Kwanini wanawake wazuri hawaolewi

Kwanini wanawake wazuri hawaolewi

Ndio. Tunaachwa tunaoga tunarudi sokoni tunapata mpya. Tanga kuolewa mara kadhaa sio issue kabisa; bibiangu Binti Abdillahi aliolewa mara 6.
Sababu ya kuachwa achwa ni fashion ya Tanga?.

Au mke ana sababu zipi hata awachwe mara 4 hadi kufikia cheo cha kuolewa cha bint Abdallah cha mara 6.
 
Magnetism ndo Ina play role kubwa kuamua MTU awe na nani karibu.


Ndo maana kuna wanawake wengi wanapata wanaume Ila hawana uwezo wa kuwatuliza ili hao wanaume hadi wawaoe the same kwa wanaume
Unamaanisha wanawapata wasioweza kuwatuliza kwasababu na wao hawatulii kirahisi?
Au unamaanisha mwanamke muovu atakuwa na mwanaume mwovu?
 
Kuna sababu kubwa sana yenye nguvu ya kwanini wanawake wazuri kimuonekano hawaolewi.

Nimeona na kusikia sana kuanzia mtandaoni mpaka mtaani watu wakishangaa mwanamke fulani ni mzuri lakini haolewi.

Wanaume wote waliopita hapo na wakakimbia sio wajinga kama watu wanavyofikiria.

Wameuona moto, wamekiona kifo, wamemuona lusifa mwenyewe, wamekunywa sana azuma, wameona dalili zote za kuishia kuwa masikini wakabwaga manyanga kwa usalama wa afya, akili na uchumi wao.

Most beautful women that attracts a lot of men have strong character issues, they have bad attitude that in the course of time you as a man dating or marrying her will be a victim of her venom.

Uzuri wake usikuzibe macho ya kuona ukweli, ukiona red flag yoyote kanuni ni ile ile, HIT AND RUN
Toa mfano
 
Kuna wanawake ni wazuri kwa wote mzee , yani mimi namuona mzuri na wewe hivyo hivyo sema hiyo ya uzuri upo machoni mwa mtu huwa ni kujifariji tu.
Ndonshasema ivo, hakuna mwanamke mzuri kwa watu wote duniani hayupo.

Iwe kwa sura, tabia na mambo mengine hayupo.
 
Defensive mechanism. For what do you deserve better than others.
Yaani wewe utaliwa tu na Bata Zote utapewa Ila mke wa kukuzalia watt anakuwa mwingine ndiye anaye deserve best husband.
Wewe ni sawa mkulima aliye na shamba la Miwa karibu na shuleni.
Kwanza ukishaanza kutongozwa na kutafutwa na wanaume wengi yaani Ile tumekaa simu unapigiwa hazikauki najua how can I classify you.
Mcheki mobeto yupo na mond,rick Ross Leo yupo na burkinabe kijana wa Burkina faso
Nimesoma kwa uchungu mpaka nmetetemeka!
Natengua kauli mimi ni Gorilla sio hata mzuri..
Anyway: Uwe mke wa mtu uwe malaya " Dunia tunapita" kila mtu ashike 50 zake....
 
Back
Top Bottom