Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Hizi mada za kula tigo zimekuwa nyingi mnoo. Kila mtu anayetaka kiki anaandika. Anageuza tu habari. Mara wimbi la mabinti....mara mpz ananilazimisha....n.k.
Nawaambia ukweli tunapochangia hii mada ya tigo ndo tunaipa promo sana. Niwaombe bila unafiki kwa aliyetayar tuache kuchangia hii mada, tuone kama zitaletwa tena.
Yapo mambo mengi sana ya msingi ya kujadili hatujadili kwa ushabiki kama huu. Ni upuuzi mtupu.
 

Acha unafiki kibuyu180
 
Siwezi jibu kama ni kweli au la! Ila humu unaweza kutafsiriwa tofauti kutokana na utani utani eeeh.


Mim ni decent saana. Lait ungenijua [emoji4][emoji4]
Good....[emoji8]
 
Zamani ilikuwa aka kamchezo wenyewe wazenj ila saivi kinyume chake Tanganyika wameshika bendera.
Chanzo ni mwanaume kumng'ang'ania kabinti adi anakubaliwa ila n kabint nae kusema NO anashindwa n hadi anakuwa bingwa wa kamchezo n akikosa huona kaonewa.
Kwa wadada nao ndio wanajitambua kwa akili ila nao sababu ya pesa au analiwa n mtu mwenye jina mjini nae kusema NO anashindwa inapelekea nae kuwa shabiki mzr wa kamchezo ako.
Kwa kweli siku izi ndio hbari ya mjini ako kamchezo n km haukitumii kachezo ako unaonekana fala.
Wanaume nao wakisikia faida yk basi huwa n hamu ya kutaka kufanya.
Lkn kubwa zaidi ili mwanaume aone dada amkomee lzm chuma akisukume ukoooooo mtaroni azibue choo.
Kamchezo ako ndio chanzo cha maradhi kwakua maumbile ya mtaro ni kutoa n sio kungiza sasa ukiingiza ndio unasababisha mchubuko.
Dada au kaka anaetumia ako kaamchezo akiamua kuacha kwa muda flani basi mtaro huziba n akiamua kurejea atahisi km anaanza upya n nitofauti n njia husika ya mbele ata k haiitiwi miaka 5 lkn siku akipitiwa hatohisi maumivu.
Tusisifu kamchezo kazuri kwakuwa uko mtaroni hapana mbolea ambayo haileti mazao ila njia ya mbele inaleta matunda ambayo ni kuzaa
 
Threads aina hii zinaanzishwa sana JF now days na zinawaharibu baadhi ya hata wale ambao hawajawahi kula/kuliwa kujikuta wanajaribu kufanya kwa wenza/wapenzi wao
Kweli mkuu....!shetani yupo popote na ana nguvu kwelikweli kwa wale wasio mjua Mungu........!
 
Akawa anaimba wimbo asiojua kiitikio chake[emoji2] [emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mi ntamtolea mume wangu akiomba [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Utakumbana na matusi ya nurse wakati wa kujifungua. Huwa wanatukanwa maana tigo inakuwa inatoa hewa.na wakati mwingine kulazimika kuiziba na matambara ili uweze kusukuma mtoto. Ukikutana na ma nutse labor ward utajuta kwanini ulijaribu huo mchezo maana utapata matusi yote ya nguoni. Ma baadae wanakutangaza kwa watu..si.ajabu na jirani zako wato wakajua kwamba unaliwa tigo. Nakushauri.usimkubalie hata mumeo maana naye atakuwa hakutakii mema. A mwisho wa siku ni hiari yako kutoa au kutotoa.
 
Papuchi nayo inachosha[emoji108] [emoji160]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…