Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

umeongea ukweli kuhusu future ya jamii zetu na ya taifa in generla. issue ya single mamas; bila kuhusisha data kama uliyo sema, kwa mtazamo wa kawaida tu ninaweza sema inaanzia katika jamii zetu wenyewe.
1. inaanzia katika malezi ya zama hizi tulizo nazo, how? Technically Single mama huwa wanaishi kwa kujihami "najilisha, najivalisha" mtoto anae lelewa na single mama hukuwa ktk imani hii na hata yeye atakuwa akiamini kuwa akishakuwa na access ya mbili tatu basi mwanaume sio issue tena kwake, anaweza zaa mtoto na kulea nk. hivyo stream ya single moms inazidi kuongezeka kwasababu hyo.
2. Wanaume nao wanaona vile single mamas wanavyo ishi, ikitokea akawa na mahusiano na mtto wa single mama basi always ataishi kwa tahadhali ya kudhalauliwa, hvyo ataishi akiamini mtoto huyo ana mindset kama ya mama ake, so ni suala la muda tu before hawaja achana. Kwa mentality hii relationships kama hizo huwa hazifiki mbali, tayari anakuwa anaandaliwa single mama mwingine.
3. Wanaume wengi wanapenda kuoa wanawake wenye sifa zenye kufanana na mama zao, angalau kidogo. Wanaume hao hao wamezaliwa 90's. Inamaana mama zao ni old model, mabinti wa leo wana lifestyles nyingine kabisa hawapo katika angle za waoaji...so mahusiano mengi yanakuwa short term, hata ikitokea mimba basi wanaweza kulea tu, ila si kigezo cha kuishi wote.

Naomba nisinukuliwe vibaya tafadhali...usipo elewa ukae tu kimya, ukielewa pia kaa kimya.
Point namba 3 Nakupa KONGOLE[emoji4][emoji106]
 
Mtu anakuambia kabisa mi nataka nizae na wewe tu ntalea mwenyewe! Haya mambo sio ya kudiscuss tena Tuishi nayo tu....
Acha kabisa,
Wanatafuta sperm donor, jichanganye Sasa[emoji4]
 
Ongezeko la single maza........ongea pia kuhusu wanaume wanaokimbia mimba, naona wengi mnaongea tu ubaya kuhusu hao ma single mother......em jiongeleeni pia nyie wanaume.....nyie ndio walaghai na matapeli wakubwa..... wanawake Wana upendo na nguvu ndo mana wanaweza kukaa na watoto na kuwatunza bila nyie..... WANAUME WAHESHIMUNI MA SINGLE MOTHER'S KWA SABABU NYIE NDO VYANZO VIKUBWA VYA KUWEPO HAO SINGLE MOTHER'S

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
We jamaa Unaogopa fujo za mchepuko ambae hata hamjazaa...

Mruhusu ajiunge na hiyo dating app na sitisha huduma kwake na kwa mwanae.
 
Nacheza na vidonge vya P2 na soda ya bitterlemon.

Hii nikijua nmemwaga ndani,
ndani ya Masaa 48 nahakikisha anapata bia za kutosha mpk anapata HANG OVER.

Kisha namshawishi anywe soda ya crest bitterlemon kuondoa uchovu.

NB: Hii soda ya crest bitterlemon au Everest hata uchanganye pakt nzima ya P2 ladha yake haibadiliki kabisa.

Kwaiyo yeye hajui kwamba kamezeshwa vidonge vya kuzuia mimba bila hiari yake.[emoji4]

Cc: witnessj
Dah!..huyu akija kuolewa atazaa kweli ?....
 
Ulimbukeni wa mapenzi unawafanya hata watu wa zima 40+ kuwa easily manipulated,

Yani unajihisi unapendwa sana, ilhali mtu kashasema anachohitaji nimteremko mtu wa kumtunza.. wewe kwanini hutaki kuachana naye???
 
Unachipotia ni sawa na nnachopitia Mimi.

Mchepuko Wangu niko nae mwaka wa 3 Sasa.

Binafsi siko tayari kuzaa nae na kwa Sasa mpaka changamoto zake za kitabia zitakaporekebika.

Nina Watoto 3 , yeye Hana hata mmoja.

Anataka kabla hajafikisha 30 awe keshapata mtoto.


Ila chenga nnazompiga kuhusu kuzaa nae
Hata yeye mwenyewe haelewi hili picha nalichezaje.

Kategesha Sana ila mimba hapati ng'oo.
Afu mimi Ndio wa kwanza kumlaumu kwanini hataki kunizalia. Basi ananung'unika anataka mpaka kwenda hospitali kupima.[emoji4]

Cc: Joannah Interlacustrine E
hahahah we muhuni sana mzee kwahio unambugilisha p2 kisha unamlaumu mbona hashiki mimba
 
Kata mirija yote ya kuhudumia kaa mwezi mmoja tu bila kumpigia wala kutumia msg wala kwenda kwake, atakutafuta mwenyewe atakwambia nilikuwa natania tu. Usimwoneshe huwezi kuishi bila yeye la sivyo atakutesa sana. Ila pia kama anataka mtoto mpe kwani tatizo lipo wapi, kama unaweza kuwahudumia hao wawili pamoja na familia yako Kuu iweje uwaze kuhudumia katoto kamoja tena damu yako. Ukiamua kula haramu chagua iliyonona.
Hivi unajua nguvu ya mchepuko mwenye mtoto wako? Usiombe tena hasa ukiwa na mke na familia. Huyo mtoto atakuwa fimbo ya kukuchapia hasa kama unataka kutunza siri.
 
Mkuu hiyo ni alert nyekundu, ukiona anawaka hivyo bado ajapata mtoto utambue kuwa ukimzalisha atataka na sehemu ya mali yako kabda ujafa, zinduka anakupeleka pabaya wewe na familia yako, inaenda kuingia kwenye migogoro, sasa fanya hivi siku jifanye mpole chukua simu yake futa picha zako kama uliwai kupiga nae, futa sms, ingia kwa email yake futa google drive yake yote, futa kila ushaidi unaohisi utakutia matatani kisha tafuta rikizo job safiri mkoani, ukifika huko unamchunia mwezi mzima, ukirudi unaendelea na maisha na mke wako , usimjibu sms wala usipokee call yake, kisha muone kama atapata hizo nguvu za kuja kwako kufanya fujo, hiyo ndo imetoka ndo dawa ya wanawake ving'ang'anizi.
Hii akili nzuri haswaa. Ni kupoteza ushahidi kwanza
 
Back
Top Bottom