanzibar hawatavaa Mawigi yanayonuka Kama anayovaa mke wako. Watavaa Shungi na Hijabu kama maarisho ya dini na Ustaarabu wao anavyotaka. Manywele ya Bandia atavaa Mama yako . wazanzibari watavaa shungi hata Kama wewe na Makafiri wenzio mtachukia
 
Back
Top Bottom