Kwanini wanawake wanaamini kuwa mwanaume mwenye gari ndio sahihi?

Hao wa hivyo siwataki. Nataka mwanamke anaekubali ile slogan "Hakuna baba mwenye Gari, kuna baba mwenye Nyumba."

Nataka mwanamke atakenimotivate nijenge nyumba, niwe baba mwenye Nyumba.

-callmeGhost
Kwahiyo hata kujenga nyumba hadi uwe motivated na mpenzi wako?
 
tumejifunza kutokana na makosa, mwanaume utamvumilia wakati yuko majalala akibutua tu anakuona sio hadhi yake
 
tumejifunza kutokana na makosa, mwanaume utamvumilia wakati yuko majalala akibutua tu anakuona sio hadhi yake

It doesn't necessarily mean hivyo, mwanaume hawezi kumtoa thamani mwanamke kabla mwanamke mwenyewe hajajitoa. Tatizo you are not maintaining your status as previously been doing, ukipata unaona umepaaaaaata basi unajisahau kabisa. Don't let your partner be the only one to start the pillow talk, u should also take the lead. Acha kabisa dharau na kutojali Coz hakunaga kitu kidogo kwenye mahusiano. Maintain heshima Kama uliyoionesha awali, jali usafi wake, uzima wake, take control kuhakikisha hapati stress from inside or outside. Hakikisha unamuandalia vyakula anavyovipenda. Jali usafi wa mwili wako.
 
Acha kulalamalama bila mpango, Kama una ishu soma alama za nyakati subiri muda muwafaka wa kuongea nae, subiri amerudi na baada ya kuoga, kula na kupumzika kidogo mfuate chumbani kaa pembeni ya kitanda Huku ukiwa umeshika kifuani pale na mkono mmoja eleza shida zako taratiiiibu kwa sauti mworoorooo atakuskiliza na ku act rapidly
 
yote hayo yashafanyika sana unajikuta umechoka roho na mwili hizo nguvu unazopoteza ni bora ukimbizane na vitu vya maana zaidi
 
Hao wa hivyo siwataki. Nataka mwanamke anaekubali ile slogan "Hakuna baba mwenye Gari, kuna baba mwenye Nyumba."

Nataka mwanamke atakenimotivate nijenge nyumba, niwe baba mwenye Nyumba.

-callmeGhost
Wewe kujenga unahitaji motivation ya mwanamke?!!
 
Haipiti mwezi lazima uzi wa kuwalalamikia mabinti kupenda magari uje humu. Muache jamani mnanipunguzia imani na mimi kujiamini kwa mai waifu wangu.
Dah itakubidi ununue tu ili kumaliza hili tatizo
 
Hahah!
Jamaa kumbe huu msemo wa majaliwa sijui kutafuta suluhu na magufuli,uliuanzisha miaka hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sababu hata kiokote akipata anabadilika,ni kheri upate mwenye nazo tu msaidiane kuendeleza miradi
 
Mwanaume anaemiliki gari anaonekana jasiri asieogopa kutumia na kutafuta fedha....ukikutana na kidume kinachotengeneza faida 100 m + kwa mwaka na bado kinadandia DCM mwanamke anakiogopa kwamba hiki kitamletea dhiki. Duniani tunapita nunua gari upunguze kero na uwapate hao wapenda magari. Gari raha wewe sikia tu. Iam a man nikiona nginja ina mpunga lakini bado inakomaa na daladala huwa naiona kama nginja isiyojiamini...unakusanya hela unataka kujenga dunia ingine!? Tumia helaaa weweee
 
Moja ya indication iliyo wazi kuonyesha mwanaume anaweza mudu majukumu ya mahusiano.
Hakuna kuremba maneno ,,fedha ni lazima ipatikane.
 
Shida tukianza na nyie wenye mikokoteni siku mkipata hayo magari mnapata na mwanamke mwingine ambae hajachumia juani na wewe.
 
Kwanini wanawake wanaamini kwamba mwanaume mwenye gari ndo mume sahihi? Je akili zao ziko miguuni hawa wanawake?
Ni ujinga tu ndiyo unawasumbua, si kila mwanamme mwenye gari anaendesha gari lake, wengi wanaazima toka kwa washikaji ama wanaiba magari ya ofisi kwenda kujionyesha mitaani kuwa wanajuwa kuendesha
 
Tusake noti wakuu bila Hivo tutadhalilika Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…