Kwa nini wanawake Waislamu hawaruhusiwi kushiriki shughuli muhimu za maziko kama hata kwenda makaburini kuzika wapendwa wao ?
View attachment 3118314
Nitie neno hapa:
Mazikoni ni mahala pa huzuni kubwa.
Ndiyo maana kuliko staarabika maziko ni jambo la kifamilia na privacy yao hupewa nafasi yake.
Inasikitisha kwa Dida privacy yake na hata ya familia imeshindwa kupewa nafasi yake.
Apumzike kwa amani Dida - mja wake Mola.