Hilo ni jukumu la wazazi wote wawili kuhakikisha watoto wao hawaingii kwenye kasumba mbaya yoyote ikiwemo kujihusisha na umalaya.Ukiwa na wanao wa kike huna jukumu la kuhakikisha hawafanyi umalaya? Wanao wa kiume utawaacha wanunue malaya sababu wapo sokoni? Shubamiit.
Unachosimamia ni nini hasa mbona ueleweki?