Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Ila si Kuna ukweli,ukiwa mzuri mno unawaza uolewe na mtu mkubwa hata mkaishi ulaya, unaangalia mwenye level za juu za maisha , mwishowe anakuzalisha anakuacha. Yaani Kila ukipiga Kona unatongozwatongozwa ama unatolewa macho unategemea nini jamani,sema tu ukweli wewe unaye mme Ila wanawake wanamtolea machoNimesoma kwa uchungu mpaka nmetetemeka!
Natengua kauli mimi ni Gorilla sio hata mzuri..
Anyway: Uwe mke wa mtu uwe malaya " Dunia tunapita" kila mtu ashike 50 zake....
Akhaa ukiwa wa kawaids wanakuogopa tu utaskia nahisi sikuwezi kukupa maisha utadhani umesema unayataka?Ila si Kuna ukweli,ukiwa mzuri mno unawaza uolewe na mtu mkubwa hata mkaishi ulaya, unaangalia mwenye level za juu za maisha , mwishowe anakuzalisha anakuacha. Yaani Kila ukipiga Kona unatongozwatongozwa ama unatolewa macho unategemea nini jamani,sema tu ukweli wewe unaye mme Ila wanawake wanamtolea macho
Nani akuogope. Mie Kama moyo umekuwelewa nakuja nakueleza swaga zangu hata ungekuwa unamiliki ndege binafsi,Wala ilo halizuii mapenzi kutokuwepo baina ya mioyo miwili. Mana moyo haujui mahitaji Bali unajua kupendaAkhaa ukiwa wa kawaids wanakuogopa tu utaskia nahisi sikuwezi kukupa maisha utadhani umesema unayataka?
AminNani akuogope. Mie Kama moyo umekuwelewa nakuja nakueleza swaga zangu hata ungekuwa unamiliki ndege binafsi,Wala ilo halizuii mapenzi kutokuwepo baina ya mioyo miwili. Mana moyo haujui mahitaji Bali unajua kupenda
True, I have also the same experience in additional to, some do not satisfy men sexually. Better to say few things for them because ni mama zetu nasisi ni baba zao.Kuna sababu kubwa sana yenye nguvu ya kwanini wanawake wazuri kimuonekano hawaolewi.
Nimeona na kusikia sana kuanzia mtandaoni mpaka mtaani watu wakishangaa mwanamke fulani ni mzuri lakini haolewi.
Wanaume wote waliopita hapo na wakakimbia sio wajinga kama watu wanavyofikiria.
Wameuona moto, wamekiona kifo, wamemuona lusifa mwenyewe, wamekunywa sana azuma, wameona dalili zote za kuishia kuwa masikini wakabwaga manyanga kwa usalama wa afya, akili na uchumi wao.
Most beautful women that attracts a lot of men have strong character issues, they have bad attitude that in the course of time you as a man dating or marrying her will be a victim of her venom.
Uzuri wake usikuzibe macho ya kuona ukweli, ukiona red flag yoyote kanuni ni ile ile, HIT AND RUN
Kama wapo jf watag wadau wakawasalimie uko pmila nna rafiki zangu pisikali
HawapoKama wapo jf watag wadau wakawasalimie uko pm
sawa,Hawapo
Hakuna Cha confidence wala nn… oa mke mzuri ulee mtoto wa boss wakeIta depend na mwanaume, kuna wale low confidence, akijiona sura haijafika viwango vya anae mdate anaingiza hofu, hana pesa, hana maisha fulani so automatic na vile jamii ina waset attractive ladies basi anajiona hana bahati
Ila ladies wenye mvuto ni watu poa sana, ukiweza kufuta insecurity na confidence ikawa juu anakueheshim
Unaumri gani kijana?Aliyekwambia hawaolewi nani?au mkiwa huko vijiweni na WAJINGA wenzio ndo mnajipa matumaini kwamba wanawake wazuri hawaolewi?
Na milia kwa hips hajambo 😉Wewe jiulize kwanini punda milia yupo porini na punda kihongo tunaishi nao...
Huyo dogo bado anautoto kichwani, mpaka siku amfumanie baba ake na mkewe chumbani ndo akili itamkaa sawa, pisi kali nyingi hazina akili kichwani, wao huisi uzuri wao ndo suraha kubwa y kumchapia mwanamkeAliekuambia wanaolewa ni nani au wewe na mashoga wenzako hamjui tofauti ya pisi kali na sura za baba.
Tafuta demu suraa mbayaa ila inye ipo, halafu ndio TUJE KUONGEA.Ita depend na mwanaume, kuna wale low confidence, akijiona sura haijafika viwango vya anae mdate anaingiza hofu, hana pesa, hana maisha fulani so automatic na vile jamii ina waset attractive ladies basi anajiona hana bahati
Ila ladies wenye mvuto ni watu poa sana, ukiweza kufuta insecurity na confidence ikawa juu anakueheshim
Naona akili umeacha kwenye Mask,kichwa chako kimejaa COVID 19Unaumri gani kijana?
Oa Mwanamke mzuri alafu ki finance uwe empty, utakuja kuleta mrejesho hapa, ataliwa hadi na kaka zako wa damu kama sio babaako mzazi..
Hee kumbe na ww ni pisi kali.Hakuna lolote mnatuogopa tu
Mnahisi tuna deserve better
Hapo wenye sura mbaya wenyewe wameliwa...🤣🤣🤣🤣Wanaliwa Sana na wenye Pesa na madingi, mtu anapotaka kufikiria kumwoa anasikia Fulani kapita, Fulani kapita ana kunja mkia
Lakini juhudi zenu kama kasa ndani ya maji.Hakuna lolote mnatuogopa tu
Mnahisi tuna deserve better