Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

chanzo mara nyingi ni sisi wanawake kwa maana ya
huku. mitaani waanawake wengi sana wanaliwa nyuma kwa ujinga kuwa ukimpa mwanaume nyuma anaridhika na kufurahi na hakuachi...kumbe hakuna lolote
sasa na wakina baba wakishazoea supu ya utumbo wakirudi pale mungu amerugusu kulia uroda huku majumbani kwa wake zao wanaona hapawanogei tehetehe ndo mwanzo wa kuomba kabhang kwa wake zao wakinyimwa ndo KAZI INAANZA......

MIMI AWE WA NDOA AMA MCHEPUKO SITOI HOYO KITU NG'OMBE NA MBUZI NNDO WANATUMIA BINADAMU AMEPEWA SEHEMU MAALUM KWA URODA

Most of the women's wanaofanyiwa hivi vitendo huwa siyo kwa hiari yao.wengine kwa mara ya kwanza anafanyiwa hiki kitendo alibakwa,wengine wako ndani ya ndoa hajawahi fanya ila mume wake for the first time ndio anamfanyia hicho kitu tena siyo kwa kutaka unakuta mwanaume analazimisha.
 
kama mwanamke umemkuta bikra, unapaswa kulaainiwa kufanyia kinyume na maumbile.
Lakini ka alitolewa akiwa la pili B, unauhakika gani hajawahi fanyiwa, na pengine anaona aibu kukwambia?!
Kingi
Kingine sku izi kila msichana anapiga picha za kubinua makalio, nini tafsiri yake sasa!
 
kweli mume wako anaeza akaomba unyumba kinyume na maumbile na huyo ni mume wako kabisa????

Ndoa hiyo inasimimamia misingi gani kisheria na kiimani? Tanzania hakuna sheria zunazohalalisha ndoa ya aina hiyo; hiyo sababu inatosha kabisa kuibatilisha ndoa hiyo, hata kwa imani ambayo hairuhusu talaka, Kanisa lita-facilitate kuvunjwa kwa hiyo ndoa.

Vv
 
Katika kipindi kigumu ambacho wanawake tunapitia ni kipindi cha ndoa. Nowadays ndio nyingi zinavyoonekana sivyo zilivyo ndani, ndani zimejaa unyanyasaji mkubwa sana ila zinafunikwa tu na neno ndoa na wanawake tukitoka nje tunatabasamu hii inafanya wanaotutazama waamini tunafuraha.,hii si kweli ni wachache sana wanao furahia ndoa zao. Wanawake wengi wanafanyiwa udhalilishaji huu wa kinjinsia siyo kwa sababu wanapenda, wengi hawapendi wengine wanafanya tu kunusuru ndoa yake na hii inasababishwa na mila na desturi zetu kwamba ukiolewa ukarudi nyumbani inaleta picha mbaya kwako mwenyewe na familia yote kwa ujumla sasa unakuta wengi wanakwepa hii aibu bila kutazama madhara anayoyapata,wengine wanafanyiwa hiking kitendo kwa nguvu siyo kwa kutaka.

ndio

watu wanabakwa kwene ndoa zao na vipigo na kulzimishwa kila aina ya uchafu lakini ukisimama tu na kusema basi utapewa kila aina ya neno
as if ndoa ni ticket ya kwenda mbinguni
 
Ndoa hiyo inasimimamia misingi gani kisheria na kiimani? Tanzania hakuna sheria zunazohalalisha ndoa ya aina hiyo; hiyo sababu inatosha kabisa kuibatilisha ndoa hiyo, hata kwa imani ambayo hairuhusu talaka, Kanisa lita-facilitate kuvunjwa kwa hiyo ndoa.

Vv

hivi ukienda mahakamani ukasea kwamba hii ndo sababu ya kubatilisha ndoa yenu
unaruhusiwa kweli kuachana na hiyo ikawa sabb yakinifu

vipi kuhusu kanisani
 
kuna watu wamjua ila dharau

How can someone stand up somewhere na kujipiga piga kifua kwamba una mpenda sana mkeo,una mheshimu pia ili hali bila haya unathubutu kumwomba mkeo ndogo achilia mbali kuwa na wazo hilo kabisa? Wanaume we have to change,Si Mungu tu bali hata shetani anachukizwa na matendo yetu!
 
Nimeshasikia confession nyingi kwenye mitandao ya kijamii hasa kwa wanawake kuwa 'anapenda kinyume na maumbile' lakini hawezi mpa mumewe...na wanaume wengi nao wanapenda lakini hawathubutu kuwaomba wake zao. Hii inapelekea watu baki (michepuko) kuenjoy hiyo starehe. Kama umeamua hiyo ndo starehe yako...why not kwa mkeo au mumeo!?
Naomba ufafanuzi kidogo we masai dada, kama wapenzi wanakulana 071.. kabla kuoana. Je wakiona wanaacha au inakuwaje? Huyo mume akiiomba atakuwa anamdhalilisha mkewe?
 
hivi ukienda mahakamani ukasea kwamba hii ndo sababu ya kubatilisha ndoa yenu
unaruhusiwa kweli kuachana na hiyo ikawa sabb yakinifu

vipi kuhusu kanisani

Naamini ni sababu kubwa na inatosha; kwanza kuna udhalilishaji, pili kuna tendo haramu kisheria.

Kuhusu kanisani likewise, hilo sio tendo la ndoa bali dhambi na uharibifu kwa jina la ndoa, huko ni kuinajisi ndoa.

Vv
 
Katika wanawake kumi, hesabu moja, mbili, tatu, nne wameshawahi kuliwa nyuma. Hii tabia imeota mizizi sana kwa sababu, wanaume wengi wanaiga mitindo hii bila kuangalia athari na wanawake nao wanadhani kwa kutoa penzi kinyume basi wanapemdwa zaidi.
Wadada wengi tu saivi wameharibiwa...
 
mimi nadhani wanawake huwa wanajitakia tu wenyewe kuliwa tigo,na wengi huliwa bila kujua madhara yake,nakumbuka mwaka 2012 nikiwa nimemaliza University nilikuwa na msichana mmoja yaani girlfriend,kwakweli alikuwa amenizimia sana huyu mtoto sema ni kabila moja ambalo ni ngumu kuolewa hivi,siku moja wakati nakula mzigo akaniambia honey....vipi nikikupa na nyuma utafurah?unajua nakupenda sana nipo radhi kukupa kitu chochote ili ufurahi,daaah nikamwambia hapana mpenzi kwakua nakupenda siwezi kukufanyia hivyo.akanielewa
 
Back
Top Bottom