Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?


Hlf unajua na ww Dada paprika ni mnafiki sana, sasa kama hutaki kuzipa kiki hizi mada, umekoment kwenye hii thread ili iweje, bila shaka ushatoa tigo au unapanga kuja kutoa tigo sema unatuzuga tu hapa Paprika Sonko Jr.
 
Hlf unajua na ww Dada paprika ni mnafiki sana, sasa kama hutaki kuzipa kiki hizi mada, umekoment kwenye hii thread ili iweje, bila shaka ushatoa tigo au unapanga kuja kutoa tigo sema unatuzuga tu hapa Paprika Sonko Jr.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Tujiandae na kuwa na wagonjwa wengi wa tezi dume siku za usoni
 
Hivi watu wa kampuni ya mawasiliano ya TIGO wanajisikiaje wakiona brand yao inadhalilishwa hivi?

Kwanza nini chanzo cha kitendo hiki kuitwa Tigo?
 
Ile sio sumu, we unafikiri kwanini kiti moto ni tamu kuliko nyama ya ng'ombe
Siku zote vitu visivo halali ni vitamu sana mana shetani anakua pale 100% na anakuhamisha akili yako yote,afu cku ukianza kujutia naye anatoka na kukurudishia ile akili yako huku anakucheka unavo aibika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…