Mkuu,hapa issue sio kwamba yanatakiwa majibu, hapa hata ukitoa majibu,hawawezi kukubaliana na majibu,au hata hayo majibu watayakashifu pia,
Ngoja nikujibu halafu utaona respond yao.
Wanawake ni dhaifu ukiwalinganisha na Wanaume,
Wanawake wana shindwa kujizuwia na huathirika na huzuni.
Hulia kwa kuomboleza kwa sauti jambo ambalo kwenye uislamu hairuhusiwi kulia kwa kuomboleza kwa sauti kwenye msiba.
Au wanaweza wakapoteza fahamu huko Makaburini, wakaanguka na kuzimia, au akaanguka na mavazi yake yakamtoka coz kwenye uislamu maziko ni ibada, wakati wa kuzika Makaburini ndio wakati wa machungu zaidi kwa wafiwa,sasa Wanawake ni wachache wa subira.