Kwanini wanawake wanang'ang'ania sana ndoa?

Kwanini wanawake wanang'ang'ania sana ndoa?

ni somo na darasa kwa hawa wa sasa but hawataki kujifunza sielewagi kwanini,

unakuta katoto kadogo tu, tena kwa mapozi yote kanaringa kweli kutembea na mbaba mtu mzima mwenye mke na familia yake,

huku anamkataa kijana mwenzake mwenye nguvu zaid..

akija kufika 35, kachakaa hadi anajichukia mwenewe, akitazama nyuma hamuoni hata kijana moja anaemfuatilia, wakati huo huyo mbaba hajiwezi tena,

inatia huruma sana aisee 🐒
Kumbe huwa unaongeaga point Akili zikikurudi.

Ila zikitoka unaanza uchawa.
 
Hii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.

Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.

Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?

Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?

Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?

Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?

Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?

Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!

Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.

Hii imekaaje?
Wanaume ni wachache kaka,ila pia jiulize ni kwanini hao hao wakiingia kwenye ndoa uzichoka haraka?nakutamani kutoka?
 
Ukiachana na kupata urahisi wa maisha kwa kutoa sex na kuzaa pekee. Wengi hulilia ndoa baada ya prime zao kupita, sababu mwanamke bila ya mwanaume anakosa dhumuni la maisha na thamani yake inashuka, vilevile akili yake hukosa amani, lakini hasa akiona wenzake wapo ndoani.

Ukijua kucheza na psychology ya mwanamke wala hutopata tabu.
 
Mara nyingi nimeshuhudia kwenye arguments za wana ndoa kuhusu mipango ya kimaendeleo.

Utamskia mwanamke akimuambia mume wake "sasa ukifa mimi na watoto tutaishije?"

Yani wao wanajiweka wa mwisho kufa.
Na mi huwa najiuliza hilo sana, yaani wao uwaza tu we mwanaume uta go kabla ya wao,na kama vile wanaomba sana iwe ivyo,yote ni mipango ya mungu jamani, yoyote aweza tanguliaa ebo!!
 
Kumbe huwa unaongeaga point Akili zikikurudi.

Ila zikitoka unaanza uchawa.
jifunze kutambua unachangia nini wapi gentleman,
unyumbu na makasiriko yako baki nao huko huko kwa wenye mihemko wenzako 🐒
 
Andika hapo
Taasisi ya Ndoa inaenda kufa.
FB_IMG_1732396948391.jpg
 
Back
Top Bottom