salito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,406
- 731
now you know......... lakini si sisi wanaume ndio tunaowafanya wafanye hayo
Sielewi mkuu,hivi ni sisi kweli ndio chanzo??au utandawazi na tamaa zao Za kipuuzi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
now you know......... lakini si sisi wanaume ndio tunaowafanya wafanye hayo
Sielewi mkuu,hivi ni sisi kweli ndio chanzo??au utandawazi na tamaa zao Za kipuuzi??
Hapa umechemsha, soma na utatambuwa kuwa mdomo wa binaadamu una bacteria wengi wanaoweza kuambukiza magonjwa kuliko uchi wa mwanamke au mwanamme. Kumnyonya mbunye mwanamke ni salama kuliko kumnyonya mdomo.
Kumbuka yule unaemnyonya awe ni wa halali yako na unajuwa unadhifu wake siyo kila mwanamke ni adhifui na si kila mwanamke anajuwa kuitunza mbunye yake ipasavyo. Hii ni hata kwa mdomo.
Mkuu MAMMAMIA Kuna watu humu ndani kazi yao kuwakosoa wenziwao hawachangii kitu basi na wao kazi yao kubwa kuwakosoa watuNimefurahi umekubali kosa. Kwa siku nyengine, ili kuepuka doubts kama hizi, lakini zaidi kwa kujiepusha na kosa la wizi wa maandishi/mawazo (plagiarism), ni vyema kuonesha chanzo cha habari tunazoandika, hata kama ni sentensi moja.
BTW, asante sana kwa makala nzuri. Pia kwa kuimarisha mada zako za tiba kwa faida ya wasomali wetu, niliwahi kuona makala niliyoambatanisha, sio yangu na nimesahau wapi niliiona. View attachment 64323
Nifundishe nitumie njia gani kumpata bibie FaizaFoxy? mkuu BAK amejificha nini?anamuogopa nani?Yumo humu Mkuu ukimtafuta utamuona 🙂🙂...We fanya upelelezi wa nguvu.
Nifundishe nitumie njia gani kumpata bibie FaizaFoxy? mkuu BAK amejificha nini?anamuogopa nani?
Unazungumza lugha gani mkuu bampami Kiarabu au kihindi? mimi sasa napata ushungu wallah.....Ahsantwe kwa elhimhu muzhuri, ikho elewa kabisha nha ikho smbazhia wathu phia.
Kwa Maelezo yako mkuu kang Una halalisha watu watumie Tigo? Kwa Starehe zao?Kinyume na maumbile kivipi? Mbona inaingia sasa? na wote wawili wanapata raha? Argument yako ina matatizo makubwa. Ngono kwa binadamu ni zaidi ya kuzalisha tu, pia ni kwa ajili ya raha/kujiliwaza, Tigo haizalishi ila kusema ni kinyume na maumbile unakuwa unakosea.
Sioni tatizo kama partners wamekubaliana na wanafanya kwa usalama.
Kwa Maelezo yako mkuu kang Una halalisha watu watumie Tigo? Kwa Starehe zao?
Kila aliye onja Asali hawezi kuiacha Mkuu BAK?...Shule hii ngumu banaa MziziMkavu...wengine (wake kwa waume) wameshaonja asali na unajua tena kila aliyeonja asali shurti.....