Kwanini wanawake wanang'ang'ania sana ndoa?

Kwanini wanawake wanang'ang'ania sana ndoa?

DIVISHENI FOO

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2023
Posts
1,440
Reaction score
3,142
Hii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.

Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.

Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?

Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?

Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?

Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?

Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?

Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!

Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.

Hii imekaaje?
 
Ndoa ni ajira kwa mwanamke ndugu yangu divisheni foo yani hapo mwanaume unakuwa umemsaidia
1.Makazi
2.Chakula
3.Mavazi
4.Afya akiugua
5.Ulinzi na usalama
6.Watoto na heshima
7.Usafiri akitaka kusafiri
8.Ukifa anarithi Mali zote
9.na unaweza kumfungulia biashara yake
Yote hayo utayafanya in exchange of sex
 
Ndoa ni ajira kwa mwanamke ndugu yangu divisheni foo yani hapo mwanaume unakuwa umemsaidia
1.Makazi
2.Chakula
3.Mavazi
4.Afya akiugua
5.Ulinzi na usalama
6.Watoto na heshima
7.Usafiri akitaka kusafiri
8.Ukifa anarithi Mali zote
9.na unaweza kumfungulia biashara yake
Yote hayo utayafanya in exchange of sex
Daaaaahhh huzuni sana.

Yaani mambo yote hayo anafanyiwa kwa malipo ya mbunye tu?

Unfair trade.
 
Daaaaahhh huzuni sana.

Yaani mambo yote hayo anafanyiwa kwa malipo ya mbunye tu?

Unfair trade.
Ni mfumo ndio unataka hivyo wenyewe wanasema "anything with penis can be fooled"
Sasa we angalia kwenye kutongoza hata mwanamke ajilengeshe vipi kwako siku ya kukutana lazima gharama zitakuwa upande wako
We are programmed
 
1. Umaskini . Wanawake wengI nitegemezi wanatafuta mahali pakutegemea
2. Msukumo wa jamii. Mwanamke anaishi katika jamii inayomlazimisha kuingia katika ndoa. Ndiposa mwanamke anaweza kuolewa na mwanaume yoyote hata asiyempenda mradi ndoa tu basi
 
Hii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.

Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.

Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?

Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?

Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?

Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?

Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?

Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!

Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.

Hii imekaaje?
ndoa ni heshima kubwa mno miongni mwa jamii,

inawaumiza na kuwasinonesha sana, yaani wanaviona vidada vyenzao vya kawaida tu ila vinajiheshimu vimeolewa, hivi sasa vinawatoto na maisha yao ya ndoa ni shwari kabisa,

huku wao pisi kali za maana kabisa , umri unasonga sana, p2 zinewachosha na kuwafubaza na makeup karibia imeanza kuwagomea, ndiyo sasa wanaanza kuchangamsha miguu hadi kwa ndumba, ukiachilia mbali kwenye maombi na maombezi ,

dada yuko tayari kuolewa hata mke wa sita bila mahari dah 🐒 🐒
 
Kwani ww haujui kuwa ndoa ni ajira kwa jinsia Ke?

Ukirudia kuuliza tena swali kama hili nakupiga na Rungu.

20241029_165603.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom