Kwanini wanawake wengi wanabweteka kwenye mahusiano akishakuzoea

Ukishazoea mahusiano au kazi kifuatacho ni talaka au kufukuzwa
 
Wanawake wanapenda heka heka kwenye mahusiano na hii inatupa sana shida wanaume ambao tuna haiba ya upole na tabia ya kupuuzia drama zao, wanawake wanatuchukulia kama wanaume dhaifu fulani hivi
 
NO Mimi napenda nifanye nice kwa upande wangu kama mwanaume sitaki kuwa harsh ili ukisepa ukose Cha kuniongelea vibaya, ila ukilinga ujue Mimi sijali kabisaa, mwanamke ukimdekeza dekeza hovyo ndo utapoteza ela na muda
Nimekupata mwamba
 
Bora huyo demu alijirudi mwenyewe na kuamua kurudi kwa jamaa.Wengine ingekuwa ndo imetoka hiyo humuoni tena eti kwa Sababu anajimudu kiuchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…