Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhudumiwa raha saaaana asikwambie mtu yaaan upate mme anaejua wajibu wake acha wazikimbilie hizi ndoaHii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.
Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.
Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?
Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?
Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?
Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?
Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?
Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!
Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.
Hii imekaaje?
Tafsiri ya Ndoa ni nini? - ndo inawasumbua wanawake wa kileo.Hii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.
Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.
Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?
Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?
Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?
Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?
Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?
Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!
Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.
Hii imekaaje?
Na miongoni MWA mafanikio pia wakati mwanaume akihesabu Nina nyumba,Gari,kiwanja mwanamke anahesabu nimeolewa nina mji Wangu Nina watoto Wangu nipo kwanguNadhani kwao ndoa ni kama heshima.
Hata kama nyumba umeikuta bado utaihesabia kuwa ni yako?Na miongoni MWA mafanikio pia wakati mwanaume akihesabu Nina nyumba,Gari,kiwanja mwanamke anahesabu nimeolewa nina mji Wangu Nina watoto Wangu nipo kwangu
Wanaitaji stara, kusitiriwa na waume ili wasionekane uselessMara nyingi Wanawake huwa wanahitaji sana ndoa kipindi ambacho ule uzuri imeisha kabisa
ajira gani wakati wanawake siku hizi wana miradi yao, huoni VICOBA na vikundi vyao vya kupeana hela kwa zamu? pia angalia kwenye magenge maarufu kama soko mjinga wamejaa wenyewe watupu wanauza mbogamboga, matunda na vitu vingineKwani ww haujui kuwa ndoa ni ajira kwa jinsia Ke?
Ukirudia kuuliza tena swali kama hili nakupiga na Rungu.
View attachment 3162055
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Na mifumo dume ndio ilikua inahamasisha wanaume wa kipindi cha nyuma kuoa 🤔🤔🤔 sasa hivi kipi kitakuvutia kuoa?