Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?


Most of the women's wanaofanyiwa hivi vitendo huwa siyo kwa hiari yao.wengine kwa mara ya kwanza anafanyiwa hiki kitendo alibakwa,wengine wako ndani ya ndoa hajawahi fanya ila mume wake for the first time ndio anamfanyia hicho kitu tena siyo kwa kutaka unakuta mwanaume analazimisha.
 
kama mwanamke umemkuta bikra, unapaswa kulaainiwa kufanyia kinyume na maumbile.
Lakini ka alitolewa akiwa la pili B, unauhakika gani hajawahi fanyiwa, na pengine anaona aibu kukwambia?!
Kingi
Kingine sku izi kila msichana anapiga picha za kubinua makalio, nini tafsiri yake sasa!
 
kweli mume wako anaeza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa????

Ndoa hiyo inasimimamia misingi gani kisheria na kiimani? Tanzania hakuna sheria zunazohalalisha ndoa ya aina hiyo; hiyo sababu inatosha kabisa kuibatilisha ndoa hiyo, hata kwa imani ambayo hairuhusu talaka, Kanisa lita-facilitate kuvunjwa kwa hiyo ndoa.

Vv
 

ndio

watu wanabakwa kwene ndoa zao na vipigo na kulzimishwa kila aina ya uchafu lakini ukisimama tu na kusema basi utapewa kila aina ya neno
as if ndoa ni ticket ya kwenda mbinguni
 

hivi ukienda mahakamani ukasea kwamba hii ndo sababu ya kubatilisha ndoa yenu
unaruhusiwa kweli kuachana na hiyo ikawa sabb yakinifu

vipi kuhusu kanisani
 
kuna watu wamjua ila dharau

How can someone stand up somewhere na kujipiga piga kifua kwamba una mpenda sana mkeo,una mheshimu pia ili hali bila haya unathubutu kumwomba mkeo ndogo achilia mbali kuwa na wazo hilo kabisa? Wanaume we have to change,Si Mungu tu bali hata shetani anachukizwa na matendo yetu!
 
Naomba ufafanuzi kidogo we masai dada, kama wapenzi wanakulana 071.. kabla kuoana. Je wakiona wanaacha au inakuwaje? Huyo mume akiiomba atakuwa anamdhalilisha mkewe?
 
hivi ukienda mahakamani ukasea kwamba hii ndo sababu ya kubatilisha ndoa yenu
unaruhusiwa kweli kuachana na hiyo ikawa sabb yakinifu

vipi kuhusu kanisani

Naamini ni sababu kubwa na inatosha; kwanza kuna udhalilishaji, pili kuna tendo haramu kisheria.

Kuhusu kanisani likewise, hilo sio tendo la ndoa bali dhambi na uharibifu kwa jina la ndoa, huko ni kuinajisi ndoa.

Vv
 
Katika wanawake kumi, hesabu moja, mbili, tatu, nne wameshawahi kuliwa nyuma. Hii tabia imeota mizizi sana kwa sababu, wanaume wengi wanaiga mitindo hii bila kuangalia athari na wanawake nao wanadhani kwa kutoa penzi kinyume basi wanapemdwa zaidi.
Wadada wengi tu saivi wameharibiwa...
 
mimi nadhani wanawake huwa wanajitakia tu wenyewe kuliwa tigo,na wengi huliwa bila kujua madhara yake,nakumbuka mwaka 2012 nikiwa nimemaliza University nilikuwa na msichana mmoja yaani girlfriend,kwakweli alikuwa amenizimia sana huyu mtoto sema ni kabila moja ambalo ni ngumu kuolewa hivi,siku moja wakati nakula mzigo akaniambia honey....vipi nikikupa na nyuma utafurah?unajua nakupenda sana nipo radhi kukupa kitu chochote ili ufurahi,daaah nikamwambia hapana mpenzi kwakua nakupenda siwezi kukufanyia hivyo.akanielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…