Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Kumbe wanawake mnamshangaa? Nikajua ni wanawake wenye pesa, kumbe nyie njaa kali? Sasa mkimshangaa nyie na wanawake wenye pesa wakampa big up, atapungukiwa nini?Wanawake wenyewe tunamshangaa..
ana vinadharia flani hivi
Ngja tumuache akikua atayaona
Hatutaki maneno yenu sio nyie, mbona mnakua michepuko yetu Sasa,[emoji38][emoji38][emoji38]Wanaume wengi Ni dhaifu na wana inferiority complex, wanapenda wanawake wanyonge wawatese Ili waonekane wao ni vidume wa shoka, wanaamini hivo, sasa mwanamke anayejitegemea mwenye shule wanaume wakitanzania Wana mwogopa ka kituo Cha police na kumwita jeuri
Huwezi kupingana na nature,daima mwanaume ni mtawala na mwanamke ni mtawaliwaWanaume wengi Ni dhaifu na wana inferiority complex, wanapenda wanawake wanyonge wawatese Ili waonekane wao ni vidume wa shoka, wanaamini hivo, sasa mwanamke anayejitegemea mwenye shule wanaume wakitanzania Wana mwogopa ka kituo Cha police na kumwita jeuri
Huyo unae jibizana nae hajaoa mkuu rejea moja ya comment zake hamtakaa mwelewane kaika hilo.Ba
Basi usiwe msemaji wao mkuu kama kwel kiuchumi uko vzur na umewaajir watu,sidhan kama mkeo kakuzid kipato kwa hyo ni rahc kumu handle..hakuna udhaifu wowte kwa mwanaume juu ya hili..ukwel ni kwamba hata wanawake wanajijua kuwa wakiwa na level flan ya uchumi kwao ni either akutane na mwanaume ambaye atamwendesha au asiolewe kabxaa.....kama umejaliwa kipato cha juu kumzid mkeo shukuru tu Mungu ila usiseme kuwa wanaume ni dhaifu au wana uogaa juu ya wanawake wenye kipato kukuzd!!hilo sikubalian na ww
Hapana yaani asilimia kubwa Mimi hakuna wa kunifanyia hivoLabda kwa upande wako.
Ila kweliπ€Wenye mafanikio,wapo waliowawezesha kupata mafanikio; ukijichanganya shauri yako.
UPO ukweli kuwa wanaume wengi wanawaogopa wanawake wenye mafanikio. Hawa ni wanawake wenye kiwango kikubwa cha elimu, fedha, umaarufu au hata madaraka katika jamii. Hoja ya wanaume wenye mawazo haya ni ugumu wa kuwaongoza wanawake wanaowazidi kama alivyonieleza Godfrey, mwalimu wa sekondari jijini Arusha:
βMwanawake akipata kitu anakuwa jeuri sana. Hawezi kukusikiliza tena na atataka awe huru kufanya mambo yake bila kuingiliwa.β Kwa mujibu wa Godfrey, uwezo wa kifedha na mafanikio kwenye maeneo mengine ya maisha mara nyingi humfanya mwanamke asiwe na utayari wa kuwa chini ya utawala wa mwanaume. βHuwezi kuishi na mwanamke anayejiona yuko juu yako na ukabaki salama. Hatokuwa tayari kukupa nafasi ya kuwa na sauti kwenye nyumba.β
Nishamsoma mkuu,tayar nshampuuzaHuyo unae jibizana nae hajaoa mkuu rejea moja ya comment zake hamtakaa mwelewane kaika hilo.
Usifananishe kufanya mapenzi na kuishi ndoa, anapofanya mapenzi na dereva hizo ni hisia za mwili, Ila huyo akithubutu kumuoa ndoa inavunjika wiki tuAchana na mawazo ya kusaidiwa maisha.
Wewe kama umemuona mwanamke mzuri ana maisha yake zaidi yako ..nenda mtongoze.
Hawa wanawake hamjui tu. Kwakua watu wengi wanaogopa kuwatongoza, mara nyingi sana wanaishiwa kuliwa na Madereva wao, au watu wao wa kazin au walosoma pamoja.
Na kama haya yote hayapo, naye anakua nakiu ya kua na mtu sana, ukijitutumua tu ukamtongoza, Huyo hapo kajaa.
KWA UFUPI, AKILI YA MWANAMKE ITABAKI KUA YA MWANAMKE, AWE NI WAZIRI, MBUNGE, RAS, DED, RAIS, MJESHI, CEO, POLIS, MFANYABIASHARA N.K.
Wee kama umemwelewa tu vzuri, na unamhitaji, tafuta wapi pakumpatia, kisha endeleza safari.
Kwani umeoa bro?Wanalishana matongo pori tuuu ..
Sio tu familia bora, kuna wadada wamesoma, wamepambana wamekua na uchumi wao... Kwamba tusiwaoe??? Kisa wametuzidi kipato??
Woga ,nakutojiamin nakuhisi kudharauliwa.
Mwanamke, awe wa familia duni, au familia bora, mwenye elimu asokua nayo, mwenye uchumi ,asokua nao...
Usipojua kumtreat, atabaki kua mchungu tu na mwiba ..na utakufa kabla ya siku zako.
Yaa lazima ujue kumtreat, na kumtreat kwake ni kumnyenyekeaWanalishana matongo pori tuuu ..
Sio tu familia bora, kuna wadada wamesoma, wamepambana wamekua na uchumi wao... Kwamba tusiwaoe??? Kisa wametuzidi kipato??
Woga ,nakutojiamin nakuhisi kudharauliwa.
Mwanamke, awe wa familia duni, au familia bora, mwenye elimu asokua nayo, mwenye uchumi ,asokua nao...
Usipojua kumtreat, atabaki kua mchungu tu na mwiba ..na utakufa kabla ya siku zako.
Ni kuwa-dictate tu hamna jipya, Babu mzaa Mama alioa wanawake watano, wakeze wawili kutoka familia moja (Bibi yangu na mdogowe), Bibi zangu hao watano walikuwa wanalima, wanapalilia, wanavuna, wanampa mazao anauza, hela anatumia yeye labda awagawie kwa kupenda, bibi zangu hao mpaka mifugo na kukamua maziwa ilikuwa ni jukumu lao, silaha yake alikuwa ni mkali sana, kuwazibua makofi alikuwa hakawii, na aliwapangia zamu ya kupika pombe, kila mke alipewa wiki ya kupika debe mbili za pombe ya kunywa na rafiki zake (babu)...mwendo ulikuwa ni uleule mpaka kwa watoto wake wa kike (mama zetu) wamechunga ng'ombe....siri ni ileile ukitaka kumdominate mwanamke usicheke nae ...leo hii demu/mke mmoja anakupasua kichwa sababu dominance haipo sababu ya haki sawa...So kwetu sisi wanaume tunafanyaje Sasa Ili mwanamke Huyu tumuweke chini yetu?
Umacheka naye au sio?Ni kuwa-dictate tu hamna jipya, Babu mzaa Mama alioa wanawake watano, wakeze wawili kutoka familia moja (Bibi yangu na mdogowe), Bibi zangu hao watano walikuwa wanalima, wanapalilia, wanavuna, wanampa mazao anauza, hela anatumia yeye labda awagawie kwa kupenda, bibi zangu hao mpaka mifugo na kukamua maziwa ilikuwa ni jukumu lao, silaha yake alikuwa ni mkali sana, kuwazibua makofi alikuwa hakawii, na aliwapangia zamu ya kupika pombe, kila mke alipewa wiki ya kupika debe mbili za pombe ya kunywa na rafiki zake (babu)...mwendo ulikuwa ni uleule mpaka kwa watoto wake wa kike (mama zetu) wamechunga ng'ombe....siri ni ileile ukitaka kumdominate mwanamke usicheke nae ...leo hii demu/mke mmoja anakupasua kichwa sababu dominance haipo sababu ya haki sawa...
Sent using Jamii Forums mobile app
πππNi kuwa-dictate tu hamna jipya, Babu mzaa Mama alioa wanawake watano, wakeze wawili kutoka familia moja (Bibi yangu na mdogowe), Bibi zangu hao watano walikuwa wanalima, wanapalilia, wanavuna, wanampa mazao anauza, hela anatumia yeye labda awagawie kwa kupenda, bibi zangu hao mpaka mifugo na kukamua maziwa ilikuwa ni jukumu lao, silaha yake alikuwa ni mkali sana, kuwazibua makofi alikuwa hakawii, na aliwapangia zamu ya kupika pombe, kila mke alipewa wiki ya kupika debe mbili za pombe ya kunywa na rafiki zake (babu)...mwendo ulikuwa ni uleule mpaka kwa watoto wake wa kike (mama zetu) wamechunga ng'ombe....siri ni ileile ukitaka kumdominate mwanamke usicheke nae ...leo hii demu/mke mmoja anakupasua kichwa sababu dominance haipo sababu ya haki sawa...
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ