Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Acha kwanza wewe na sisi tutaacha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuondolee riwaya zako hizo zilizoletwa kwenye majahazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtandao pendwa kwa sasa Tanzania, na unawatumiaji wengi sana ila wasio julikana ni "tigo" wengi wanauoponda ila hao hao ndo wapo mstari wa mbele kuutumia
 
Hiyo mivitabu yenu ndio inaifanya dunia kuwa sio sehemu salama tena, watu mnachinjana eti kwa jina la huyo huyo mnayemuita Mungu!! shame on you!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbavu na kukemea kwa jina la Yesu na wewe ni shetani huna mamlaka duniani ulishatupwa kuzimu huko ndio kwako blood full ndio maana wewe ni takataka.
Kama Mungu hajakupa uhai basi rudia haya maneno nakesho ukiwa ukiwa hai ndio uje utoe huu uzi nipo hai SEMA HIVI NIMEZALIWA NA MAMA ILA MUNGU HAKUNIUMBA NAKUNIPA UHAI WALAI KESHO UKIWA HAI NIPE TANO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…