Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Nilishamsamehe zamani sana ila siwezi kurudiana naye, aliniona simfai ndio maana aliniacha na kufunga ndoa na rafiki yangu kipenzi, sina nilichobadilika mpaka anione leo ndio nafaa kuwa mkewe!
Usifanye moyo wako kua mguuum ivo, watu husamehe, nahusahau ,muhm ni kumpa nafasi ya yeye kukuonyesha kua uko alikokua alikosea ...kama uko single bado uo ndo ushaur wangu...ila km karudi naunamtu tayar poaaaa.

Kwan we moyo wako haumpendi??
 
Usifanye moyo wako kua mguuum ivo, watu husamehe, nahusahau ,muhm ni kumpa nafasi ya yeye kukuonyesha kua uko alikokua alikosea ...kama uko single bado uo ndo ushaur wangu...ila km karudi naunamtu tayar poaaaa.

Kwan we moyo wako haumpendi??
Nilishatimiza amri ya mapendo kwa kumsamehe, inatosha. Nilimpenda sana hilo siwezi kukataa ila machozi yangu yalifuta mapenzi yote niliyokuwa nayo kwake.
 
Back
Top Bottom