Nchi nyingi za ulaya magharibi walikuja Palestine. Waingereza wakoloni wakiitawala Palestine walisha set mipango tangu 1920 Balfour declarationMkuu Kitakuta Salam.
Hao waliovamia Palestina katika ya mwaka 1937 - 1945 walitoka taifa gani? Ninavyojua mipaka ya sasa iliyo rasmi ya taifa LA Israel ilikuwa haijarasimishwa.
Ahsante