Kwanini wasambaa wanapenda sana kuongea kilugha hata mjini?

Kwanini wasambaa wanapenda sana kuongea kilugha hata mjini?

Wewe huwajui waha,panda treni kwenda kigoma utaujua mziki wa Waha hawa jamaa hawapoi sauti hazikauki full kelele na vicheko wanauwezo wa kubishana kutoka dar mpaka kasulu
 
Kwenye huu uzi Wasambaa tumeonewa. Huyu mtoa mada hajawahi kukutana na Wasukuma na Wamasai! Hawa jamaa muda wote wanaongea lugha yao tu.
Uyu jamaa aetie inu mada ni mshamba, hana akii kwaio tieke kuonga kishambaa kuamba nationekane ti washamba, kishambaa nionga hohoshe na hakuna ndue ya kuniemeza, kama nzeze basi washame wakaikae hata ni uko somalia watiekee inu shi yetu wenye.Uyu jamaa ni ngoshwe kabisa
 
Kwamba unataka kuingilia uhuru wa watu
Uyu jamaa aetie inu mada ni mshamba, akii kwaio tieke kuonga kishambaa kuamba nationekane ti washamba, kishambaa nionga hohoshe na hakuna ndue ya kuniemeza, kama nzeze basi washame wakaishi hata ni uko somalia watiekee inu shi yetu wenye.
Ngoshwe iwe[emoji28][emoji28]
 
Wanaobeza lugha za asili ndo wanadharau kwao hata kupajenga hawapendi, majina ya asili hawapendi ......
 
Poleni sana wazaramo,wandengereko,wamakonde marhaba,wanyamwezi wa tabora,wangindo,wamatumbi,waha wa ujiji mmekipuuza kikwenu na kukumbatia lugha za kigeni wala msijitambulishe kabila lenu nyie ni waswahili.

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
 
Ijulikane ili upewe tuzo?
Ninyi ndiyo mnaitwa Ng'wanapilipilwa mkitambulishwa ugenini mnataka muitwe Ng’wanny.

Unaogopa nini ukijulikana kabila lako....utauwawa?hushangai muhindi mchina waarabu etc wakikutana hawaachi kuongea lugha zao?
 
Ninyi ndiyo mnaitwa Ng'wanapilipilwa mkitambulishwa ugenini mnataka muitwe Ng’wanny.

Unaogopa nini ukijulikana kabila lako....utauwawa?hushangai muhindi mchina waarabu etc wakikutana hawaachi kuongea lugha zao?
Lugha yetu inafahamika, na ndio tunayowasiliana nayo hapa JF.. hayo malugha mengine hayana ishu mjini, labda kama nyie ni wanga
 
Uyu jamaa aetie inu mada ni mshamba, akii kwaio tieke kuonga kishambaa kuamba nationekane ti washamba, kishambaa nionga hohoshe na hakuna ndue ya kuniemeza, kama nzeze basi washame wakaishi hata ni uko somalia watiekee inu shi yetu wenye.
Ngoshwe iwe[emoji28][emoji28]
Aanyeghewa uyu[emoji23]
 
Back
Top Bottom