Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Mkuu, rejea vilio vya wanaume kusalitiwa, kutapeliwa, kutelekezwa n.kHiko kisasi anakifanyaje kwa huyo mwanaume mwingine?
Wanawake hawaziliwi tu na kuchukia wanaume, kuna hadithi nyuma ya chuki. Wanawake wana silaha moja hatari mno, UZAZI NA MALEZI.