Satisfy
Senior Member
- Jun 25, 2022
- 147
- 237
real"Sio kila mwanamke wakila mwanaume"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
real"Sio kila mwanamke wakila mwanaume"
Sababu ya kuachwa achwa ni fashion ya Tanga?.Ndio. Tunaachwa tunaoga tunarudi sokoni tunapata mpya. Tanga kuolewa mara kadhaa sio issue kabisa; bibiangu Binti Abdillahi aliolewa mara 6.
Unamaanisha wanawapata wasioweza kuwatuliza kwasababu na wao hawatulii kirahisi?Magnetism ndo Ina play role kubwa kuamua MTU awe na nani karibu.
Ndo maana kuna wanawake wengi wanapata wanaume Ila hawana uwezo wa kuwatuliza ili hao wanaume hadi wawaoe the same kwa wanaume
Toa muongozo sweetheart...
Uhakika kama upo kichwani kwangu.Wanaliwa Sana na wenye Pesa na madingi, mtu anapotaka kufikiria kumwoa anasikia Fulani kapita, Fulani kapita ana kunja mkia
Toa mfanoKuna sababu kubwa sana yenye nguvu ya kwanini wanawake wazuri kimuonekano hawaolewi.
Nimeona na kusikia sana kuanzia mtandaoni mpaka mtaani watu wakishangaa mwanamke fulani ni mzuri lakini haolewi.
Wanaume wote waliopita hapo na wakakimbia sio wajinga kama watu wanavyofikiria.
Wameuona moto, wamekiona kifo, wamemuona lusifa mwenyewe, wamekunywa sana azuma, wameona dalili zote za kuishia kuwa masikini wakabwaga manyanga kwa usalama wa afya, akili na uchumi wao.
Most beautful women that attracts a lot of men have strong character issues, they have bad attitude that in the course of time you as a man dating or marrying her will be a victim of her venom.
Uzuri wake usikuzibe macho ya kuona ukweli, ukiona red flag yoyote kanuni ni ile ile, HIT AND RUN
Tanga 85% wazuriLabda wa huko Dar es Salaam. Huku Tanga wanawake wazuri wote tunahesabu ndoa za nne sasa…
Kwani na wewe nimzuri?Hakuna lolote mnatuogopa tu
Mnahisi tuna deserve better
Kuna wanawake ni wazuri kwa wote mzee , yani mimi namuona mzuri na wewe hivyo hivyo sema hiyo ya uzuri upo machoni mwa mtu huwa ni kujifariji tu.'Uzuri' wa mwanamke upo machoni pa mwanaume.
Ninayemuona mimi kuwa ni mzuri, wewe waweza kuona ni takataka.
Uzuri wa sifa ya jumla jumla ni ubaya ubwela.
Ndonshasema ivo, hakuna mwanamke mzuri kwa watu wote duniani hayupo.Kuna wanawake ni wazuri kwa wote mzee , yani mimi namuona mzuri na wewe hivyo hivyo sema hiyo ya uzuri upo machoni mwa mtu huwa ni kujifariji tu.
Ukiona mtu analeta janja janja kutetea uzuri wa mke au demu wake jiongezeKuna wanawake ni wazuri kwa wote mzee , yani mimi namuona mzuri na wewe hivyo hivyo sema hiyo ya uzuri upo machoni mwa mtu huwa ni kujifariji tu.
Sure, wanafaa zaidi kuwa michepuko sio kuoaWapita njia ni wengi, watu wanaogopa kutumbukia.
HahahahahaEbu njoo PM, mie skuogopi mkuu...😋
Acha njaa.weka picha princess
I might just be your prince charming🙂
Nimesoma kwa uchungu mpaka nmetetemeka!Defensive mechanism. For what do you deserve better than others.
Yaani wewe utaliwa tu na Bata Zote utapewa Ila mke wa kukuzalia watt anakuwa mwingine ndiye anaye deserve best husband.
Wewe ni sawa mkulima aliye na shamba la Miwa karibu na shuleni.
Kwanza ukishaanza kutongozwa na kutafutwa na wanaume wengi yaani Ile tumekaa simu unapigiwa hazikauki najua how can I classify you.
Mcheki mobeto yupo na mond,rick Ross Leo yupo na burkinabe kijana wa Burkina faso
Hee nipo mwenzangu mwanamke kujiamini😂😂😂Ata wewe chibonge nyanya upo kwenye kundi la wazuri a.k.a warembo ?
😀😀😀😀😀Hee nipo mwenzangu mwanamke kujiamini😂😂😂
we mpemba jau sanaAcha njaa.
Miss Macho upo huku nako upo.we mpemba jau sana