Ukipata cheti ndo unakuwa umeolewa? Labda kama wewe ni bikra.
Binti katolewa bikira shule ya msingi, hadi anamaliza form six keshagongwa na wanaume 5+ tofauti.
Chuo katembea na wanaume 10+, wengine kaishi nao pika pakua na katoa mimba kibao.
Akifikisha miaka 28 body count ni 20+ ila anataka cheti iwe kiashiria cha kwamba kaolewa.
Mabinti wengi wanataka cheti ni kwa Sababu mambo yote yanayofanywa kwenye ndoa keshayafanya, so hakuna cha ajabu kwake, tofauti na cheti/makaratasi.
Sasa akipewa hilo karatasi/cheti, huyo muoaji ndo anakiona cha moto, maana binti aliyeruka na dick 20+ hawezi tosheka na dick 1. Ndoa ikibahatika itakaa mwaka mmoja kisha inavunjika.
Pia hata kama binti anabody count chache mfano 1, kama huyo mmoja amekaa naye kwa kipindi kirefu ila hakumpa cheti, anatokea boya mmoja anampa cheti. Huyo boya lazima ataisoma namba maana X atakuwa na nguvu sana.
Nasisitiza, Kama wewe ni bikra, upewe cheti.