Mkuu tafadhari niambie umri wako na kiwango chako cha elimu kwasbb nashindwa hata kukujibu.....Hivi kuna historia ya Israel kwenda kuwavamia Wapalestina wakati wowote? Mbona sikumbuki siku hiyo? Mara zote vita inayokeaga pale soon Israel inapovamiwa. Anyway, nikumbusheni hiyo siku Israel aliwahi kuvamia makazi ya Wapalestina bila sababu yoyote; you may re- call hadi mwaka 1980 to-date
Kuna kamanda wa jeshi la Israel alipata kusema " Gaza zipo mbili, Kuna Ile ya chini ya ardhi na inayoonekana"Projects zao za miaka 20 ya ujenzi wa Tunnels zimeishia kuharibiwa bila mafanikio na wamezidi kupoteza uthibiti wa eneo lote la Gaza
Kama Israeli wanafunga mipaka ili chakula na maji visiwafikie Wapalestina,hizo silaha tu ndiyo zinaruhusiwa kupita kuwafikia Wapalestina?Sio kweli. Israel inafanya makusudi kufunga mipaka yote kwa kusaidiwa na Marekani. Walishasema hao Wapelestina ni watu wanyama hawastahili maji, hewa, chakula ,dawa nk.
Sasa hawana haki ya kujikomboa? Mbona Msumbiji, Afrika ya kusini, zimbabwe wapigania uhuru walipigana ma wakisaidiwa na Tanzania. Sasa hawa watu hawana haki ya kujikomboa kutoka katika dhulma. Watu wa magharibi wanawakandamiza kisha wakijitetea wanaitwa magaidi.
Nani atakayekubali kupokea vibaka wenye fujo na kutaka kutawala hadi wenyeji wao?Wabaki humohumo wauone moto.Mngekuwa na akili mngekubaliana tu Jordan, Lebanon, Iran, Misri na mataifa mengine ya uarabuni wawagawane na wawachukue Wapalestina.
Palestina is a lost cause.
Kama ccm tuu daima hawakosi pesa ya kubadili ma xv mapya kila mwakaNilipoliona hili swali nilitatizika Sana.
View attachment 3131948
Kwamba Kila wakati Palestina wanaosaidiwa kupata chakula na maji, lakini fedha za kununua roketi za kuishambulia Israeli wanazo.
Nahilo ndilo mnalolitaka lkn bahati mbaya limefeli, nakuwaua wote mil 2.3 hamuwezi.Mngekuwa na akili mngekubaliana tu Jordan, Lebanon, Iran, Misri na mataifa mengine ya uarabuni wawagawane na wawachukue Wapalestina.
Palestina is a lost cause.
Hicho ndio mnachotaka waisrael wa vikundu pamoja na B.N lkn limeshafeli maana hata Raisi wa Misri alilisema mwanzo kabisa.Nani atakayekubali kupokea vibaka wenye fujo na kutaka kutawala hadi wenyeji wao?Wabaki humohumo wauone moto.
Ulaya kwa sasa wanajuta kuwakaribisha watu wasio na heshima kwa wenyeji wala utulivu wa nafsi.Wanapaswa waende kwa wasafi wenzao wa Uarabuni au wanaofanana nao.Hicho ndio mnachotaka waisrael wa vikundu pamoja na B.N lkn limeshafeli maana hata Raisi wa Misri alilisema mwanzo kabisa.
Kwa nini waende huku wanakwao ambapo ni Palestine?.Ulaya kwa sasa wanajuta kuwakaribisha watu wasio na heshima kwa wenyeji wala utulivu wa nafsi.Wanapaswa waende kwa wasafi wenzao wa Uarabuni au wanaofanana nao.
Kiongozi wao kauawa akizungukwa na dola taslimu zaidi ya 10 elfuNilipoliona hili swali nilitatizika Sana.
View attachment 3131948
Kwamba Kila wakati Palestina wanaosaidiwa kupata chakula na maji, lakini fedha za kununua roketi za kuishambulia Israeli wanazo.
Basi,ni vema wabakie humohumo na si kwenda nchi za wengine na kujianzishia masharti yao.Kwa nini waende huku wanakwao ambapo ni Palestine?.
Kama Israeli wanafunga mipaka ili chakula na maji visiwafikie Wapalestina,hizo silaha tu ndiyo zinaruhusiwa kupita kuwafikia Wapalestina?
Walikuwa nazo?Kwa nini na chakula wasiwe nacho muda wote?Akili.Silaha walikuwa nazo. Ebu tumka kidogo akili
Basi,ni vema wabakie humohumo na si kwenda nchi za wengine na kujianzishia masharti yao.
Walikuwa nazo?Kwa nini na chakula wasiwe nacho muda wote?Akili.
Maswali gani ya kiboya wewe?Uzi unajadili nini kwani?Walikuarifu wanataka kutoka.??
Hawa ndio watu wa msimamo na baada ya miaka 80 ya wateule kurudia ufisAdi wao ipo siku yatawapata kama historia yao ilivyoonyesha.
Ulaya kwa sasa wanajuta kuwakaribisha watu wasio na heshima kwa wenyeji wala utulivu wa nafsi.Wanapaswa waende kwa wasafi wenzao wa Uarabuni au wanaofanana nao.
Maswali gani ya kiboya wewe?Uzi unajadili nini kwani?
Kiongozi wao kauawa akizungukwa na dola taslimu zaidi ya 10 elfu.Nilipoliona hili swali nilitatizika Sana.
View attachment 3131948
Kwamba Kila wakati Palestina wanaosaidiwa kupata chakula na maji, lakini fedha za kununua roketi za kuishambulia Israeli wanazo.
Mkuu Kitakuta Salam.Kuanzia mwaka 1937-1945 hao watoto wateule wako walivamia palestine na kuua ovyo wazayuni waliotoka Ulaya magharibi … wakanyang’anya nyumba za wapelistina na kuwafanya wakibizi.
Hii vita haikuanza leo bali miaka 85 iliyopita.
Mwaka 1982 wayahudi waliruhusu wapelestina 3,500 kuchinjwa muda wa masaa 5, wao yao baada ya miaka 41 wao wameuawa 1,200 na kulipiza kuua mpaka sasa wapalestina 45,000 kwa makusudi tu. Na karibu 100000 majeruhi ndio maana Afrika ya kusini iliwashitaki kwenye korti ya dunia. Je wewe huyaoni yote haya?