Kwanini wasambaa wanapenda sana kuongea kilugha hata mjini?

Kwanini wasambaa wanapenda sana kuongea kilugha hata mjini?

Mtoa mada unawajua wamasai?
Unawafahamu wasukuma?
Vp kuhusu wagogo?
Tuje kwa wahaya?
Usiwasahau waha?
Ushawahi kukutana na wakurya?

Kaa kwa kutulia kwa kifupi mkikutana mnakifahamu vizuri cha nyumbani lazima mkionje kidogo kama wewe huna ujualo tuliza boli
 
Mtoa mada atakuwa hajawahi kupanda gari moja na Wasukuma, au Wamasai!

NI ndani ya Wilaya mbili tu nchini (Lushoto na Korogwe) ndiyo utakutana na hao Wasambaa wakiongea kilugha ndani ya magari ya abiria/mtaani/sokoni, nk. Nje ya hizo Wilaya, ni aghalabu kukuta Msambaa anaongea kilugha hadharani.

Ila hayo makabila mawili hapo juu, hata uende Urusi, au Ukraine! Wao ni kuongea tu Kisukuma/Kimasai!!
Aanyeghewa uyu uko kwe mbweshuna akunda azaghwe
 
Mtoa mada unawajua wamasai?
Unawafahamu wasukuma?
Vp kuhusu wagogo?
Tuje kwa wahaya?
Usiwasahau waha?
Ushawahi kukutana na wakurya?

Kaa kwa kutulia kwa kifupi mkikutana mnakifahamu vizuri cha nyumbani lazima mkionje kidogo kama wewe huna ujualo tuliza boli
Mtoa mada hajakutana na hayo makabila bila shaka. Mfano Wasukuma na Wamasai, ni too much!

Usiombee ukae nao siti moja, halafu mwenzao mwingine akae siti nyingine! Hizo kelele zao, utatamani kushuka kwenye gari.
 
Kuna jamaa mmoja juz alianzisha uzi kwamba hiyo ni dalili mojawapo ya ushamba
 
Back
Top Bottom