Ikiwa saiv tu idadi ya Wazanzibar sijui ata kama imefika M2 je kwa wakat huo unawazungumzia idadi nusu ya Wazanzibar wapi?π±π± unazungumza nini,!!??Nusu ya wazanzibari wa wakati huo walikuwa hawawapele watoto wao skuli,bali watoto wanapelekwa chuoni(Madrass,)mtoto wa wakati huo akifika umri wa miaka kumi ameshaweza kukariri musahafu mzima...
Kwa iyo unamanisha mtu akiwa na Dhambi ya uzinzi ata afanye jema jengine vpeee hawezi kupata thawabu si ndio?kwahiyo mwanamke akawa mzinzi,mshirikina,mwizi nk haya si kitu walau huyo mtu awe anafunga kichwa anapata thawabu?
religion is opium of the people.
jibu ulichoulizwa juu.
Wewe ni mzito kuelewa mwalim wako ulimpa tabu sana darasani.kwahiyo mwanamke akawa mzinzi,mshirikina,mwizi nk haya si kitu walau huyo mtu awe anafunga kichwa anapata thawabu?
religion is opium of the people.
Now nimekuelewa....Tatizo usiwalazimishe watu hasa wanawake kuvaa mashungi,waacheni wawe huru wavae wanachotaka,manatumia mwevuli wa dini kuwadhibiti watu..
ππ hapana Mkuu,nakumbuka tu enzi zangu niliokwa nakwenda skuli pale Hailesalasie,watoto wa kizenji wanawaka,nywele nzuri,sura nzuri,wanawake wa kihindi,wakiarabu,wakiafrika,waliochanganya damu wote wanang'ara,walikuwa hawavai mashungi kama sasaNow nimekuelewa....
Kwani mzee ulinyimwa mke ZnZ nini?? maana sio kwa hasira hizo.
LoL
Vivyo hivyo kwa jamii nyingine za kiislamu kama wasomali etc. naona vya kurithi vinazidi. Picha zinaonyesha jinsi wanawake wa kisomali walikua wanavaa enzi hizo.Kwanini wanawake wa kizanzibari wa kizazi hichi,uvaaji wa kufunika vichwa umezidi?mpaka miaka ya 80 ulikuwa huoni uvaji kama huo hasa kwa vijana,waliokuwa wakivaa mashugi ni wazee tu,nini kimetokea