Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Threads aina hii zinaanzishwa sana JF now days na zinawaharibu baadhi ya hata wale ambao hawajawahi kula/kuliwa kujikuta wanajaribu kufanya kwa wenza/wapenzi wao
Hata mm nimeliona hilo wachangiaji wengi wanakuwa wanatoa post za kusifia huo uchafu,badala ya kuelezea madhara yake
 
yaani wale jamaa kama kweli kiama kipo duuu,Mungu Atusamehe,maana mpaka wanajisifu,kama huyu Lex hadi anajisifu kuwa he is king of loopholes,jamaa wanawfukunyua mabinti hatar,kuna mmoja anitwa Flower Tucci,ameliwa tigo hadi amekua adict,na akili zimemfyatuka kabisa
So sad[emoji25] [emoji25]
 
Nawaonya mnaopenda mchezo huo, kwamza ni dhambi, ukifuatilia wale wataalamu wa mchezo huo kwenye mtandao wanaonya kuwa ni chanzo cha magonjwa sugu ndo maana Muumbaji wetu ametukaza. Mimi nimewafuatili watu waliotumia hiyo bidhaa haramu nimeshuhudia wakiugua magonjwa yasiyotibika ktk umri wa utu uzima, na kufariki kwa taabu na mateso makubwa kwa magonjwa kama kansa za aina zote, kufa ganzi paralysis, ukimwi HIV, moyo kusimama ghafla, figo kufeli, kuoza kibofu nk. Wanaosifia tabia hiyo ni maajenti wa uhalibifu. Mwenye kukataa na afanye utafiti wa kitaalamu. Mwenye masikio na asikie.
 
Ni kweli kwa maana wanawatia hamasa wengine ambao hawakua na fikra hizo waanze kujaribu
Sijui mtu unatoa wap wazo la kwenda nyuma wakati utamu wa mbele unatosheleza daah [emoji57][emoji57]
 
Sijui mtu unatoa wap wazo la kwenda nyuma wakati utamu wa mbele unatosheleza daah [emoji57][emoji57]
ni ufilauni na ushetani,mbona hata huko Mbele wengine hawakutumii ipasavyo kwann sasa wasiweke bidii kukutumia na badala yake wanakimbilia uchafu
 
ni ufilauni na ushetani,mbona hata huko Mbele wengine hawakutumii ipasavyo kwann sasa wasiweke bidii kukutumia na badala yake wanakimbilia uchafu
Nafikiri kati ya mambo nitakayobakia mshamba kuyafanya ni hilo....
Na Nashukuru sijawahi kutana na mwanamke anayetaka
 
Nafikiri kati ya mambo nitakayobakia mshamba kuyafanya ni hilo....
Na Nashukuru sijawahi kutana na mwanamke anayetaka
Allah aendelee kukuangazia Mawazo mema hayo hayo Daby,ila acha umalaya oa [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Lakini si ni ukweli? Acha zinaa,zinaa haijengi zaidi ya kukubomoa hebu iweke kando kwa sasa
Siwezi jibu kama ni kweli au la! Ila humu unaweza kutafsiriwa tofauti kutokana na utani utani eeeh.


Mim ni decent saana. Lait ungenijua [emoji4][emoji4]
 
Back
Top Bottom