Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Kumbe huwa unaongeaga point Akili zikikurudi.ni somo na darasa kwa hawa wa sasa but hawataki kujifunza sielewagi kwanini,
unakuta katoto kadogo tu, tena kwa mapozi yote kanaringa kweli kutembea na mbaba mtu mzima mwenye mke na familia yake,
huku anamkataa kijana mwenzake mwenye nguvu zaid..
akija kufika 35, kachakaa hadi anajichukia mwenewe, akitazama nyuma hamuoni hata kijana moja anaemfuatilia, wakati huo huyo mbaba hajiwezi tena,
inatia huruma sana aisee 🐒
Now this’s it! na ni sababu nzuri “priority”.Sawa nimekuelewa lakini wanawake ni last priority Kwangu.
Wanaume ni wachache kaka,ila pia jiulize ni kwanini hao hao wakiingia kwenye ndoa uzichoka haraka?nakutamani kutoka?Hii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.
Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.
Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?
Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?
Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?
Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?
Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?
Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!
Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.
Hii imekaaje?
Na mi huwa najiuliza hilo sana, yaani wao uwaza tu we mwanaume uta go kabla ya wao,na kama vile wanaomba sana iwe ivyo,yote ni mipango ya mungu jamani, yoyote aweza tanguliaa ebo!!Mara nyingi nimeshuhudia kwenye arguments za wana ndoa kuhusu mipango ya kimaendeleo.
Utamskia mwanamke akimuambia mume wake "sasa ukifa mimi na watoto tutaishije?"
Yani wao wanajiweka wa mwisho kufa.
jifunze kutambua unachangia nini wapi gentleman,Kumbe huwa unaongeaga point Akili zikikurudi.
Ila zikitoka unaanza uchawa.
Kaa kwa kutulia chawa wewe.jifunze kutambua unachangia nini wapi gentleman,
unyumbu na makasiriko yako baki nao huko huko kwa wenye mihemko wenzako 🐒
unakuja na unyumbu wako kwenye mapenzi?Kaa kwa kutulia chawa wewe.
Tulia wewe kinyamkera.unakuja na unyumbu wako kwenye mapenzi?
Bangladeshi mkubwa we! lione, alaa!🐒