Kwanini wanawake wanang'ang'ania sana ndoa?

Kwanini wanawake wanang'ang'ania sana ndoa?

Hii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.

Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.

Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?

Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?

Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?

Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?

Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?

Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!

Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.

Hii imekaaje?
Kuhudumiwa raha saaaana asikwambie mtu yaaan upate mme anaejua wajibu wake acha wazikimbilie hizi ndoa
 
Hii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.

Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.

Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?

Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?

Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?

Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?

Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?

Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!

Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.

Hii imekaaje?
Tafsiri ya Ndoa ni nini? - ndo inawasumbua wanawake wa kileo.

Maana unakuta binti ana wanaume 5 na anafanya nao ngono - bado analilia ndoa.

Binti Anayeishi na mwanamme tiyari- naye analilia ndoa.

Yaani unashindwa kuelewa ndoa ina maana gani kwao?
 
Ghafla tu kila mwanamume ana kipato, anatunza mkewe na mkewe kafuata ajira ndoani na ana mali siku akifa mkewe anacho cha kurithi.

We listen, we don’t judge 😀

Vipi kuhusu wanawake walioolewa na wanavipato zaidi ya waume zao? Vipi kuhusu wale watoto wakishua nao wanaoolewa wakapate ajira? Again Vipi kuhusu neno “Single mother walio ndoani”? na hawalalamiki wanaendelea na maisha yao sababu wanajua wanachopata kwa waume zao, Wao je?

Tusiwaweke wanawake wote kwenye fungu moja, Kwa wengine it’s more than that Japo ni kweli kuwa kuna akina sisi ambao tunaolewa ili tupate ajira, tunaolewa sababu hatuna pakuishi na hatuna chakula 😂

Halafu bichwa we sio wakujadili mambo ya ndoa bwana, jadili yale mambo yako.
 
Source ya income ya wachungaji na waganga na sometimes wanapita nao. Wanategemea miujiza huku wakisahau kujifanyia analysis tabia zao ambazo zimewachelewesha kuingia ndoani, unakuta binti anasema kaokoka ila tabia zake ni zilezile.
 
Kwani ww haujui kuwa ndoa ni ajira kwa jinsia Ke?

Ukirudia kuuliza tena swali kama hili nakupiga na Rungu.

View attachment 3162055

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
ajira gani wakati wanawake siku hizi wana miradi yao, huoni VICOBA na vikundi vyao vya kupeana hela kwa zamu? pia angalia kwenye magenge maarufu kama soko mjinga wamejaa wenyewe watupu wanauza mbogamboga, matunda na vitu vingine
 
Back
Top Bottom