Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ila mimi sikuwahi kumwombea njaa!Huo wazimu kabisa. Ukisikia adui muombee njaa ndo kama huyo sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ila mimi sikuwahi kumwombea njaa!Huo wazimu kabisa. Ukisikia adui muombee njaa ndo kama huyo sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nampenda kama mwanadamu mwenzangu ila sio kama mpenzi tena
Mimi ex wangu nilikua namuombea asiwe na furaha kwenye relationship yake. Na kweli akianzaga kunilezea mwanamke wake anavyomfanyia naenjoy jamani.[emoji23] [emoji23] [emoji23] ila mimi sikuwahi kumwombea njaa!
Pole sana. Uzi huu tutawaona wengi sana.Hii nzuri sana.Malipo ni hapa hapa duniani.wala ucthubutu ata kugeuza jicho kwake...yaani nimepandwa na hasira utadhani nmefanyiwa mm[emoji35] [emoji35] uyo mwanaume ni shetwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala kwanini nijipe adhabu kwa kosa ambalo sikulitenda mimi? Maisha lazima yaendeleeNa ukigusa tena maumivu 2.0! Sijui utakufa na utamu wako?🙂🙂😉
Ha ha ha ha uzi tutawaona wengi. Pole sana.Mimi ex wangu nilikua namuombea asiwe na furaha kwenye relationship yake. Na kweli akianzaga kunilezea mwanamke wake anavyomfanyia naenjoy jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenzi ya kijinga sana, kadri miaka inavyoenda na mfumo wa maisha na umri kuwa mkubwa hao wanaweza kurudi katika mapenzi, ila kwangu mm kama mwanaume lazima nitaogopa kwa kitendo cha mtu kuja kuona unafunga ndoa ni ujasiri hata ukirudiana naye kuna siku anaweza akakuondoa duniani au akakufanyia kitendo kibaya sana. Sema wanawake nao huwa ni wepesi wa kusamehe na kusahauIla hivi vitu hivi.. basi tu moyo wa mtu kichaka. Na hamna feeling nzurii kama uone mtu kama huyo anakulilia wakati wewe ushamove on. Apambane na huba lake. Nimemsindikiza na tusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ndio inatakiwa. Haya njoo tumalizie tulipoishia.Wala kwanini nijipe adhabu kwa kosa ambalo sikulitenda mimi? Maisha lazima yaendelee
Hiyo sasa roho mbaya shoga angu[emoji23][emoji23][emoji23] Hata usipomwombea mabaya yatampata tu. Chozi la mnyonge hulipwa na MunguMimi ex wangu nilikua namuombea asiwe na furaha kwenye relationship yake. Na kweli akianzaga kunilezea mwanamke wake anavyomfanyia naenjoy jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli tunasamehe but no to zat eksentent. Yani uniache ukamuoe rafiki yangu halafu nikusamehe? Hell to the freaking NO. Mwanaume anaeweza date rafiki yangu anaweza akatongoza hata ndugu zangu. Huyo mwanaume hafai.Mapenzi ya kijinga sana, kadri miaka inavyoenda na mfumo wa maisha na umri kuwa mkubwa hao wanaweza kurudi katika mapenzi, ila kwangu mm kama mwanaume lazima nitaogopa kwa kitendo cha mtu kuja kuona unafunga ndoa ni ujasiri hata ukirudiana naye kuna siku anaweza akakuondoa duniani au akakufanyia kitendo kibaya sana. Sema wanawake nao huwa ni wepesi wa kusamehe na kusahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, sikujua alivyojibiwa kwa kua nilikua napita kwa spidi kali sana na siku zote sikio halina pazia.Wajua fika kuwa mie sio mpenzi wa movie, hivyo hiyo movie utaangalia na uliyeicheza naye!
Ndo hivyo mwanakwetu, hawa wanaume tuwe nao kwa akili tuHii nzuri sana.Malipo ni hapa hapa duniani.wala ucthubutu ata kugeuza jicho kwake...yaani nimepandwa na hasira utadhani nmefanyiwa mm[emoji35] [emoji35] uyo mwanaume ni shetwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ni roho mbaya ila na mimi aliniumiza sana jamani. Nashukuru Mungu machozi yangu yamelipwa.Hiyo sasa roho mbaya shoga angu[emoji23][emoji23][emoji23] Hata usipomwombea mabaya yatampata tu. Chozi la mnyonge hulipwa na Mungu
njoo nikuoe mimi, nami nilipata pigo kama hiloBinadamu ndivyo walivyo, ila kanifunza kitu kikubwa
Wewe wa kwako nae aliwahi kurudi?Af nyie mnaosema ampe nafasi hammtakii mema.hayajawapata ndo maana..af kibaya jitu lishaoa..anampaje nafasi apo???ndoa ya bomani ndoa gani?amekosa nn Dada wa watu akaende kufunga ndoa na shetwani alie mliza vibaya?????..usirudi dada... Songa mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante swahiba, kushindwa kumove on ingekuwa kujitesa zaidi! Nadhani sasa umeelewa nilivyosema mimi ni M/kiti wa wanao move onAisee, sikujua alivyojibiwa kwa kua nilikua napita kwa spidi kali sana na siku zote sikio halina pazia.
Pole sana bibie, nimefarijika kuona ume "move on"
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mpenzi, kweli kila mtu anaishi na mkasa wakeKweli ni roho mbaya ila na mimi aliniumiza sana jamani. Nashukuru Mungu machozi yangu yamelipwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa tutawezana kweli au wote tutaishi kwa machale!