Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwa wasichana wasikuhizi huwa hawana ugeni kwenye hizo mambo.

Ila cha kufanya ajiongeze tu kwa kujua kuwa anachokifanya hakifai na sio kizuri.
Nakuona nakuona
katika ubora wako wa kuwaasa wadogo zako.
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. .
Ndio maana nasemaga msichana akishaenda chuo jua sio wako!! wengi mnabadilikaga mkifika chuoni!!

Kwa ushauri tu, huyo unayemwita "mpenzi" jua kabisa kwamba hana future na wewe na wala hawezi kukuoa, why? jibu ni rahisi hamna mwanaume anaye taka kuoa mwanamke anayeliwa tigo!!! je atafundisha nini watoto??

USHAURI: Anza kuangalia future yako, badilika na mrudie Mungu wako!
 
Daah vtu vngine hv huwa nkiona mnaongea huwa naona aibu mm sijui wwnzangu mna confidence ya aina gani kusema public kabisa
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Kama ulichokiandika kina ukweli, nasema kama kina ukweli sababu inawezekana umeandika tu ili kuchangamsha kijiwe, hasa kutokana na huo mstari; "iliingia kunako kibahati mbaya", haiwezekani "m....boo" iingie kwenye njia ya haja kubwa kwa bahati mbaya. Hapo umetudanganya, wewe mwenyewe ulimruhusu aingize na tena ulimpa ushirikiano wa kutosha, sababu wote tunajua namna ile njia ilivyo, huwa hairusu kitu kuingia kirahisi, achilia mbali kutoa "kin....si" wakati mwingine huwa inakuwa shida sana. Anyways, hilo tuliache sababu kama ni kutokea, limeshakutokea.

Sasa ushauri wangu kwako ni huu; tatizo la kusema huwezi kuacha ni akili zako mwenyewe, siyo kwamba huwezi kuacha eti sababu ni tamu sana, hapana; huwezi kuacha kwasababu hujaamua kuacha bado. Huna nia ya dhati kuacha, unatamani kuacha ndiyo; lakini kutoka ndani ya akili zako au kutoka ndani ya moyo wako bado hajawa na nia ya dhati ya kusema sasa hapana. Kama kweli unataka kuacha huo mchezo, unao uwezo wa kuamua hata kuanzia sasa hivi kuwa hutarudia tena kufanya na ukafikiwa. Uamuzi wa kufanya au kutofanya ni wako wewe mwenyewe, unachotakiwa kufanya ni kuamua tu kwa nia moja kuwa kuanzia sasa naacha huu mchezo.

Mwanadamu amepewa uwezo wa kuamua kila kitu anachotaka kufanya, chochote unachotaka kufanya ni maamuzi yako binafsi. Sasa mwambie huyo Mwanaume wako, tena mwambie ukiwa na msimamo dhabiti, ukiwa serious kabisa kuwa kuanzia leo; kuanzia sasa, asijaribu kukugusa kwenye hiyo njia, wala asijaribu hata kupeleka kidole chake, wala kuzungumzia huo mchezo. Kama hataki kukusikiliza, ondoka, na uachane naye kabisa sababu huyo hakufai hata kidogo.

Iko hivi, kwa imani ya Kikristo, na wewe kutokana na ID yako nahisi ni Mkristo; mwili wako ni "hekalu" la Roho Mtakatifu. Mwili wako ni kama nyumba iliyojengwa na mwingine na wewe umepangishwa kwenye hiyo nyumba. Hiyo nyumba(mwili) siyo mali yako, ni mali ya Yeye aliyeujenga ambaye ni MUNGU. Ndiyo maana baada ya MUNGU kumuumba mwanadamu alimpa Amri za kuutuza huo mwili. Ukimruhusu mtu mwingine auharibu mwili wako, na wewe ukifurahia kuuharibu mwili wako na kuuchafua kwa kuvunja Amri za MUNGU, ni kama unaliharibu "hekalu" la Roho Mtakatifu, na kila mtu anayeliharibu hekalu alilopewa, lazima atahukumiwa.

Usiruhusu starehe chafu ya muda mfupi ikapelekea wewe kuangamizwa milele kwenye moto wa Jehanamu. Hiyo ni starehe chafu isiyofaa na ukiamua kuiacha unaweza kabisa kuacha, uamuzi ni wako binafsi. Maana halisi ya kutubu dhambi ni kuacha kabisa dhambi unayoifanya, kuacha dhambi ndiyo kutubu; kutubu siyo kusema naomba msamaha nimekosa, hapana; kutubu ni kuacha kabisa ule uovu unaoufanya. EZEKIELI 18:21-22

Cc. Brigit86
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.


Wewe ndio uangalie je cha muhimu ni wewe kuacha na kupata amani na kutengeneza na Mungu wako au huyo mwenza wako unaeogopa asikuache. The choice is yours!

Ukichagua kuendelea inabidi uanze na mazoezi ya kuvaa nepi duh kweli u don’t see your worth!! Wake up!!
 
Kaonjeshwa asali akaamua kuchonga mzinga! Eti mngese wa kike hahahahahahaha lol! Njemba inajinafasi.
Kuna shots juju kwetu Kwamtogole alikuwa anajisifu kuwa hakuna uchawi mambo yote tigo. Baadavya kuws mngese na mume alimuacha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kitabu kitakatifu kinasema haisameheki unaiona jehanamu straight.
Acha uwongo ndugu yangu Chapakila , dhambi ambayo haisameheki ni moja tu, nayo ni kumkufuru "Roho Mtakatifu" au kwa maana nyingine ni kumtukana Roho Mtakatifu. Hii ndiyo dhambi ambayo haisameheki kamwe, na hayo maneno alisema BWANA YESU mwenywe. Soma MATHAYO 12:31-32
 
Jamani sijauliza ili mnitete au kuniuliza yasio jenga nimefata ushauri na ntayafanyia kazi nataka kuacha kweli. Mi sijui iliingiaje au alitumia nini kufanya iingie na ninogewe papo hapo na sababu nliopewa ni iyo kua alipitiwa kisa pombe. Ila tangu siku iyo siwez kuji control kila nifanyapo nasubir anifanye ila nkiwa kawaida au katika hali yakutulia nafsi inanisuta. Mnaofanya utani asanteni mbarikiwe mnaoni consider nashukuru kwa ushauri wenu. Swali langu la mwisho je nikitubu hii dhambi kweli itafutwa?

Ukifanya toba ya kweli utasamehewa. Tubu kweli na uache na uachane kabisa na huyo anayekusupport kumkosea Mungu. Muhimu pia ujisamehe mwenyewe maana shetani huwafanya watu wajione kwamba wakishakosea once basi wao hawafai siku zote which is not true. Unaweza kuanza upya na ukawa mpya kabisaaaaa ni wewe tu KUTUBU NA KUACHA KABISA!
 
Yani watu wasio julikana wangekuwa wanateka watu kama wewe badala yake wanateka watu wamaana
 
Wee Bahati mbaya...!?????? Itakuwaa jamaa ana kibamiaa au wew ndo mchezo wako toka zamani..maana mpaka imeingia ukahisi utamu siku ya kwanzaa sio kitu cha kawaidaa... Ulipendaa na ulitakaa ilee kituu.. Sema pole sanaaa kwa hilo me karoho kakutaka kuanza kula hiyo mambo kananiandama ilaa naomba Mungu kashindwee maana ni noma
 
Sasa ndugu yangu! Dhambi hapo sio tigo tu, hata huko mbele pia dhambi, kwahiyo tubu tu zote
 
Back
Top Bottom