Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kuna watu hapa mnajfanya kumshangaa but wengi ndio michezo yenu, sibora huyu kamua kuweka wazi anafanya ?? Kuliko mnaoleta unafki hapa. Anaomba ushauli Nandio maana kaongea ukweli sasa naona mliowengi mnaanza kumshambulia .
 
Huyu ni muongo na ninahisi ni mwanaume mmoja mpumbavu asiyejua hata kuongopa. Uume hauingii kirahisi hivyo kwenye tigo. Hata ukiwa ushatatuliwa, hauingiagi tu hivyo kama ulivyosimulia
 
Umemaliza mkuu...sio kwamba alikosea no nakataa huyu alikuwa anaelewa kinachofanyika na kuolewa hapo asahau
 
Kama kweli upo serious kuacha, nenda hospital watakupiga bomba kutoa uchafu woooote.

Kisha onana na mwanasaikolojia akupe somo hadi ukae sawa.

La msingi na La mwanzo,
ACHANA NA HUYO FEDHULI.
 
Kwa asili ya maumbile ya kule yalivyo bahat mbaya haiwez kutokea na usione tofaut
Siku ya kwanza itapitaje moja kwa moja bila kufanyiwa mazoezi? Ngoja aendelee na huo uchafu [emoji91][emoji91][emoji91]Unamsubiri
 
Baada ya mda flani utakuwa unatembea huku kimba linatoka bila kujijua, aibu iliyoje loooo.
 
si uliolewa na tigo ndo imekufanya uachike. ishi tu maisha bila kuolewa hana sifa yakuitwa mke. ENDELELEA TU MWALIMU NA WNAFUNZI WAKO WANKULA TIGO KWAKO...
 
haki
Hana linda kwakweli ametumia kauli ya kuhadaa tu.
Kuna binti ali haha chumba kizima kwa maumi kaida ukikosea kwa asie thubutu huo mchezo ikinusa tu lazima aluke na kelele ju
vile, najaribu kuimagine na kukubaliana na wewe
 
Dada hiki kicheko cha kichochezi ujue. ebu msaidie mwenzako
naanzaje tafwadhali nitoe huko, akiwa wazi kabisa tutamsaidia. msg yake ina ufigisufigisu fulani
 
hapo umeeleza vzr, naomba u revisit ushauri wako wa kwanza then unirudie

teh teh thanks mkuu.
 
Wanachelewaga basi my dear na unaweza kuta saa nyingine ndio sababu za kujing'atang'ata sababu uhalisia hakuna.

Yaani hajui aandike nini na nini aache. Na hata pa kupunguza chumvi pia hajapaona. Teh.
well said
thanks sana my dear
 
Jamii ni ya kinafiki sana,inapinga ushoga lakini usenge wa kike uwe poa.
Tumuogope Mungu jamani
 
Daaah ushapotea wewe.

Sema tu uliyataka mwenyewe maana huyo jamaa kama anasema alikosea je wewe hukusikia mjegege ukigonga hodi? Acha kutusanifu hapa.

Daah kweli kizazi chetu hiki ndio basi tena
 
Pambana tu na hali yako!Kama nafsi yako haijui baya na zuri!!Wote hamfai katika jamii!!Usije haribu wengine humu wakakuiga
 
Unaogopwa kuachwa..?mburaa..haujui madhara ya hiyo kitu ama ni nn?ila we hijupendi khaa..unahitaji kufanyiwa cance nn sijui..mbona kuacha inawezekana haujaamua bana.
 
Soma tena, wasiwasi wake ni pale jamaa anapotishia kumuacha. Anajiuliza huyo atakayempata anakuwa tayari kufanya huo mchezo ambao anashindwa kuuacha?
 
Biashara ni matangazo.
Watumiaji wa hiyo kitu kazi kwenu.

Mtu kalewa akapotea njia why usimrekebishe na kumrudisha kweny njia halali?

Siku moja tu usipate maumivu yeyote ila uzoee hapohapo na kuenjoy....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…