uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
🙏🙏Pamoja mkuu tuendelee kupambanaTURUHUSU TUKUJENGEE MNARA MKUU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🙏Pamoja mkuu tuendelee kupambanaTURUHUSU TUKUJENGEE MNARA MKUU
Si ndo hapo sasaNa mifumo dume ndio ilikua inahamasisha wanaume wa kipindi cha nyuma kuoa 🤔🤔🤔 sasa hivi kipi kitakuvutia kuoa?
Itategemea mnakutana wapi!Akija ghetto/kwako akipika na ukamlala kuna gharama zipi za kutisha? Acheni kuvimba kishamba ili muonrkane mnazoNi mfumo ndio unataka hivyo wenyewe wanasema "anything with penis can be fooled"
Sasa we angalia kwenye kutongoza hata mwanamke ajilengeshe vipi kwako siku ya kukutana lazima gharama zitakuwa upande wako
We are programmed
Mbona mnatombesha hata kwa waume za watu? Kwa nini mnakuwa na mabwana zaidi ya mmoja? Kwani huwa mnabakwa?Mkuu lengo siyo kutombesha bali mnatulaghai kwamba ndiyo mtakua wenzi wa maisha, kumbuka watu uliowa... kwa kigezo kwamba utawaoa,je uliwaambia ukweli kwamba no future? Unahisi wangekukubalia kama ungewaambia?
Ila haya maishaNdoa ni ajira kwa mwanamke ndugu yangu divisheni foo yani hapo mwanaume unakuwa umemsaidia
1.Makazi
2.Chakula
3.Mavazi
4.Afya akiugua
5.Ulinzi na usalama
6.Watoto na heshima
7.Usafiri akitaka kusafiri
8.Ukifa anarithi Mali zote
9.na unaweza kumfungulia biashara yake
Yote hayo utayafanya in exchange of sex
Aisee 🤔Ndoa ni ajira kwa mwanamke ndugu yangu divisheni foo yani hapo mwanaume unakuwa umemsaidia
1.Makazi
2.Chakula
3.Mavazi
4.Afya akiugua
5.Ulinzi na usalama
6.Watoto na heshima
7.Usafiri akitaka kusafiri
8.Ukifa anarithi Mali zote
9.na unaweza kumfungulia biashara yake
Yote hayo utayafanya in exchange of sex
Kwanini mnatumia lugha ambazo hazina stahaMkuu, mwanamke akienda kutombesha na akatombeka nini kinatokea? Kinachotokea ni ongezeko la mzazi malaya. Hapo kakomolewa nani?
Kwangu mimi, Jamii ya wanaume waliofeli utaitambua kwa kutazama wanawake zao. Ukiona mmezungukwa na malaya, ujua hamna wanaume hapo.
hapa ni asilimia moja Kati ya Mia ya wanawake wanao jiweza na wanatokea ushuani,Ghafla tu kila mwanamume ana kipato, anatunza mkewe na mkewe kafuata ajira ndoani na ana mali siku akifa mkewe anacho cha kurithi.
We listen, we don’t judge 😀
Vipi kuhusu wanawake walioolewa na wanavipato zaidi ya waume zao? Vipi kuhusu wale watoto wakishua nao wanaoolewa wakapate ajira? Again Vipi kuhusu neno “Single mother walio ndoani”? na hawalalamiki wanaendelea na maisha yao sababu wanajua wanachopata kwa waume zao, Wao je?
Tusiwaweke wanawake wote kwenye fungu moja, Kwa wengine it’s more than that Japo ni kweli kuwa kuna akina sisi ambao tunaolewa ili tupate ajira, tunaolewa sababu hatuna pakuishi na hatuna chakula 😂
Halafu bichwa we sio wakujadili mambo ya ndoa bwana, jadili yale mambo yako.
Sio hivyo mkuu pia hata sisi wanaume pia ili tupate utulivu ndio tunakua na wao na kutimia hasa kwa mwanaume ni kua na mke kipimo kikubwa kua kiongoz bora kila mmoja ana faida kiupande wake utulivu wetu sisi unatokana na waoDaaaaahhh huzuni sana.
Yaani mambo yote hayo anafanyiwa kwa malipo ya mbunye tu?
Unfair trade.
Kwa hiyo wanaume ndio wanawaambia wanawake wawe malaya?Ukiona mmezungukwa na malaya, ujua hamna wanaume hapo.
Kajikomoa huyo mwanamke malayaMkuu, mwanamke akienda kutombesha na akatombeka nini kinatokea? Kinachotokea ni ongezeko la mzazi malaya. Hapo kakomolewa nani?
Hii sayansi mm mwenyewe nimeshindwa kwakweli sijui baadhi ya mabinti wanawazaga nini, wakiwa in their prime years, mara nyingi kama kama sio kutembea na mme wa mtu, ni bodaboda mla mirungi na bangi Tlaatlaahunakuta katoto kadogo tu, tena kwa mapozi yote kanaringa kweli kutembea na mbaba mtu mzima mwenye mke na familia yake,
huku anamkataa kijana mwenzake mwenye nguvu zaid..
akija kufika 35, kachakaa hadi anajichukia mwenewe, akitazama nyuma hamuoni hata kijana moja anaemfuatilia, wakati huo huyo mbaba hajiwezi tena,
Kila mwanamke huwa na malengo yake ila mwisho muda ndio huwa inaamuaHii sayansi mm mwenyewe nimeshindwa kwakweli sijui baadhi ya mabinti wanawazaga nini, wakiwa in their prime years, mara nyingi kama kama sio kutembea na mme wa mtu, ni bodaboda mla mirungi na bangi Tlaatlaah
kushenyentwa maana yake nini?Hii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.
Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.
Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?
Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?
Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?
Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?
Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?
Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!
Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.
Hii imekaaje?
Ndoa ya cheti.Tafsiri ya Ndoa ni nini? - ndo inawasumbua wanawake wa kileo.
Maana unakuta binti ana wanaume 5 na anafanya nao ngono - bado analilia ndoa.
Binti Anayeishi na mwanamme tiyari- naye analilia ndoa.
Yaani unashindwa kuelewa ndoa ina maana gani kwao?
Ipi hiyo mkuu? Mbona nimetumia kiswahili fasaha?Kwanini mnatumia lugha ambazo hazina staha