Kwanini wasambaa wanapenda sana kuongea kilugha hata mjini?

Kwanini wasambaa wanapenda sana kuongea kilugha hata mjini?

Asante mingi....[emoji1635][emoji1635]
giphy.gif
 
Hujafika Kitunda Ukonga Daressalaam!
Huku Wakurya wanamuongelesha kikurya kila wanaekutana naye! ni kama tuko Tarime tu!!😂😂
 
Yadahikana uyu mbwanga ni mnyika mweikaa na kughoshoa ndima uku kwetu koongoi! Ushe akitiona tashimwea kishambaa, ataingiwa ni wizu!

Hangi ana mbina ani uyu! Ningeiteia akweikaa, ningembasha nakio ili nimloghe!
Nghambe uyu mntu, akii zaita kwawe[emoji1787]
 
Mmedhihirisha mlivyo, najua mmenitukana, mana mmefanya huu uzi muongee ki oshie chenu
 
Mmedhihirisha mlivyo, najua mmenitukana, mana mmefanya huu uzi muongee ki oshie chenu
Hatuna hizo tabia ila post yako imetufanya tukutane na kujuana... Asante sana... Kwa kisambaa tinasema HONGEA SANA[emoji818][emoji1752]
 
Back
Top Bottom