Kwanini wanawake wanang'ang'ania sana ndoa?

Kwanini wanawake wanang'ang'ania sana ndoa?

Ukiwa na wanao wa kike huna jukumu la kuhakikisha hawafanyi umalaya? Wanao wa kiume utawaacha wanunue malaya sababu wapo sokoni? Shubamiit.
Hilo ni jukumu la wazazi wote wawili kuhakikisha watoto wao hawaingii kwenye kasumba mbaya yoyote ikiwemo kujihusisha na umalaya.

Unachosimamia ni nini hasa mbona ueleweki?
 
Jinga sana wewe jamaa, kwa hiyo wanawake hawajui kuwa umalaya ni ukosefu wa maadili mpaka wanaume wasimame kuwafundisha

Wewe ni simp moja mpumbavu sana
Naona uliamua kulitolea uvivu jamaa lina akili za ovyo sana hili, sijui linatumia kiungo gani kufikiri

Nimekutana na a lot of big time simps lakini sio wajinga kama hili jamaa la kujiita Tsh,

Naamini kabisa hata Hawa Wanawake aliokazana kuwatetea humu watakuwa Wanamuona mtu wa ovyo na wanamdharau sana, maana wao wenyewe wanajua kabisa mambo mengi ya ajabu ajabu ikiwemo hili la umalaya huwa wanafanya kwa utashi wao wenyewe bila msukumo wowote kutoka kwa wanaume.
 
Hauna hoja mwehu wewe unanipotezea muda tu
Kihalisia watu kama huyo ndio wanawaharibu Wanawake na jamii kwa ujumla...kivipi?

Wanawake watakuwa wanafanya matendo yote ya kishenzi ikiwemo ukahaba, wakiamini kwamba Kuna watu kama Tsh wata justify matendo yao Tena huku wakitupa lawama zote kwa wanaume.

Na jamii yoyote iliyofeli kimaadili chunguza utakuta nyuma yake Kuna masimps Kibao yapo yapo tu kama mazombie Yana rationalize na kutetea tetea ovyo uovu wa Wanawake.
 
Hapa mtaani Kuna Binti ni msomi Tena wa ngazi ya stashahada kabisa amezalishwa na mvuta bangi tu mmoja ambaye Hana mbele wala nyuma...

Sasa hivi eti ndio anatafuta mwanaume mstaarabu afanye nae maisha...

Kulingana na hii comment yako, huyu Binti naye alikuwa ana malengo ya kuzaa na mvuta bangi kwanza kisha baadae ndio aje aolewe na mwpanaume mstaarabu etiiii???
Wakishakuwa kwenye ubora mara nyingi huwa hawataki wanaume wenye malengo
 
Mimi naishi Sinza hapa Kuna Wanawake Kibao ambao wanaojiuza.. kwa hiyo na Mimi ni mwanaume wa ovyo niliyefeli kisa tu naishi mitaa yenye malaya Kibao au?
Unaishi na malaya? Na wanao wanaishi hapo hapo?
 
Hilo ni jukumu la wazazi wote wawili kuhakikisha watoto wao hawaingii kwenye kasumba mbaya yoyote ikiwemo kujihusisha na umalaya.

Unachosimamia ni nini hasa mbona ueleweki?
Mbona umenielewa boss? Ushasema hapo juu ni jukumu la wazazi wote wawili, sasa kati ya baba na mama nani anamuongoza mwenzake. Toto lako na mkeo likiwa malaya na linatoka kwenye nyumba yako nani kafeli? Mnakimbia kimbia ila wanaume tukisimama sehemu yetu umalaya utapungua kama si kuisha, by the way sisi ndo wanunuzi wa hao malaya. Unakuta baba linaenda nunua malaya ana umri sawa na binti yake halafu unasema mwanaume hausiki? Akili gani unatumia kuhitimisha hivyo?
 
Naona uliamua kulitolea uvivu jamaa lina akili za ovyo sana hili, sijui linatumia kiungo gani kufikiri

Nimekutana na a lot of big time simps lakini sio wajinga kama hili jamaa la kujiita Tsh,

Naamini kabisa hata Hawa Wanawake aliokazana kuwatetea humu watakuwa Wanamuona mtu wa ovyo na wanamdharau sana, maana wao wenyewe wanajua kabisa mambo mengi ya ajabu ajabu ikiwemo hili la umalaya huwa wanafanya kwa utashi wao wenyewe bila msukumo wowote kutoka kwa wanaume.
Umalaya ni matokeo ya jamii iliyofeli. Hata mkikataa jamii inaongozwa na mwanaume. Mtakimbia kimbia ila ndo uhalisia.
 
Kihalisia watu kama huyo ndio wanawaharibu Wanawake na jamii kwa ujumla...kivipi?

Wanawake watakuwa wanafanya matendo yote ya kishenzi ikiwemo ukahaba, wakiamini kwamba Kuna watu kama Tsh wata justify matendo yao Tena huku wakitupa lawama zote kwa wanaume.

Na jamii yoyote iliyofeli kimaadili chunguza utakuta nyuma yake Kuna masimps Kibao yapo yapo tu kama mazombie Yana rationalize na kutetea tetea ovyo uovu wa Wanawake.
Umekurupuka boss. Ukitulia ukaelewa kazi ya mwanaume katika jamii utaelewa ninachosema ila kwa sababu una mbio umekimbia tu bila kujali.
 
Hao billion 4 wapo daslam? (NB;daslam hamna hata mmoja wote matapeli) pia Hapo Kuna watoto walio olewa wazee na wagonjwa....

Kiufupi iyo moja nawapa wazazi wet kwa Maana ya mama zetu japokua wapo wanao zingua vile vile .... ila mabinti zao wote chenga.
Kwa taarifa yako wanawake bora wanapatikana Tz tu, huko kwingine kwa ulivyolelewa hautoweza.

Tuvumulieni na njaa zetu, Sisi ndo tuko! 😂
 
Hii kitu ukiichambua sana utaishia kua alone hasa km simuislam,waislam kuoa ni lazima ili usizini kwakua ni moja ya vitu vinavyoikinga hata swala zako,nabahati zako,westerners ndio walioharibu sana hii kitu na itafikia vijana wanaoweza waridhisha wake zao/wapenzi wao watakua wachache sn kwakua mashoga,madawa plus lishe duni linaua nguvu kazi sana
 
Unaishi na malaya? Na wanao wanaishi hapo hapo?
Kwa hiyo nihame na familia yangu hapa nilipo kisa Kuna Malaya au?.... Haya huko ninapo hamia pakivamiwa na Malaya na penyewe nihame kisa nina kimbia Malaya au?

Hivi huu ubongo unaotumia kuandika hapa ndio huo huo unaotumia kuvuka na barabara au???

Halafu Kuna mtu mmoja humu aliwahi kusema eti wewe ndio mwanaume Smart humu??
 
Kwa hiyo nihame na familia yangu hapa nilipo kisa Kuna Malaya au?
Sijasema hama, nimeuliza swali boss, Sasa unadhibiti vipi hiyo hali isilete madhara kwa familia yako? Watoto wasiige wakidhani ni jambo sahihi?
.... Haya huko ninapo hamia pakivamiwa na Malaya na penyewe nihame kisa nina kimbia Malaya au?
Hili la kuhama unalileta wewe, nimeuliza tu unaishi na malaya? Familia ipo hapo?
Hivi huu ubongo unaotumia kuandika hapa ndio huo huo unaotumia kuvuka na barabara au???
Punguza kuchemka. Haupo vitani boss. Mijadala ya kawaida unachemka.
Halafu Kuna mtu mmoja humu aliwahi kusema eti wewe ndio mwanaume Smart humu??
Huyo mtu sijawahi msikia ila ukiacha kuchemka itapendeza.
 
Mbona umenielewa boss? Ushasema hapo juu ni jukumu la wazazi wote wawili, sasa kati ya baba na mama nani anamuongoza mwenzake. Toto lako na mkeo likiwa malaya na linatoka kwenye nyumba yako nani kafeli? Mnakimbia kimbia ila wanaume tukisimama sehemu yetu umalaya utapungua kama si kuisha, by the way sisi ndo wanunuzi wa hao malaya. Unakuta baba linaenda nunua malaya ana umri sawa na binti yake halafu unasema mwanaume hausiki? Akili gani unatumia kuhitimisha hivyo?
Sasa kama ni hivyo haya malalamiko yako ilipaswa uyaweke kwenye muktadha wa individual level na sio kuongea too general kama kwamba wanaume wote tuko responsible kwa ushenzi tunaona ukifanywa na Wanawake.

Binti kama amekuwa ni degenerate kwenye jamii basi lawama ziende huko wa wazazi wake ambao wameshindwa kutimiza wajibu ipasavyo wa kimalezi na sio kwa wanaume wote wanaomzunguka, kumbuka kwenye maisha haya Kila mtu analea mtoto wake mwenyewe... Jukumu la kulea mtoto kwenye misingi iliyobora ni la wewe mzazi na sio jamii nzima.

Kwenye comments zako za nyuma umeshusha lawama kwa wanaume generally utafikiri leo wewe ukizaa mtoto anakuwa Mali ya wanaume wa jamii nzima... Acha upuuzi wewe.

Na pia suala la wanaume kununua Wanawake huwezi ukaanza kutupa lawama Moja kwa Moja wanaume, reasoning ya kipumbavu kama hii wanayo maaskari wa bongo wale ambao huwa wanaenda kwenye madanguro wanakamata wateja kisha makahaba wanawaacha ambapo baadae makahaba hao wanarudi Tena barabarani kujipanga kuwinda wateja wapya........ Tumia akili kidogo utagundua utagundua kudeal na mnunuzi wa bidhaa ni ujinga ilihali muuza bidhaa ataendelea kuwa huru kuuza bidhaa yake.
 
Sijasema hama, nimeuliza swali boss, Sasa unadhibiti vipi hiyo hali isilete madhara kwa familia yako? Watoto wasiige wakidhani ni jambo sahihi?

Hili la kuhama unalileta wewe, nimeuliza tu unaishi na malaya? Familia ipo hapo?

Punguza kuchemka. Haupo vitani boss. Mijadala ya kawaida unachemka.

Huyo mtu sijawahi msikia ila ukiacha kuchemka itapendeza.
Nini mantiki ya swali lako kuniuliza kwamba ninaishi na familia yangu hapa???? Unataka kusema nini hasa?
 
Back
Top Bottom