Uyu jamaa aetie inu mada ni mshamba, akii kwaio tieke kuonga kishambaa kuamba nationekane ti washamba, kishambaa nionga hohoshe na hakuna ndue ya kuniemeza, kama nzeze basi washame wakaishi hata ni uko somalia watiekee inu shi yetu wenye.
Ngoshwe iwe[emoji28][emoji28]
Kibantu raha hapa unasema, huyu jamaa alieleta hii mada ni mshamba, eti kwahiyo tuache kuongea kisambaa kwamba tusionekane washamba, kisambaa naongea popote na hakuna mtu wa hapo kuniemeza sijaelewa, kama vipi wahame watuache na nchi yetu waende hata somalia,