Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

MziziMkavu siku hizi anataka kugeuka Babu wa Loliondo

Kuziba hata watoto wadogo wa miaka 9 inatokea, na kwa wanawake kunya wakati wa kuzaa inatokea sana, sio lazima wawe
wametoa tigo
Mkuu Boflo

Kuingiziwa ndude huko kumugongo kunauma (kunakupa maumivu)…..fikilia unapokunya kimba gumu tena baada ya kumeza mbegu za matunda Fulani yanaitwa “mabungo”…tunda lenyewe ni mbegu na mbegu hizo zinatabia ya kutereza bila taarifa…..sasa rafiki yangu sikilizia wakati wa kutoa kimba…utalia basi nasikia Tigo pia inauma sana lakini wasogo wake wanatumia mafuta au Jelly kutimiza haja zao.


-Ukizoea sana kupigwa nyuma na mishipa ya huko kutanuka, basi inasemekana kuwa utatatizwa wakati wa kujifungua/kuzaa, si hivyo tu bali unaweza ukawa na tatizo la kuvuja mkojo kwani hutoweza kukaza tena misuli yako ukeni ambayo hulegea baada ya kuzaa.


Swala muhimu sio kutisha watu bali kuwaelimisha na kuwaachia wao wachague mchele upi na pumba zipi. Ukiangalia yale yote yanayokatazwa au kuitwa miiko ndiyo yanayofanywa zaidi kuliko yale tunayoruhusiwa kuyazungumzia na kuyatenda.


*Mimi binafsi napinga kwa nguvu zangu zote swala la Ngono kusiko (tigo) ila na heshimu chaguo/uamuzi wako…..wewe ndio mweye mwili na unafanya vile utakavyo.

Ushuri wa bure-Jiheshimu na thamini mwili wako…..usitoe Tigo lako kama dawa ya kumfanya mume asitoke nje au akupende zaidi…..ni aibu mumeo akikuta nyuma jamaa waliwahi pia.


Tafadhali shirikiana nami kwa kushusha madhara ya Tigo au faida kama zipo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MziziMkavu daima niko nawe katika suala zima la kupinga kuendekeza Sodoma na Gomora (kulana tigo). Tuko pamoja!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Sababu zako mbili ulizotoa...

1. Kuziba kwa njia ya kupitisha mkojo
: Ukitumia kondom itaziba pia????

2-Kupanuka kwa njia ya haja kubwa: Mbona watu kila siku wanajisaidia mashonde makubwa,manene na magumu kuliko mtalimbo mbona hawatanuki???, ije kutanuka kwa nyama laini + Ky jelly???

Be mwana beh! Kitu gani unakiita nyama laini mwagito?

Kweli kuna watu wanaangusha vitu inchi 1 na robo mpaka inchi inchi moja na nusu lakini ni wanaume wanaofanya kazi za shuluba.

Mukulu nakuambia hivi, ile kitu yetu ikisimama huwa ipo kama chuma. Zamani mi nilikuwa nadhani kuna mfupa unajitokeza kwa ndani kumbe ni yenyewe tu mechachamaa milah
 
Kufanya na kutofanya ni maamuzi ya mtu binafsi......
Issue hapa hukujibu maswali niliyokuuliza???
Sigara na Ulevi vinaeleweka na madhara yake yako wazi kabisa...
mpendwa boflo madhara yake ni makubwa sana na kama unamfanyia hivyo mwanandani wako acha maana utampa shida sana cku ya kujifungua maana atakua anatoa upepo 2 sehem ya haja kubwa na unaweza kupoteza kiumbe chako Asante mzizi mkavu kwa ushauri wako
 
MziziMkavu,
Mbona umeandika vizuri tu? huyo anayekaa kubishabisha mi namchukulia kama mpuuzi tu wa mtaani usikae kuumiza kichwa na watu kama hao, nachukia sana wanawake wanaoliwa nyuma, nachukia sana wanawake wanaojichubuwa, sijuwi nisemeje ngoja niishie hapa maana nitatukana bure hapa.
 
Sababu zako mbili ulizotoa...<br />
<font color="red"><br />
1. Kuziba kwa njia ya kupitisha mkojo</font>: Ukitumia kondom itaziba pia????<br />
<br />
<font color="red">2-Kupanuka kwa njia ya haja kubwa</font>: Mbona watu kila siku wanajisaidia mashonde makubwa,manene na magumu kuliko mtalimbo mbona hawatanuki???, ije kutanuka kwa nyama laini + Ky jelly???

Kumbuka kwamba kinyesi pindi kinapotaka hutoka kulingana na ukubwa wa njia yenyewe kwa hivyo si rahisi kukulea matatizo tofauti na uume ambao pindi unapodinda hulazimisha njia ya haja kubwa kutanuka ili kuruhusu upite kitu ambacho kama kitajirudia mara kwa mara huleta madhara kama kulegea kwa mishipa ya ****** na hata uume wenyewe kuathrika kutokana na ufinyu wa ******.
 
kwa kuongezea tu kwa wanawake wanaotumia tigo zile sparms zikiingia zinakaa kule ndani na baada ya muda wadudu huanza kula zile sparms kwa kufauta uti wa mgongo, hivyo mwanamke hupata maumivu makali ya mgongo na kutokwa na majimaji yanayotoa harufu kali. wakup women starehe ya muda mfupi usikuharibie maisha yako.
 
Mkuu MziziMkavu kwani wewe ni dakitari? Mbona sijasikia madikitari wakiongelea haya madahara au ndio mambo ya siri?


Usishangae kuwa madaktari hawaongelei hii kitu kwani madhara yake yanajulikana ila basi tu watu wengine wanaona haibu kuja hadharani ama redioni kuzungumza jambo kama hili. Na usije shangaa ukakuta baadhi yao wanakula ama kuliwa tigo maana hapa kwetu siku hizi ni fasheni.
 
ATHARI ZA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE ( TIGO)

napenda nizungumzie athari 2 kubwa zinazotokana na kufanya mapenzi katika njia ya haja kubwa .

Wanaume waliowengi hivi sasa wamekuwa wakitamani
kuwaingilia wapenzi wao kinyume na maumbile kwa
lengo la kutaka kujiridhisha wao pasipo kujua athari zake na
katika hili athari hazimpati mwanaume tu bali hata kwa mwanamke.......

Athari zake:
Athari ya kwanza: KUZIBA KWA NJIA YA KUPITISHIA MKOJO

kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile kwa upande wa wanaume kunaweza kusababisha kuziba mrija uliopo kwenye uume unaopitisha mkojo, kwani pindi unapokuwa na mpenzi wako unatumia sehemu hii ya matakoni....


Tukumbuke kuwa sehemu hii ina chembe chembe za haja kubwa/mavi zinazokuwa zinapita kwenye lile tundu la kutolea mkojo, na endapo utakuwa unaendelea kutumia sehemu hii utajikuta zile chembe chembe zinajaa kwenye mrija hivyo itafikia kipindi mkojo utakuwa unashindwa kupita kwenye njia yake mpaka uende hospital wafanye upasuaji waweze kusafisha njia. ....AIBU..

Athari ya Pili: KUPANUKA KWA NJIA YA HAJA KUBWA NA KUSABABISHA KUTOKWA NA"MAVI" PINDI MWANAMKE ANAPOTAKA KUZAA

Athari hii hutokea kwa mwanamke ambae amezoea kuingiliwa kinyume na maumbile ...


Tatizo hutokea pindi anapotaka kuzaa, mwanamke anaeingiliwa kinyume na maumbile kwa muda mrefu ile sehemu yake ya haja kubwa hutanuka na kupelekea mishipa iliyozunguka sehemu ile kulegea hivyo inapotokea anahitaji kujifungua/kuzaa inabidi atumie nguvu nyingi katika kumsukuma mtoto ili aweze kutoka ....

Kutokana na mishipa ya ile sehemu yake ya haja kubwa kuwa imelegea,mwanamke hukosa nguvu ya kuziba eneo lile hivyo kipindi anajikema kumtoa mtoto ni rahisi mavi kutoka kwani njia itakuwa imetanuka na mishipa haifanyi kazi.
sina shaka rafiki zangu wanaotokea mwambao wa pwani wamekupata barabara....
 
Sababu zako mbili ulizotoa...

1. Kuziba kwa njia ya kupitisha mkojo
: Ukitumia kondom itaziba pia????

2-Kupanuka kwa njia ya haja kubwa: Mbona watu kila siku wanajisaidia mashonde makubwa,manene na magumu kuliko mtalimbo mbona hawatanuki???, ije kutanuka kwa nyama laini + Ky jelly???

Nakubalina na point ambazo amezileta hapa Boflo...naamini kuwa, kama lengo ni kuwaasa watu waache kula/kuliwa 'Tigo', basi approach nzuri si KUWATISHA. Hakuna kitu chenye athari kama sigara, na maDaktari wanazijua fika athari zake...lakini wengi tu ni wavutaji mahiri. Kutisha haijawahi kuwa approach ya kutatua tatizo fulani.

Kula 'Tigo' hakusababishi njia ya mkojo ya mwanaume kuziba, haijawa documented ikiwa supported na research ya kutosha. Kuna kipindi wagonjwa wa mikojo waliokuwa wanawekewa mipira (urine catheter) walikuwa wananyanyapaliwa kuwa ni wala Tigo, na wameziba sasa wanazibuliwa...hili liliwahi kumkuta hata mzee wetu Kawawa (RIP). Katika kazi ya ngu wa uDaktari, niliwahi fanya kitengo cha upasuaji njia ya mkojo (Urology) kwa miezi mi4, na nilipata cases nyingi sana (close to thousands) za kuziba mikojo...hata mmoja, haijawahi kuwa ni sababu ya kula Tigo, mara karibu zote ni kuvimba kwa tezi Ng'ombe (Prostate).

Kula Tigo yes kunapanua 'anal canal' kwa kulegeza internal na external sphincters, wakati mwingine hata kusababisha rectal prolapse...lakini hii ni very long term effect ya anal sex, na hata hivyo haitokea kwa watu wote. La sivyo kina sir Elton John wangekuwa wanavaa pampers tu. Internal na external sphincters largely zinaundwa na misuli na elastic tissue ambayo inaweza kurelax na hivyo kuweza tanuka na kuruhusu kuingiliwa bila maumivu wala damage, kisha ikarudi katika haliyake ya kawaida na kubana kwa nguvu tu baada ya huo mchezo. Inatokea mara chache kwa walioingiliwa bila kuandaliwa sphincter ikawa stretched na wwakati mwingine kuwa torn, ndio huuma na kama damage ni persistent..basi muathirika akikohoa au kupiga chafya (increase intra-abdominal pressure), basi choo haweza mtoka..lakini nayo haitokei kwa wengi.

Wanawake watakuwa mashahidi wangu...kwamba wanawake wengi, kama sio wote, hunya (hutoa choo) katika process ya kujifungua. ujue kuwa process nzima ya labor take hours (kato ya masaa 4 - 8 kutegemeana na kuwa ni uzao wa kwanza au ulishazaa kabla), na process nyingine za mwili zikiendelea including kutengeneza choo. Mara nyingi wakati kitangulizi cha hasa kichwa kikishaingia kwenye bony pelvis, kinasugua against rectum and pelvis, hivyo kusababisha mkuno kwenye rectum...hii humpelekea mwanamke kujisikia kunya hata kama hana choo. Hii inatokea kwa wanawake wengi, almost wote wakati wa kujifungua...na kama huyo mwanamke ana choo kwenye rectum, lazima tu atatoa choo (hii inatokea kwa wanawake wengi kama sio wote)! Haisababishwi na kutoa Tigo. nimeshazalisha wanawake wengi sana katika maisha yangu ya udaktari, na sikumbuki hata mmoja ambaye hakunya...ni kazi yangu, nimefuta wengi sana nikiwasaidia kuzaa.

Hii hali ya kunyanyapaa wanawake wanaokunya wakati wa kuzaa kuna kipindi ilikuwa hata kwa manesi wasiopata elimu ya kutosha kuhusu uzazi, wamama wa watu wakafinywa, wababa wakadhalilishwa kuwa wanawala Tigo wake zao, na ndoa zilivunjika sababu kama mume akilaumiwa kula Tigo wakati ye hajawahi kula...ina maana mkewe analiwa kwengine. hata mkewe ajitetee kivipi hawezi kuaminiwa cos ni nesi kasema...lakini ni uongo na mwenye data aje hapa tubishane kisayansi!

Anala sex haikuanza na generation yetu, hata enzi za Biblia...kina Lutu, Sodoma ilichomwa kwa sababu ya ulawiti....na ndipo lilipopatikana jina la 'Sodomy'. Na athari zake zimkuwa documented tangu zamani, si hizi tunazojaribu kuzizusha ili kutisha watu....narejea, hakuna tabia hatarishi ambayo imewahi achwa kwa sababu ya vitisho! tutafute njia mbadala..lakini hizi zinazoleta unyanyapaa (kuziba mikojo, na kunya wakati wa kujifungua) hazijengi na si kweli!
 
Nakubalina na point ambazo amezileta hapa Boflo...naamini kuwa, kama lengo ni kuwaasa watu waache kula/kuliwa 'Tigo', basi approach nzuri si KUWATISHA. Hakuna kitu chenye athari kama sigara, na maDaktari wanazijua fika athari zake...lakini wengi tu ni wavutaji mahiri. Kutisha haijawahi kuwa approach ya kutatua tatizo fulani.

Kula 'Tigo' hakusababishi njia ya mkojo ya mwanaume kuziba, haijawa documented ikiwa supported na research ya kutosha. Kuna kipindi wagonjwa wa mikojo waliokuwa wanawekewa mipira (urine catheter) walikuwa wananyanyapaliwa kuwa ni wala Tigo, na wameziba sasa wanazibuliwa...hili liliwahi kumkuta hata mzee wetu Kawawa (RIP). Katika kazi ya ngu wa uDaktari, niliwahi fanya kitengo cha upasuaji njia ya mkojo (Urology) kwa miezi mi4, na nilipata cases nyingi sana (close to thousands) za kuziba mikojo...hata mmoja, haijawahi kuwa ni sababu ya kula Tigo, mara karibu zote ni kuvimba kwa tezi Ng'ombe (Prostate).

Kula Tigo yes kunapanua 'anal canal' kwa kulegeza internal na external sphincters, wakati mwingine hata kusababisha rectal prolapse...lakini hii ni very long term effect ya anal sex, na hata hivyo haitokea kwa watu wote. La sivyo kina sir Elton John wangekuwa wanavaa pampers tu. Internal na external sphincters largely zinaundwa na misuli na elastic tissue ambayo inaweza kurelax na hivyo kuweza tanuka na kuruhusu kuingiliwa bila maumivu wala damage, kisha ikarudi katika haliyake ya kawaida na kubana kwa nguvu tu baada ya huo mchezo. Inatokea mara chache kwa walioingiliwa bila kuandaliwa sphincter ikawa stretched na wwakati mwingine kuwa torn, ndio huuma na kama damage ni persistent..basi muathirika akikohoa au kupiga chafya (increase intra-abdominal pressure), basi choo haweza mtoka..lakini nayo haitokei kwa wengi.

Wanawake watakuwa mashahidi wangu...kwamba wanawake wengi, kama sio wote, hunya (hutoa choo) katika process ya kujifungua. ujue kuwa process nzima ya labor take hours (kato ya masaa 4 - 8 kutegemeana na kuwa ni uzao wa kwanza au ulishazaa kabla), na process nyingine za mwili zikiendelea including kutengeneza choo. Mara nyingi wakati kitangulizi cha hasa kichwa kikishaingia kwenye bony pelvis, kinasugua against rectum and pelvis, hivyo kusababisha mkuno kwenye rectum...hii humpelekea mwanamke kujisikia kunya hata kama hana choo. Hii inatokea kwa wanawake wengi, almost wote wakati wa kujifungua...na kama huyo mwanamke ana choo kwenye rectum, lazima tu atatoa choo (hii inatokea kwa wanawake wengi kama sio wote)! Haisababishwi na kutoa Tigo. nimeshazalisha wanawake wengi sana katika maisha yangu ya udaktari, na sikumbuki hata mmoja ambaye hakunya...ni kazi yangu, nimefuta wengi sana nikiwasaidia kuzaa.

Hii hali ya kunyanyapaa wanawake wanaokunya wakati wa kuzaa kuna kipindi ilikuwa hata kwa manesi wasiopata elimu ya kutosha kuhusu uzazi, wamama wa watu wakafinywa, wababa wakadhalilishwa kuwa wanawala Tigo wake zao, na ndoa zilivunjika sababu kama mume akilaumiwa kula Tigo wakati ye hajawahi kula...ina maana mkewe analiwa kwengine. hata mkewe ajitetee kivipi hawezi kuaminiwa cos ni nesi kasema...lakini ni uongo na mwenye data aje hapa tubishane kisayansi!

Anala sex haikuanza na generation yetu, hata enzi za Biblia...kina Lutu, Sodoma ilichomwa kwa sababu ya ulawiti....na ndipo lilipopatikana jina la 'Sodomy'. Na athari zake zimkuwa documented tangu zamani, si hizi tunazojaribu kuzizusha ili kutisha watu....narejea, hakuna tabia hatarishi ambayo imewahi achwa kwa sababu ya vitisho! tutafute njia mbadala..lakini hizi zinazoleta unyanyapaa (kuziba mikojo, na kunya wakati wa kujifungua) hazijengi na si kweli!
Asante Dr Riwa, nimekukubali, na hii post yako itawasaidia wengi sana....
Watu wengi wanatumia vitisho kukataza watu wasifanye mambo wasiyoyataka, sio sahihi kabisa, Nakumbuka miaka
ya mwanzoni wakati Ukimwi unaanza, walikuwa wakitoa matangazo na kusema Ukimwi ni Kifo, hii ilipelekea watu wengi
sana kujiua, Kuna jamaa 1 namfahamu alikunywa dawa ya panya akafa.Lakini baadae wakagundua kuwa walikuwa wanakosea kutoa hayo matangazo, sasa hivi wamejirekebisha
 
Asante Dr Riwa, nimekukubali, na hii post yako itawasaidia wengi sana....
Watu wengi wanatumia vitisho kukataza watu wasifanye mambo wasiyoyataka, sio sahihi kabisa, Nakumbuka miaka
ya mwanzoni wakati Ukimwi unaanza, walikuwa wakitoa matangazo na kusema Ukimwi ni Kifo, hii ilipelekea watu wengi
sana kujiua, Kuna jamaa 1 namfahamu alikunywa dawa ya panya akafa.Lakini baadae wakagundua kuwa walikuwa wanakosea kutoa hayo matangazo, sasa hivi wamejirekebisha

Hili la UKIMWI limesaidia sana kubadili mind set na kuanza kuangalia upya suala la ' social and behavioural change communication (SBCC)'....sababu tulichemsha kweli wakati ule kwa kudhani kuwatisha watu basi wangeogopa na kuacha tabia hatarishi, lakini ikawa opposite. Tena wale waliofikiwa na message hizo za vitisho ndio likawa kundi kubwa la waathirika. Na likazua tatizo jingine jipya ambalo now linatucost hela kibao kulifight...tatizo la unyanyapaa kwa waathirika wa UKIMWI. Usidhani kuwa dereva wa bodoboda wataacha kuendesha hovyo pikipiki kwa kuwaonyesha maiti za kutisha za wenzao, wanaziona kila siku lakini hawaachi....so is Malaria, HIV, Smoking, eating unhealth foods, not exercising etc...
 
Mkuu Boflo

Kuingiziwa ndude huko kumugongo kunauma (kunakupa maumivu)…..fikilia unapokunya kimba gumu tena baada ya kumeza mbegu za matunda Fulani yanaitwa “mabungo”…tunda lenyewe ni mbegu na mbegu hizo zinatabia ya kutereza bila taarifa…..sasa rafiki yangu sikilizia wakati wa kutoa kimba…utalia basi nasikia Tigo pia inauma sana lakini wasogo wake wanatumia mafuta au Jelly kutimiza haja zao.


-Ukizoea sana kupigwa nyuma na mishipa ya huko kutanuka, basi inasemekana kuwa utatatizwa wakati wa kujifungua/kuzaa, si hivyo tu bali unaweza ukawa na tatizo la kuvuja mkojo kwani hutoweza kukaza tena misuli yako ukeni ambayo hulegea baada ya kuzaa.


Swala muhimu sio kutisha watu bali kuwaelimisha na kuwaachia wao wachague mchele upi na pumba zipi. Ukiangalia yale yote yanayokatazwa au kuitwa miiko ndiyo yanayofanywa zaidi kuliko yale tunayoruhusiwa kuyazungumzia na kuyatenda.


*
Mimi binafsi napinga kwa nguvu zangu zote swala la Ngono kusiko (tigo) ila na heshimu chaguo/uamuzi wako…..wewe ndio mweye mwili na unafanya vile utakavyo.

Ushuri wa bure-Jiheshimu na thamini mwili wako…..usitoe Tigo lako kama dawa ya kumfanya mume asitoke nje au akupende zaidi…..ni aibu mumeo akikuta nyuma jamaa waliwahi pia.


Tafadhali shirikiana nami kwa kushusha madhara ya Tigo au faida kama zipo.

Hapo kwenye red.
Wewe hujui utamu wa tiGO wewe!!! Utamu wake ni saba mara sabini ya utamu wa njia ya kawaida. Siku ukionja hutaacha kamwe!!!!!
 
Hapo kwenye red.
Wewe hujui utamu wa tiGO wewe!!! Utamu wake ni saba mara sabini ya utamu wa njia ya kawaida. Siku ukionja hutaacha kamwe!!!!!

Malyenge...Tigo wanazo both wanaume na wanawake...hivyo unapoongelea utamu wa Tigo uwe specific unaongelea utamu 'kuingilia' au 'kuingiliwa' au both 'kuingia na kuingiliwa'!
 
Ehh bora humu madocta wapo,eti madocta inawezekana kufanya DNA kwa mtu na baba yake mdogo?Yaan baba mdogo ni baba mmoja na mama mmoja na baba mzazi.
 
Malyenge...Tigo wanazo both wanaume na wanawake...hivyo unapoongelea utamu wa Tigo uwe specific unaongelea utamu 'kuingilia' au 'kuingiliwa' au both 'kuingia na kuingiliwa'!

Du! Basi naomba yaishe mkuu maana huko tunakoelekea si kuzuri.
 
Back
Top Bottom