Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ww msambaa!!?? Ndio maana,Wasambaa huwa hatuchagui kazi.
Kumbe we Shemzigwa rafk yanguWasambaa huwa hatuchagui kazi.
Hii ni combination ya wawili tuuMnafungua club nini?maana kwa bata nyie,mtujulishe wateja wenu
Na Wasukuma nao watakuwaje sasa kama kabila la wajanja kama Wasambaa, unawaita washamba!!Kumbe ww msambaa!!?? Ndio maana,
Nyie kabila lenu washamba sana,
Mkimaliza mtanipitia the bank picha ya ndege ,tumwagilie moyoHii ni combination ya wawili tuu
Hii ni combination ya wawili tuu
Aah kumbe mwana kuna kile kiwanja kipya nyuma ya Puma kama unaenda Keds au Sara garden pia pako cool sanaMkimaliza mtanipitia the bank picha ya ndege ,tumwagilie moyo
Asante mingi....[emoji1635][emoji1635]
Mshambaa hachagua ndima, ataghoshoa duKumbe we Shemzigwa rafk yangu
Nghambe uyu mntu, akii zaita kwawe[emoji1787]Yadahikana uyu mbwanga ni mnyika mweikaa na kughoshoa ndima uku kwetu koongoi! Ushe akitiona tashimwea kishambaa, ataingiwa ni wizu!
Hangi ana mbina ani uyu! Ningeiteia akweikaa, ningembasha nakio ili nimloghe!
Mkuu ushamba ni nini? Unaweza kuweka tafsiri yake hapa?Ni ushamba
Mia ukitidoa..Washambaa hetina ushongeezi.
Hatuna hizo tabia ila post yako imetufanya tukutane na kujuana... Asante sana... Kwa kisambaa tinasema HONGEA SANA[emoji818][emoji1752]Mmedhihirisha mlivyo, najua mmenitukana, mana mmefanya huu uzi muongee ki oshie chenu
Mia ukitidoa..
Tikuzuta mpaka ukuvu [emoji23]hetikueka
😂😂ngoja kwanza nicheke .Tikuzuta mpaka ukuvu [emoji23]