Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila Shaka we ni mzigua au mdigo? Wivu tu unqkusumbuaYani nikipanda gari, mara nyingi wasambaa ndo wanapenda kuongea , utasikia nzeze nzeze, shiingi ngahi, kwani lazima kuongea kilugha mkiwa mjini? Kwanini msiongee Kiswahili
😂😂😂😂Mtoa mada Kama sio mbondei Malaya Basi atakua mganga wa kizigua.
Mtoa mada atakuwa hajawahi kupanda gari moja na Wasukuma, au Wamasai!
Ni ushamba vipi hutaki ujulikane wewe msambaa au mgogo?Ni ushamba
Yani nikipanda gari, mara nyingi wasambaa ndo wanapenda kuongea , utasikia nzeze nzeze, shiingi ngahi, kwani lazima kuongea kilugha mkiwa mjini? Kwanini msiongee Kiswahili
Tate Nane