Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wew ni me[emoji115]Dah. Asanteni.
Umemaliza mkuu...sio kwamba alikosea no nakataa huyu alikuwa anaelewa kinachofanyika na kuolewa hapo asahauUkweli mchungu ni kuwa ameshakuharibu na hatokuoa.
Na usifikiri alifanya kwa bahati mbaya kwa sababu alikuwa amelewa,hiyo ndiyo tabia yake,alitumia udhaifu wa pombe kama kianzio cha kukufanyia huo uchafu.
Wa kubadilika sasa ni wewe. Sisi hata tuseme vipi kama hujataka kubadilika hutobadilika.
Nakushauri kwanza achana na huyo mtu kisha weka niya ya kucha huo mchezo. Tafuta wanasaikolojia watakusaidia but uwe tayari umeshaacha kufanya hicho kitendo.
Kuendelea kiwa na huyo anayekufanyia huo mchezo inamaanisha kuwa bado unaupenda.
Pole sana
Siku ya kwanza itapitaje moja kwa moja bila kufanyiwa mazoezi? Ngoja aendelee na huo uchafu [emoji91][emoji91][emoji91]UnamsubiriKwa asili ya maumbile ya kule yalivyo bahat mbaya haiwez kutokea na usione tofaut
si uliolewa na tigo ndo imekufanya uachike. ishi tu maisha bila kuolewa hana sifa yakuitwa mke. ENDELELEA TU MWALIMU NA WNAFUNZI WAKO WANKULA TIGO KWAKO...Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Unasingizia tu shetani,kataka mwenyewe huyommmh shetani na alaaniwe[emoji125]
vile, najaribu kuimagine na kukubaliana na weweHana linda kwakweli ametumia kauli ya kuhadaa tu.
Kuna binti ali haha chumba kizima kwa maumi kaida ukikosea kwa asie thubutu huo mchezo ikinusa tu lazima aluke na kelele ju
naanzaje tafwadhali nitoe huko, akiwa wazi kabisa tutamsaidia. msg yake ina ufigisufigisu fulaniDada hiki kicheko cha kichochezi ujue. ebu msaidie mwenzako
hapo umeeleza vzr, naomba u revisit ushauri wako wa kwanza then unirudieSijamdanganya.
Mungu anajua kila kitu kuhusu sisi kabla ya kuzaliwa kwetu na kufa kwetu, anajua udhaifu wetu na anajua tutapo angukia na tutapo simamia. Kikubwa yeye aache na kumgeukia Mungu kwa dhati na ampendeze Mungu pekee, na sio kuupendeza mwili na tamaa zake au kumpendeza mfirajiii...
vipi ?
well saidWanachelewaga basi my dear na unaweza kuta saa nyingine ndio sababu za kujing'atang'ata sababu uhalisia hakuna.
Yaani hajui aandike nini na nini aache. Na hata pa kupunguza chumvi pia hajapaona. Teh.
[emoji120] [emoji120] [emoji120]well said
thanks sana my dear
Soma tena, wasiwasi wake ni pale jamaa anapotishia kumuacha. Anajiuliza huyo atakayempata anakuwa tayari kufanya huo mchezo ambao anashindwa kuuacha?Mmmm iliingia tu bahati mbaya? Shemeji atakuwa na kibamia nini? Mana kama ndio Mara ya kwanza iliingia tu bahatimbaya na ukafurahia inamanisha rinda zilikuwa wazi tiari kwa mchezo husika.... Ila Pole Sana... Hakuna dhambi isiyo samehewa... Pia kama kijana lazima kunamambo kama hayo unapitia... Ila Kama roho inakusuta basi yakupasa uachane na huumchezo na kama jamaa anatishia kukuacha kisa humpi [emoji108]jua hakupendi na hanamalengo nawewe bali anakutumia kwa starehe zake.... Pole Sana ndugu yangu.