Kwanini wasambaa wanapenda sana kuongea kilugha hata mjini?

Kwanini wasambaa wanapenda sana kuongea kilugha hata mjini?

Uyu jamaa aetie inu mada ni mshamba, akii kwaio tieke kuonga kishambaa kuamba nationekane ti washamba, kishambaa nionga hohoshe na hakuna ndue ya kuniemeza, kama nzeze basi washame wakaishi hata ni uko somalia watiekee inu shi yetu wenye.
Ngoshwe iwe[emoji28][emoji28]

Kibantu raha hapa unasema, huyu jamaa alieleta hii mada ni mshamba, eti kwahiyo tuache kuongea kisambaa kwamba tusionekane washamba, kisambaa naongea popote na hakuna mtu wa hapo kuniemeza sijaelewa, kama vipi wahame watuache na nchi yetu waende hata somalia,
 
Nyerere halihalibu kizazi cha watanzania kwani kuna kosa gani mtu kuongea lugha yake ya Asili mbona kiswahili na kiingereza pia ni kilugha kwa makabil mengine. huo umoja wenyewe si uone isipo kua unafiki tu. umasikini ujinga unatupiga vile vile kama nchi zingine zenye lugha nyingi.
KIZAZ KICHAF KINAANZA MPONDA ALIPAMBANA TUCHAT HUMU KUJUANA MAKABILA , HUENDA HUJATEMBEA EAST AFRICA AU UMETEMBEA ILA AKIL YAKO FUPI KUONA WANAVYOBAGUAANA KISA LUGHA ZA MAKABILA , NCHI X KWENY INTERVIEW MTU ALISALIMIWA KWA LUGHA YA KITESO AKAKAA KIMYA WAKAMWAMBIA TUTAKUPIGIA SIMU IMETOKA HIYO
 
Uyu jamaa aetie inu mada ni mshamba, hana akii kwaio tieke kuonga kishambaa kuamba nationekane ti washamba, kishambaa nionga hohoshe na hakuna ndue ya kuniemeza, kama nzeze basi washame wakaikae hata ni uko somalia watiekee inu shi yetu wenye.Uyu jamaa ni ngoshwe kabisa
Yadahikana uyu mbwanga ni mnyika mweikaa na kughoshoa ndima uku kwetu koongoi! Ushe akitiona tashimwea kishambaa, ataingiwa ni wizu!

Hangi ana mbina ani uyu! Ningeteia akweikaa, ningembasha nakio ili nimloghe!
 
Mtoa mada atakuwa hajawahi kupanda gari moja na Wasukuma, au Wamasai!

NI ndani ya Wilaya mbili tu nchini (Lushoto na Korogwe) ndiyo utakutana na hao Wasambaa wakiongea kilugha ndani ya magari ya abiria/mtaani/sokoni, nk. Nje ya hizo Wilaya, ni aghalabu kukuta Msambaa anaongea kilugha hadharani.

Ila hayo makabila mawili hapo juu, hata uende Urusi, au Ukraine! Wao ni kuongea tu Kisukuma/Kimasai!!
Wasambaa wamejaa hiace za Kikombero/Njiro dereva msambaa konda Msambaa hapa mwisho wa lami wanapogeuzia ndio mitaa yangu ni kisambaa kwa kwenda mbele...hata wakiwa na abiria wao wanatupa kisambaa mwanzo mwisho tena muda mwingine wanawasema watu wanaosikia...wanatamani wapige debe kwa kisambaa ni vile hatutaelewa..
 
Back
Top Bottom