Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Miisilamu inajidai tu mijuba mikubwa haina lolote, ndoni iko tupu.
Hata Hina usichore bibie,

Ni machukizo, msituharibie watoto wetu wa kike.

Wanawake wa kiyahudi na waislamu wanavaa vizuri.

Waondoe tu mapambo mwilini.
 
Kwanini sasa majini yenu ya kiislamu na kiarabu yanasumbua hata wasio waislamu?
Si mijinni ya kiisilamu haina adabu, inataka kuchezea tu makalio ya watu.

Mipepo amayo haina dini haifanyi hivyo ina heshima.
 
Leo hujaamka vizuri bi Faiza,

Mijini imekuchezea nawe ulipolala?
Mimi natembea nayo usiku na mchana.

Mishenzi sana hii mijinni Miarabu, tena mipalestina hii ilimkumba hata Yesu siku 40 kule nazareti.

Mijinni mibaya sana hii, ina nguvu ya kumkumba hata "mungu".
 
Wanateswa Hasa wanawake na MAPEPO, Hasa wavaa mawigi.
Mapepo ni maigizo tu mkuu. Wanawake wa kiswahili walikuwa wanajidai wana mapepo ili kupima upendo wa wanaume wao. Wakifanyiwa sherehe kubwa ya kutoa pepo basi wanasema wanapendwa. Wenye mapepo ni watu waliokosa kabisa aibu.
 
Mapepo ni maigizo tu mkuu. Wanawake wa kiswahili walikuwa wanajidai wana mapepo ili kupima upendo wa wanaume wao. Wakifanyiwa sherehe kubwa ya kutoa pepo basi wanasema wanapendwa. Wenye mapepo ni watu waliokosa kabisa aibu.
Hayajakukuta. IPO siku.
 
Mimi natembea nayo usiku na mchana.

Mishenzi sana hii mijinni Miarabu, tena mipalestina hii ilimkumba hata Yesu siku 40 kule nazareti.

Mijinni mibaya sana hii, ina nguvu ya kumkumba hata "mungu".
Yesu alipokuwa duniani katika mwili, alihusika kiasi kikubwa kuyafukuza mapepo yaliyowakalia na kuwatesa wanawake.

Yesu ni Mungu, ana nguvu na mamlaka juu ya Pepo na shetani.

Amen
 
Mleta mada ana upungufu wa afya ya akili. Yaani anawaza vitu halafu anavileta hapa na havina maana yeyote zaidi upunguwani. Huwa nashangaa sana pale mtu mweusi anapolazimisha na yeye kujiona ni Mkristo au Mwislamu. Jitambue
 
Ukarib wa mapepo na wanawake haujanza leo.. tokea bustan ya eden alianza piga stor na shetan. Ogopa sana
 
Yesu alipokuwa duniani katika mwili, alihusika kiasi kikubwa kuyafukuza mapepo yaliyowakalia na kuwatesa wanawake.

Yesu ni Mungu, ana nguvu na mamlaka juu ya Pepo na shetani.

Amen
Hata nguruwe aliwateketeza, usishau hilo.
 
Hata nguruwe aliwateketeza, usishau hilo.
No, aliteketeza mapepo, nayo Kwa hasira yakawaibgia nguruwe na kuwamaliza.

Msikubali NDOA na majini, ni hatari.

Hata kama yanawaletea pesa, ni hatari.

Msiyafuge.
 
Ukarib wa mapepo na wanawake haujanza leo.. tokea bustan ya eden alianza piga stor na shetan. Ogopa sana
Ndo wanaume tuwe macho,

Hujiulizi Adam alikuwa wapi Hadi Hawa apate nafasi hiyo!!

Tupunguze ubussy!!

Tuwawekee ulinzi Ili mambo yasihatibike.
 
No, aliteketeza mapepo, nayo Kwa hasira yakawaibgia nguruwe na kuwamaliza.

Msikubali NDOA na majini, ni hatari.

Hata kama yanawaletea pesa, ni hatari.

Msiyafuge.
Haya tutafunga ndo na mabaharia tu.
 
Sababu kuu ni mapambo na mawigi. Kuvaa vitu vinavyotokana na mapepo ni kuyakaribisha.

Waliostuka na kuacha wanaishi poa sana!!
 
Mleta mada ana upungufu wa afya ya akili. Yaani anawaza vitu halafu anavileta hapa na havina maana yeyote zaidi upunguwani. Huwa nashangaa sana pale mtu mweusi anapolazimisha na yeye kujiona ni Mkristo au Mwislamu. Jitambue
Unaweza kuwa sawa,

Ila usisahau kuwa vichaa Huwa hawajui kuwa ni vichaa.

Waeza kuwa mmoja wapo, hivyo Tukae Kwa tahadhari!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…