KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Katika uislamu wanawake hawaruhusiwi kuhudhuria mazishi makaburini kwa kuwa wanawake wako very emotional hivyo wanaweza kuvuruga shughuli nzima ya maziko...........
Vile vile uislamu unaamini mchanganyiko wa wanaume na wanawake ambao una uharamu Kati Yao unaweza kuzalisha fitna na watu kuangukia kwenye mambo mengine yasiohusiana na mazishi( temptation)
Uislamu unaamini kuwa muunganiko usio wa kisheria baina ya mwanamke na mwanamume unaweza kuzalisha mambo ya haramu hivyo basi lazima kuwe na mipaka baina ya watu hao wawili.........
lakini wanaweza kutembelea kaburi la mpendwa wao baada ya maziko........
(nipo tayari kusahihishwa kama nimeteleza au kibinadamu nimejisahau)
Vile vile uislamu unaamini mchanganyiko wa wanaume na wanawake ambao una uharamu Kati Yao unaweza kuzalisha fitna na watu kuangukia kwenye mambo mengine yasiohusiana na mazishi( temptation)
Uislamu unaamini kuwa muunganiko usio wa kisheria baina ya mwanamke na mwanamume unaweza kuzalisha mambo ya haramu hivyo basi lazima kuwe na mipaka baina ya watu hao wawili.........
lakini wanaweza kutembelea kaburi la mpendwa wao baada ya maziko........
(nipo tayari kusahihishwa kama nimeteleza au kibinadamu nimejisahau)