Kwanini wanawake wengi huwaona waume/wanaume zao kama hawana akili au wana akili za kitoto?

Kwanini wanawake wengi huwaona waume/wanaume zao kama hawana akili au wana akili za kitoto?

Mimi ni mwanaume ila mara nyingi nikikaa na wanaume wenzangu, nagundia ni watoto kiakili. Wanaume wengi wa Kiswahili hawana uwezo wa kutumia akili zao vizuri.

Nimejikuta hata sipendi kuchangamana nao anywhere. Nikitoka kazini naenda kupumzika ghetto. Kahawa najiandalia meenyewe, mpira natizama meenyewe nyumbani.

Kwa ufupi wanaume husissani wa Kiswahili wanachoweza kukifanya kwa usahihi ni kukwamishana kimaendeleo
😂😂😂😂🙊
 
Watajua wenyewe, kikubwa tumake vibunda tule bata.
Mitazamo yao haitupi starehe wao watoe chini wapite hivi bana.
 
Back
Top Bottom