Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Siku za mwisho, huenda walichezea ujana wao.Salaam! Kama ilivyo ada natumai ni wazima wote. Ngoja niende direct kwenye swali, ni kwa nini wasichana wengi siku hizi ni single mothers?
Si unajua tena wanawake kwa kupenda kitongaWanazaa na waume za watu
Shida Ni kupenda USIPOPENDWA , na kuharakisha vitu kwa kudhani utakapozaa ndo utaolewaSalaam! Kama ilivyo ada natumai ni wazima wote. Ngoja niende direct kwenye swali, ni kwa nini wasichana wengi siku hizi ni single mothers?
Je, kwa kuwa wanawake wengi hawataki kutoka kimapenzi na wanaume wasio na mbwembwe, majivuno, waongo, masharobaro, wale wa show offs n.k? Nafikiri tunafahamu kuwa wanaume wengi wa hivi ni waongo.
Na je, kwa nini wasichana wengi wakati wakiwa bado 'moto' huwakataa na kuwakejeli hawa wanaume wastaarabu, wapole, wanaojiheshimu n.k, na kuwakubali hao kundi la kwanza, halafu wakishazalishwa huanza kuwasumbua bila huruma na kuwaletea mizigo ya watoto wasio wao ili walelewe?
Je, hii inaweza kuwa sababu?
Nini kifanyike?
Nawasilisha!
Lier!! ni ulevi wenu tu na ushamba kuogopa maleziNi ujeuri wao tu hakuna kingine kinacho waponza
Ukikua utaachaWanawake jeuri na vibuli tu vimejaa ndio maana hakuna mtu anataka kuoa au kuishi na type hizo..kinachobaki Ni kuzaa mchezo umeisha anaendelea kupambana na mwanae.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sana....tunatengeneza jamii mbaya sana ya baadae.Inasikitisha....
Inatengenezeka jamii ya ajabu sana.Sana....tunatengeneza jamii mbaya sana ya baadae.
Mkuu nmetamani siku moja uwe mwanamke alafu ungeona vizuri maana huwezi lijua Jambo vizuri ukiwa njeNi ujeuri wao tu hakuna kingine kinacho waponza
Mwanamke kuzalia nyumbani bila kuolewa ni dalili moja wapo anakiburi,dharau, na ujeuriMkuu nmetamani siku moja uwe mwanamke alafu ungeona vizuri maana huwezi lijua Jambo vizuri ukiwa nje
Naunga hoja yako.MkonoNi single motheres because of their life choices
Lier!! ni ulevi wenu tu na ushamba kuogopa malezi