Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Subirini matunda ya starehe zenu hapo ukubwa wewe jiandae kuzaa kwa operation au kuvaa pampas na huyo mwenzio Kuna hatari ya kutembea na vuko la mkojo maana sidhani kama anatifua lami kwa silaha, kwa Sasa endeleeni kupendana,
 
Kama anaona anachokifanya si kizuri na anajutia anachotakiwa ni kuachana na huyo me lakini anakwambia anaogopa akimkatalia ataachwa Sasa utamshauri Nini mtu Kama huyo? Kwanza hapo Kuna mawili huenda ni kweli anaomba ushauri au yupo sokoni, yote yanawezekana
 
1. Umekuwa mtu wa kujaribu mambo mapya
2. Umeupenda mchezo na kunogewa

Zingatia mambo haya machache
1. Bado una nafasi ya kubadilika
2. Acha kuita huo mchezo kuwa ni "mapenzi ya kinyume na maumbile", kama ni mapenzi nini kinakufanya ujute?
3. Azimia kuacha na sio kujuta kila unaposali, majuto yanapaswa kukuelekeza kwenye maamuzi na sio kwenye masikitiko.

Kila la kheri


Giving away your life and dignity ili kukidhi haja ya perverted desires.....?!
"...Advice is useless that's why it is given freely..."
 
ingependeza zaidi ungetaja na gharama watu wajipange kabisa kabla ya kuja pm...
najua wajua wadau wa hii "bidhaa" yako wako tele humu.
 
Sijui unataka kusaidiwa nini hapo wakati inaonesha bado unapenda kusukumwa mbolea. Endelea hivo hivo wakati sahihi ukifika utaacha.
 
Wanaogopa kuachwa wengi wao si kwamba wanapenda ukweli mi hata km unanisugua mpk nazimia kundu sikupi ng'o
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] shida ni kutaka kujaribu uone ladha yakee
 
Umenifanya nitake kukutafuta ghafla dah...,ila enewei ngoja nighairi tu
isije ikaonekana mpenzi wa hiyo kitu wakati natumiaga siku mojamoja tu
 
Sio siri, jamaa anakudhalilisha mno. Mpaka hapo ujue hatakuoa. Imagine mtu anakulazima kufanya hivyo afu ukikataa anatishia kukuacha afu haji kukuoa...
Kinachonisikitisha ni kuwa jamaa anawatengenezea tatizo watakao kuja kukuoa (usinielewe vibaya)... Jamaa hakupendi.
Wakati wa kufanya maamuzi ni sasa.
 
Hivi ukipata tumbo la kuhara ukiwa kweny daladala huwa unajizuia vip? Kwasababu rinda hamna na sphinter zote zimelegea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…