Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaah mm binafsi napenda kuongea lugh yangu pendwa ya kimasai popote nikikutana na anaye kifahamu naipenda sanMtoa mada atakuwa hajawahi kupanda gari moja na Wasukuma, au Wamasai!
NI ndani ya Wilaya mbili tu nchini (Lushoto na Korogwe) ndiyo utakutana na hao Wasambaa wakiongea kilugha ndani ya magari ya abiria/mtaani/sokoni, nk. Nje ya hizo Wilaya, ni aghalabu kukuta Msambaa anaongea kilugha hadharani.
Ila hayo makabila mawili hapo juu, hata uende Urusi, au Ukraine! Wao ni kuongea tu Kisukuma/Kimasai!!
Doo nawe umbuje titaudika vieng'a mwe vifuu[emoji23][emoji23]ngoja kwanza nicheke .
halafu ukuvu titamgha kui aje
Si unaona jina Tate mkuu - kisambaa sijui ndo baba mkubwa au baba mkuuKumbee huyu mwamba wa yanga Africans Ni mzambaa alitetukuka
Uwoo ntenajaa umbuje 😅😅Doo nawe umbuje titaudika vieng'a mwe vifuu
Ahahaha kumbee ila nawapenda sna wazambaa vijana wengi wao Ni mafundi magari wengi wapo tabata .Ni mafundi wazuri sna huwa nawapa San Kaz za kutengeneza 114 c[emoji3]Si unaona jina Tate mkuu - kisambaa sijui ndo baba mkubwa au baba mkuu
@UMUGHAKA Ni kweli hayo ,[emoji23][emoji23]Hujafika Kitunda Ukonga Daressalaam!
Huku Wakurya wanamuongelesha kikurya kila wanaekutana naye! ni kama tuko Tarime tu!![emoji23][emoji23]
Astakafiru. .[emoji1544][emoji1544][emoji1550]Mwe etie gonde ajigwa ntiii!
Yee Tate nanieee! Honga mghoshiiiUyu jamaa aetie inu mada ni mshamba, hana akii kwaio tieke kuonga kishambaa kuamba nationekane ti washamba, kishambaa nionga hohoshe na hakuna ndue ya kuniemeza, kama nzeze basi washame wakaikae hata ni uko somalia watiekee inu shi yetu wenye.Uyu jamaa ni ngoshwe kabisa
Ni Baba Mkubwa!Si unaona jina Tate mkuu - kisambaa sijui ndo baba mkubwa au baba mkuu
mkataa kwao ni mtumwaYani nikipanda gari, mara nyingi wasambaa ndo wanapenda kuongea , utasikia nzeze nzeze, shiingi ngahi, kwani lazima kuongea kilugha mkiwa mjini? Kwanini msiongee Kiswahili
Wasambaa wana tunajali sana familia zetu. Mimi mwenyewe nimeshakaa sana Dar kwa Bro miaka ya 80's! Kwa madada zangu ndiyo usiseme! Mpaka nakuja kuanza maisha, nimeshakaa sana kwa ndugu!Ahahaha kumbee ila nawapenda sna wazambaa vijana wengi wao Ni mafundi magari wengi wapo tabata .Ni mafundi wazuri sna huwa nawapa San Kaz za kutengeneza 114 c[emoji3]
HV Tate Mkuu Ni kweli kabila lenu ndio ukioa ndugu wanakufatafta au wadigo ndio zao [emoji23]
Ila wazambaa watamu mno
Nenkiwazuga du awa waghoshi wetitania japo nkwei taachitoa kuita mbele hohoshe bila kupepesa meshoMUSHEKY si vema kupotosha hiki sio kisambaa! oshie mjini kina hea soi tijazane
Ha ha ha[emoji23] sisemiNiambie ameniambiaje
Ha ha ha[emoji23] haikaaaNenkiwazuga du awa waghoshi wetitania japo nkwei taachitoa kuita mbele hohoshe bila kupepesa mesho
Kuna siku niumo ujerumani niiva jamaa aachitoa mwe simu chia chenyewe "cha misheni" [emoji23][emoji23]
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app